Mlioko kwenye ndoa zaidi ya miaka 5

Du! Pole sana. Inawezekana pale kila mmoja atakapotambua thamani ya mwenzie. Vinginevyo ni kuishi kwa mazoea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usikubali ndoa ikushinde mapema hivyo, komaa utavuka tu.
 
Kuna muda umri ukufika unatongozwa na wanaume za watu tu hakuna hata wa kukwambia nikuoe
Sasa hali Kama iyo ukikutana na mtu hata kwa bahati mbaya yuko single akajaribisha tu nikuoe wewe unaingia mwil mzima
 
Tatizo mnaingia kwenye ndoa kama step tu ta maisha. Eti muda umefika.

Haya sasa unakiharakisha na kifo maana ndo step iliyobaki.
 
Kwa uzoefu wangu mdogo...ndoa ikivuka miaka mitatu ya kwanza, itadumu muda mrefu kama sio daima. Miaka miwili hadi mitatu ya kwanza huwa ni challenging kwa ndoa nyingi sana. Miezi ya mwanzo ya ndoa ni kama heaven fulani hivi..then reality checks in after na ndio hapo ili muwe aligned kuna migogoro mingi na kutofautiana sana. Ikipita miaka miwili mnakuwa tayari mmeshakuwa mnazungumza lugha moja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa ndio ulipomkaribisha pepo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…