Mliokaririshwa uongo kuwa mishahara ya walimu ni midogo kuliko watumishi wengine wa serikali, nawaanikia hapa

Mliokaririshwa uongo kuwa mishahara ya walimu ni midogo kuliko watumishi wengine wa serikali, nawaanikia hapa

wewe
-mwenzako kasema kuwa nyie Walimu mlitakiwa mfanye interview baina ya yenu nyie Walimu, hakumaanisha Walimu washindanishwe na wasio Walimu, halafu Mwalimu mzima huelewi vitu vidogo kama hivi.
- Kama ni Magari ya kifahari nenda HQ ya TPDC,EWURA,LATRA,EGA,TRA huko utakuta Discovery 3, 4 za kutosha, Huko Tumbi,Tambaza mostly ni IST,VITZ
una ipi? hivyo unavyovitaja walimu wawatumii usafiri huo!! Nenda ukajionee!!
 
Jamii ya watanzania wanavyoelewa ni kwamba kazi ya ualimu ndiyo yenye mshahara mdogo kuliko kazi zingine zote. Hivyo hii imepelekea hadhi ya mwalimu kwenye jamii kushuka sana na mwalimu kuhesabika kuwa ni duni katika jamii. Lakini hii si kweli hata kidogo. Msichana akitaka kuchumbiwa na mwalimu anajisikia mnyonge, na mara nyingi hukataa labda akihisi kuwa umri unamtupa mkono au akiona hajapata chaguo la moyo wake.

Ukweli ni kwamba watumishi wote wa serikali (walimu na kada zingine) mishahara yao iko chini sana! Lakini ukiilinganisha hiyo mishahara yao midogo, mshahara wa mwalimu unakuwa juu kidogo kuliko kada zingine isipokuwa kwa kada ambazo wanasoma miaka mingi zaidi kama madaktari, wafamasia na wahandisi.

Ngoja niwaanikie hapa:

Mishahara ya walimu wanaoanza wenye digrii ya kwanza:
Hadi Juni 2022 walikuwa kwenye TGTS D1 = 716,000/=
Kuanzia Julai 2022 wanakuwa kwenye TGTS D1 = 771,000/=

Mishahara ya kada zingine wasio walimu wenye digrii ya kwanza:
Hadi June 2022 walikuwa kwenye TGS D1 = 710,000/=
Kuanzia Julai 2022 wanakuwa kwenye TGS D1 = 765,000/=

Kwa hiyo hadi Juni 2022 mshahara wa mwalimu ulikuwa unazidi mshahara wa kada nyingine kwa sh 6,000/=.
Kuanzia Julai 2022 mshahara waq mwalimu unazidi mshahara wa kada zingine kwa sh 6,000/= pia.

Kwa wastani mishahara ni midogo kwa wote japo jamii inaamini kuwa mwalimu ndiye mwenye mshahara mdogo wakati siyo kweli. Wahanga wa uongo huu wamekuwa ni wasichana kukataa kuolewa na walimu na kushobokea kada zingine kwa kigezo cha mshahara.

Mtumishi wa serikali akilalamika kuwa mshahara ni mdogo watu wanakimbilia kusema kuwa huyo lazima atakuwa ni mwalimu.

Nashauri tuwaheshimu sana walimu wetu, tusiwabeze bali tuwatie moyo maana kazi yao ni ngumu na ni muhimu sana. Kinachoendelea kwenye mitandao ya kijamii kwa sasa ni kukejeli walimu eti ndio wanaolalamikia nyongeza kiduchu ya mshahara mwaka huu kinyume na matarajio yao.
Ww si ndo ulichukulia advantage kwao ukaingiza makontena ya furniture na electronics halafu ukatudanganya ni vifaa vya walimu?

Hata uzungumze nini huna ishu mbele yetu watz.

Hatujakusahau, baada ya Jambazi Sabaya Tunarudi kwako Daud Albert Bashite, ulifoji vyeti
 
Ww si ndo ulichukulia advantage kwao ukaingiza makontena ya furniture na electronics halafu ukatudanganya ni vifaa vya walimu?

Hata uzungumze nini huna ishu mbele yetu watz.

