Mlioishi Ulaya na Amerika, eti huko wazungu wanakula kuku wa kienyeji au wa kisasa?

Mlioishi Ulaya na Amerika, eti huko wazungu wanakula kuku wa kienyeji au wa kisasa?

Usitake kusema hununui hata mafuta ya kula mkuu, huezi kuepuka hivi vitu kama hutonunua directly basi utakula kwenye bidhaa nyingine
Chakula kina uandaaji wake, cancer utapata kma hauna maandalizi mazuri, hii hii mihogo ukikaanga kupitiliza utapata madhara. Hayo mambo ya kemikali sijui nn ni kudanganyana, kemikali tunazila kwa kila chakula
Labda wewe uliyepo huko mjini, mi najilia vitu asilia niko huku Shambani Nanjilinji. Unakaza fuvu kabisa nyama ya ng'ombe wa kienyeji inayoiva kwa masaa mawili hadi matatu ina ladha sawa na ng'ombe wa kisasa maji mara 1 kwa nusu saa tu?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Wewe baki na ujinga wako wa kijima tu, hakuna kuku asiye na baba na mama.
achana na hilo jinga,.... kwenye huu uzi umeshusha nondo safi tena kwa hekima,...hujapanic,..
Shida ya hao kuku na mayai yake ni kama ilivyo kwenye mbogamboga za bustanini tu,....(Mfugaji au mkulima hazingatii matumizi sahihi ya dawa kwenye mifugo yake au mboga zake,),...

mfano,...kuna mbogamboga nyingi zinaingizwa sokoni siku chache sana baada ya kupulizwa sumu za kuzuia wadudu,...unakuta mpaka mbogamboga zinanuka kabisa,....HII SASA NDO HATARI,...

Kwa upande wa kuku, kuna baadhi ya dawa ukiwapatia kuku, huruhusiwi kuwala kwa muda wa wiki, na mayai yao hayafai kuliwa kwa muda huo,.. mfano, baadhi ya chanjo za magonjwa ya GUMBURO,....lakini wafugaji hawazingatiii hilo,....SASA HII NDO HATARI YENYEWE,...,...

SHIDA KUBWA NI MATUMIZI YA DAWA YASIO SAHIHI ,....

hawa wanaosema kuna kuku hawana baba wala mama tuwaache kwanza,...
 
Waafrika wengi wana ujinga mwingi sana wa kurithi na bahati mbaya sana wanarithishana huo ujinga kutoka kizazi kimoja hadi kingine.
Tena kuna hizi familia wao unakuta eti hawaendi hospitali wanakwambia hawataki dawa zina madhara.
Mtu kama yupo miaka ya 1900 huko, Afrika tuna safari ndefu sana mkuu
 
achana na hilo jinga,.... kwenye huu uzi umeshusha nondo safi tena kwa hekima,...hujapanic,..
Shida ya hao kuku na mayai yake ni kama ilivyo kwenye mbogamboga za bustanini tu,....(Mfugaji au mkulima hazingatii matumizi sahihi ya dawa kwenye mifugo yake au mboga zake,),...

mfano,...kuna mbogamboga nyingi zinaingizwa sokoni siku chache sana baada ya kupulizwa sumu za kuzuia wadudu,...unakuta mpaka mbogamboga zinanuka kabisa,....HII SASA NDO HATARI,...

Kwa upande wa kuku, kuna baadhi ya dawa ukiwapatia kuku, huruhusiwi kuwala kwa muda wa wiki, na mayai yao hayafai kuliwa kwa muda huo,.. mfano, baadhi ya chanjo za magonjwa ya GUMBURO,....lakini wafugaji hawazingatiii hilo,....SASA HII NDO HATARI YENYEWE,...,...

SHIDA KUBWA NI MATUMIZI YA DAWA YASIO SAHIHI ,....

hawa wanaosema kuna kuku hawana baba wala mama tuwaache kwanza,...
Akiendelea kubishana na hapa uyu ni wa kumuacha tena mkuu.
 
Vitu asilia viko porini au msituni, sio shambani.
Akili zako zina changamoto za afya mahali flani, uliza Mtanzania yeyote aliyewahi kufika huku Nanjilinji akueleze kukoje, Watu tunapishana na wanyama pori kila siku afu unajiona mjanja kumbe unajikaanga na mafuta yako mwenyewe. Nilishakwambia endelea na siasa ila hapa umechemka, si unaona sasa unavyojiweka uchi kiakili?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Labda wewe uliyepo huko mjini, mi najilia vitu asilia niko huku Shambani Nanjilinji. Unakaza fuvu kabisa nyama ya ng'ombe wa kienyeji inayoiva kwa masaa mawili hadi matatu ina ladha sawa na ng'ombe wa kisasa maji mara 1 kwa nusu saa tu?

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Unakula kuku imekonda kama mijiti, kuku zinashambuliwa na magonjwa hata mafuta hawana. Asee Mungu aniepushe na huu Ufala
 
Hao watu wanakula kuku bila kumbuka nyumbani.
Liko bwege moja lilikua fundi huko ulaya, amekula maisha na Malaya karudi mikono mitupu. Akajisalumisha kwa single maza mmoja mwenye yake na kutangaza ndoa. Single maza naye kwasababu alishachoka kuishi kwenye bangaloo peke yake akaona isiwe tabu. Acha nimkubaliye awe anafanya kazi za shamba, ng'ombe, mbuzi na kuku mchana, usiku atashuka chumvini.
Mwanaume usipojipanga ujanani utakuja kudhalilika uzeeni kisa ugali wa bure.
 
Soko la kuku ni kubwa ..mzungu hana muda wa kusubiri mwaka mzimw ili kuku wa kienyeji akue.

Kuku akifika wiki tatu anakuwa kashavunja ungo tayari kwa kuliwa/kutafunwa
...'Kashavunja ungo kwa kuliwa'... Mkuu sikuwezi🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom