Mlioko kwenye ndoa naomba ushauri hasa wanawake: Nilifumaniwa na mtoto wangu wa kiume

Habari za jioni.
Mimi ni mama mtu mzima nina watoto 4 kwa mume wangu wa ndoa kabisa.

Niende kwenye mada.
Miaka 10 iliyopita nilifumaniwa na mtoto wangu wa kiume(my first born). Sikuamini kilichotokea nilishituka sana kwa hile
Kama umevumilia miaka yote hiyo Kumi na yeye mwanao ashafika umri wa kuwa na familia yake usisubutu kufungua mdomo wako kwa mumeo labda kama unataka kutubu na ndoa iishie hapo sawa ila kama unaitaka ndoa ww endelea kukakaa kimya na usitumie nguvu sana kuweka mambo sawa kwa mwanao ataoa mda si mrefu anaelewa kuwa kwenye ndoa huwa Kuna kipindi Cha tope vumbi na Kila aina ya rangi na ww utabakibna mumeo maisha yatasonga kosa lako lilikuwa kutumia nguvu mtoto akusamehe au muelewana tena huyo ndio mzuri hajawa mnafiki kwako wala kwa baba yake vinginevyo mngerekebisha na mzee angejua ndio ungekuwa balaa kwa wote ww na mwanao mwanao amekusadia kukaa mbali na maujinga Yako ww muheshimu kwa Hilo unavyotaka awe ni kuwa mwanaume mjinga mtoto wa kiume anayejitambua na anatajia kuwa baba kesho hawezi kumsaliti baba yake kijinga kwa makosa ya mama yake
 
Tubu kwa Mungu wako pekee,usiliseme hili kwa mchungaji au yeyote anaekufahamu.

Amua kubadilika kitabia,matendo yako,na chochote unachoona hakimpendezi Mungu,muombe akupe kibali Kwa mwanao kurudisha mapenzi kwako.

Ila yote yatawezekana kama ukiwa muaminifu na kukubali kubadilika na kuachana na makandokando yako.

Kwa MUNGU yote yanawezekana,ila kwetu binadamu utaishi kwenye maumivu zaidi kama ukilitoa nje. Naamini mpaka leo mwanao hajaliongea popote
 
Acha kumchuza mwenzako

 
Chai
 
Hizi thread za kuwacheat waume zenu mkikamatwa mnakuja kulia lia humu mbona nyingi sana siku hizi? Ni kama mko proud na mnachokifanya sio?

Kiukweli pambaneni na hali zenu, binafsi sinaga ushauri kwenye mambo kama haya.
Bora nawe umenotice,. Wanatuletea trend uchwara tu hapa.
Wanafanya vijana wa watu waone wake wa siku hizi ni hamna kitu.

Kwa kweli wakomae na shida zao
 
Mimi nafanya kazi kwenye wizara moja hivi nipo hapa dsm mpaka sasa
Kuna haja gani we mama mtu mzima new member??
Mwambie mumeo mtoto anakuchukia sababu alikukuta unataka kuliwa dukani. Lol

Mama mtu mzima kwanini hujaja na Id yako ya zamani??
Kuna marioo gani hapa unamtega? 😂😂

Ukute uko na kende 2 hapo ila wajifanya wakike. Mweeh.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…