Hatujakusahau, baada ya Jambazi Sabaya Tunarudi kwako Daud Albert Bashite, ulifoji vyeti
Kumbe mbingunikwetu ni Mzee mzima Bashite Pol M Albert Bashite
 
Mchongo ni unakiri kosa HARAKA ili usisote Sana jela ili kusubir uchunguzi.
afu jaji anakuhukumu kulipa faini ya mil.10 au kifungo Cha miaka 5 kwa kuisababishia serikali hasara ya bil.10.
unalipa faini unatoka, unatembe zako na bakshishi ya mil. 710 kibindoni
Ndio maana hawaachi kuiba sababu wanajua Sheria zenyewe za KINGESE haziwafungi wezi wa mabillion bali zinawabeba
 
Walimu Hawana dili Wala marupurupu ya ziada Kama kada nyingine, hiki Ndo kinawafanya kua maskini Sana

1. Dreva wa halmashaur ana mshahara mdg kuliko mwalimu ila atapiga dili za vifusi,mchanga,kokoto n.k night za misafara n.k

2. Afisa biashara au ardhi wa halmashaur ana mshahara mdg kuliko mwalimu,
Ila atapiga rushwa za leseni za kufa mtu.

3. Afisa mifugo au kilimo atapiga elfu tano tano za sindano mifugo ya watu au atalima mashamba yake uko uchochoroni kwa kutumia dawa au pembejeo za ruzuku za serikali.

4. Mfamasia atakula laki tano tano kila mwezi for free za cheti chake tu kutumika kwny maduka ya dawa ya watu uko mitaani uku katulia tu..

5. Daktar au nesi wa halmashaur,
Hawa dili za semina,mafunzo n.k Ni nyingi mno(covid 19, chanjo, ukoma, malelia n.k). Hapo bado hawajaiba vifaa Tiba na kuviingiza mtaani kwenye hospital binafs.
[emoji117] Kuna na mabwana afya kaam matrafiki TU, wanatupiga Sana elfu hamsin hamsi Za faini uku mitaani

6. Wahasibu na maafisa manunuzi wa halmashaur wanapiga Sana dili za kimahesabu na 10% wakishirikiana na maboss wao (wakurugenz) ili Kupiga Cha juu kwenye tenda na matumiz mbalimbali ya fedha kwny halmashaur.

7. Maengineer wa halmashaur Ndo kabsaa wezi wakubwa, wao kila mradi wa serikali wakipewa kusimamia Lazima umalizike na yeye tayar ana kijumba keshakijenga kwa material zile zile za mradi.

8. Maafisa masjala wao Ni Kama matrafiki au madalali wa viunga vya halmashaur, una faili lako pale kwa mkurugenz au mkuu wa wilaya,ili likimbie chap chap Lazima utamwachia elfu 2 au elfu 5 ya maji.

9. Afisa maliasili wa halmashaur Hawa Ni wazee wa madili na rushwa za misitu,mikaa,mbao na magendo mbalimbali ya serikali.

10. Afisa utumiishi Hawa ndio wazee wa madili ya watumishi hewa.
[emoji117]Mtu anafariki, ripoti haiendi hazina kusitisha mshahara. Inatolewa ripoti ya mwajiriwa kubadili account yake, mshahara wa marahemu wanaula hata miaka 10 mfulurizo bila yeyote kujua.
[emoji117]mtu anamakosa ya kinidhamu,kasimamishiwa mshahara. Ripoti haiendi hazina, inabadilishwa tu account. Wanaupiga kimya kimya. Ukisamehewa ukarudishiwa mshahara, ule wa nyuma hata uulizii.
[emoji117]mtu anaripoti Ila haendi kituo Cha KAZI, au anaacha kazi anaenda zake private kwa muda.
wanakula dili na afisa utumishi, wanaugawana nusu nusu huku yeye Yuko zake private sector anapiga Ela nyingine.

Kama Kuna mtumish mwngne wa halmashaur nmemsahau nikumbushe.

Ila kiuhaisia mwalimu nje ya mshahara sijui atapiga dili gani atoboe,

ukiachilia mbali suala la twisheni ambalo bado kipato chenyewe Ni kidg mno na jasho linalomtoka Ni jingi mno

Sijui atapiga dili gan jingine maana vitabu vyote vya serikali vimeandikwa "HAKIUZWI", boksi lenyewe la chaki Mtaani halizidi hata elfu 2.
Vyakula kwa wanafunzi, na siku hizi kwenye ujenzi wa madarasa na vyoo walimu Wapo ukiwaruka hupati kazi, hasa kwenye hizi tends za Foss accounts
 
DIPLOMA YA MADINI Mfano geology au mining technician.SERIKALINI ANAANZA NA 716000 HIYOHIYO YA MWALIMU WA DEGREE


MGODINI MTU MWENYE DIPLOMA HIYOHIYO ANAANZA NA MSHAHARA WA 1,780,000


HAKIKA UALIMU NI MASKINI
 
Walimu Hawana dili Wala marupurupu ya ziada Kama kada nyingine, hiki Ndo kinawafanya kua maskini Sana

1. Dreva wa halmashaur ana mshahara mdg kuliko mwalimu ila atapiga dili za vifusi,mchanga,kokoto n.k night za misafara n.k

2. Afisa biashara au ardhi wa halmashaur ana mshahara mdg kuliko mwalimu,
Ila atapiga rushwa za leseni za kufa mtu.

3. Afisa mifugo au kilimo atapiga elfu tano tano za sindano mifugo ya watu au atalima mashamba yake uko uchochoroni kwa kutumia dawa au pembejeo za ruzuku za serikali.

4. Mfamasia atakula laki tano tano kila mwezi for free za cheti chake tu kutumika kwny maduka ya dawa ya watu uko mitaani uku katulia tu..

5. Daktar au nesi wa halmashaur,
Hawa dili za semina,mafunzo n.k Ni nyingi mno(covid 19, chanjo, ukoma, malelia n.k). Hapo bado hawajaiba vifaa Tiba na kuviingiza mtaani kwenye hospital binafs.
[emoji117] Kuna na mabwana afya kaam matrafiki TU, wanatupiga Sana elfu hamsin hamsi Za faini uku mitaani

6. Wahasibu na maafisa manunuzi wa halmashaur wanapiga Sana dili za kimahesabu na 10% wakishirikiana na maboss wao (wakurugenz) ili Kupiga Cha juu kwenye tenda na matumiz mbalimbali ya fedha kwny halmashaur.

7. Maengineer wa halmashaur Ndo kabsaa wezi wakubwa, wao kila mradi wa serikali wakipewa kusimamia Lazima umalizike na yeye tayar ana kijumba keshakijenga kwa material zile zile za mradi.

8. Maafisa masjala wao Ni Kama matrafiki au madalali wa viunga vya halmashaur, una faili lako pale kwa mkurugenz au mkuu wa wilaya,ili likimbie chap chap Lazima utamwachia elfu 2 au elfu 5 ya maji.

9. Afisa maliasili wa halmashaur Hawa Ni wazee wa madili na rushwa za misitu,mikaa,mbao na magendo mbalimbali ya serikali.

10. Afisa utumiishi Hawa ndio wazee wa madili ya watumishi hewa.
[emoji117]Mtu anafariki, ripoti haiendi hazina kusitisha mshahara. Inatolewa ripoti ya mwajiriwa kubadili account yake, mshahara wa marahemu wanaula hata miaka 10 mfulurizo bila yeyote kujua.
[emoji117]mtu anamakosa ya kinidhamu,kasimamishiwa mshahara. Ripoti haiendi hazina, inabadilishwa tu account. Wanaupiga kimya kimya. Ukisamehewa ukarudishiwa mshahara, ule wa nyuma hata uulizii.
[emoji117]mtu anaripoti Ila haendi kituo Cha KAZI, au anaacha kazi anaenda zake private kwa muda.
wanakula dili na afisa utumishi, wanaugawana nusu nusu huku yeye Yuko zake private sector anapiga Ela nyingine.

Kama Kuna mtumish mwngne wa halmashaur nmemsahau nikumbushe.

Ila kiuhaisia mwalimu nje ya mshahara sijui atapiga dili gani atoboe,

ukiachilia mbali suala la twisheni ambalo bado kipato chenyewe Ni kidg mno na jasho linalomtoka Ni jingi mno

Sijui atapiga dili gan jingine maana vitabu vyote vya serikali vimeandikwa "HAKIUZWI", boksi lenyewe la chaki Mtaani halizidi hata elfu 2.

Katibu mahsusi….
Maafisa ukaguzi…
Walinzi……
Maafisa ugavi [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hakuna kada isiyo na wizi,
Wizi upo kuanzia kwnyw ngazi ya uraisi,bungeni,mawizarani mpk kushuka chini kabisa kwny mahalmashaur.

Ufisadi umewaneemesha mwengi sana,
Hata uku mitaani kwny vibanda vyetu, watumishi wanafanya biashara for leisure, mzigo ukikata, anapiga ufisadi wake anajaza mzigo TU.
Wao suala la kushusha Sana Bei kukimbizana na ushindani hata sio kazi yao. Una hela nunua, huna Ela tembea mbele.

Kingine,
Kwa zama tulizopo,
Hakuna mwanamke ana ubavu /kifua cha kumkatalia mwanaume fisadi hata siku moja, Habar za umezitoa wapi pesa hiyo hata haimuhusu.
mwanamke anachotaka Ni huduma zake zitimizwe TU TU. Full stop[emoji3578]

[emoji23][emoji23][emoji23] kitengo ulichopo/ulichokuwa watakuwa wameisoma sana namba.

Niliwahi kukutana na jamaa mmoja akashangaa sana amepewa huduma bila kutoa hela, tena hapo amepiga hela nzuri sana. Aisee aliapiza angekuwa amesoma hakuna bure bure lbd kama anatibu mgonjwa. [emoji28][emoji28]

Taifa linachangamoto sana za maadili. Unajiuliza mtumishi hana biashara na TGS D yake, anakaa Tegeta, kazi Temeke. Amepanga, anaendesha gari kila siku, analewa na pupuchi za mzunguko [emoji28]. Aiseee kunamiujiza mingi sana.
 
Walimu Hawana dili Wala marupurupu ya ziada Kama kada nyingine, hiki Ndo kinawafanya kua maskini Sana

1. Dreva wa halmashaur ana mshahara mdg kuliko mwalimu ila atapiga dili za vifusi,mchanga,kokoto n.k night za misafara n.k

2. Afisa biashara au ardhi wa halmashaur ana mshahara mdg kuliko mwalimu,
Ila atapiga rushwa za leseni za kufa mtu.

3. Afisa mifugo au kilimo atapiga elfu tano tano za sindano mifugo ya watu au atalima mashamba yake uko uchochoroni kwa kutumia dawa au pembejeo za ruzuku za serikali.

4. Mfamasia atakula laki tano tano kila mwezi for free za cheti chake tu kutumika kwny maduka ya dawa ya watu uko mitaani uku katulia tu..

5. Daktar au nesi wa halmashaur,
Hawa dili za semina,mafunzo n.k Ni nyingi mno(covid 19, chanjo, ukoma, malelia n.k). Hapo bado hawajaiba vifaa Tiba na kuviingiza mtaani kwenye hospital binafs.
[emoji117] Kuna na mabwana afya kaam matrafiki TU, wanatupiga Sana elfu hamsin hamsi Za faini uku mitaani

6. Wahasibu na maafisa manunuzi wa halmashaur wanapiga Sana dili za kimahesabu na 10% wakishirikiana na maboss wao (wakurugenz) ili Kupiga Cha juu kwenye tenda na matumiz mbalimbali ya fedha kwny halmashaur.

7. Maengineer wa halmashaur Ndo kabsaa wezi wakubwa, wao kila mradi wa serikali wakipewa kusimamia Lazima umalizike na yeye tayar ana kijumba keshakijenga kwa material zile zile za mradi.

8. Maafisa masjala wao Ni Kama matrafiki au madalali wa viunga vya halmashaur, una faili lako pale kwa mkurugenz au mkuu wa wilaya,ili likimbie chap chap Lazima utamwachia elfu 2 au elfu 5 ya maji.

9. Afisa maliasili wa halmashaur Hawa Ni wazee wa madili na rushwa za misitu,mikaa,mbao na magendo mbalimbali ya serikali.

10. Afisa utumiishi Hawa ndio wazee wa madili ya watumishi hewa.
[emoji117]Mtu anafariki, ripoti haiendi hazina kusitisha mshahara. Inatolewa ripoti ya mwajiriwa kubadili account yake, mshahara wa marahemu wanaula hata miaka 10 mfulurizo bila yeyote kujua.
[emoji117]mtu anamakosa ya kinidhamu,kasimamishiwa mshahara. Ripoti haiendi hazina, inabadilishwa tu account. Wanaupiga kimya kimya. Ukisamehewa ukarudishiwa mshahara, ule wa nyuma hata uulizii.
[emoji117]mtu anaripoti Ila haendi kituo Cha KAZI, au anaacha kazi anaenda zake private kwa muda.
wanakula dili na afisa utumishi, wanaugawana nusu nusu huku yeye Yuko zake private sector anapiga Ela nyingine.

Kama Kuna mtumish mwngne wa halmashaur nmemsahau nikumbushe.

Ila kiuhaisia mwalimu nje ya mshahara sijui atapiga dili gani atoboe,

ukiachilia mbali suala la twisheni ambalo bado kipato chenyewe Ni kidg mno na jasho linalomtoka Ni jingi mno

Sijui atapiga dili gan jingine maana vitabu vyote vya serikali vimeandikwa "HAKIUZWI", boksi lenyewe la chaki Mtaani halizidi hata elfu 2.
Sina la kuongeza
 
[emoji23][emoji23][emoji23] kitengo ulichopo/ulichokuwa watakuwa wameisoma sana namba.

Niliwahi kukutana na jamaa mmoja akashangaa sana amepewa huduma bila kutoa hela, tena hapo amepiga hela nzuri sana. Aisee aliapiza angekuwa amesoma hakuna bure bure lbd kama anatibu mgonjwa. [emoji28][emoji28]

Taifa linachangamoto sana za maadili. Unajiuliza mtumishi hana biashara na TGS D yake, anakaa Tegeta, kazi Temeke. Amepanga, anaendesha gari kila siku, analewa na pupuchi za mzunguko [emoji28]. Aiseee kunamiujiza mingi sana.
Kibongo bongo ni nipe nikupe,
Kila mtu anakula ofsin kwake mkuu
Ukiuelewa huo mfumo,huwez pata tabu[emoji4]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Katibu mahsusi….
Maafisa ukaguzi…
Walinzi……
Maafisa ugavi [emoji23][emoji23][emoji23]

1. Katibu mahsusi madili yao ni kama masjala tu. Wazee wa "NIPE YA MAJI" ili ufanyiwe connection na faili lako likimbie

2. Walinzi hawa wanapiga dili na madreva wanaotumia magar ya halmashaur nje ya mada wa kazi.
Mf: kuna tipper,excavator inatakiwa ikachimbe na ikabebe vifusi usiku kinyemela,mlinzi atahusika na mgao atapata.
-kuna Lc mkonga,vx au v8 imekufa imepaki tu halmashaur, inatakiwa iibiwe spea ikauzwe mtaani,mlinzi atahusika na mgao atapata.

3. Maafisa ugavi ndo watu gani hao,siwajui nifafanulie[emoji848]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
1. Katibu mahsusi madili yao ni kama masjala tu. Wazee wa "NIPE YA MAJI" ili ufanyiwe connection na faili lako likimbie

2. Walinzi hawa wanapiga dili na madreva wanaotumia magar ya halmashaur nje ya mada wa kazi.
Mf: kuna tipper,excavator inatakiwa ikachimbe na ikabebe vifusi usiku kinyemela,mlinzi atahusika na mgao atapata.
-kuna Lc mkonga,vx au v8 imekufa imepaki tu halmashaur, inatakiwa iibiwe spea ikauzwe mtaani,mlinzi atahusika na mgao atapata.

3. Maafisa ugavi ndo watu gani hao,siwajui nifafanulie[emoji848]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Afisa ugavi ni watu wa procurement, wazee wa kusimamia manunuzi

hawa ndo wapigaji haswaaa
 
QUOTE="Mkongwee, post: 48095149, member: 497193"]
Imepanda bhanaa, Bi Mkubwa kaongeza ten hii July....ss wanakunja milioni mojaa
[/QUOTE]Alaaa!Kumbe?
 
Back
Top Bottom