financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utafika mkuu,mi naona kama tumeoana Jana,ndoa yangu bado ni mpya na itaendelea kuwa hivyo in the name of Jesus.
Du! Pole sana. Inawezekana pale kila mmoja atakapotambua thamani ya mwenzie. Vinginevyo ni kuishi kwa mazoeaJaman mlioko ndoan ndan ya miaka 5 nakuendelea mmewezaje??
Yan mmewezaje kuishi wawil mpaka miaka hiyo
Yaan mi miaka 2 tu nataman dunia igeuke kichwa chini miguu juu
Yan ukimuona mwenzio unapata hasira gafla
Akisafir unataman asirudi du!!!
Mmewezaje jaman nipen mbinu
AmeeenUtafika mkuu,mi naona kama tumeoana Jana,ndoa yangu bado ni mpya na itaendelea kuwa hivyo in the name of Jesus.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna muda umri ukufika unatongozwa na wanaume za watu tu hakuna hata wa kukwambia nikuoeIla mwanamke mwenzangu ulikubali vipi kuolewa na mwanaume hakupendi ndio shida unayopata sasa hivi
Mimi acha nikupe pole tu nimefatilia thread zako za nyuma dalili zote ulishaziona kwa huyu mwanaume toka mnaanzisha mahusiano na ukaolewa naye tu moshi unafuka sasa ndani
Kuna muda umri ukufika unatongozwa na wanaume za watu tu hakuna hata wa kukwambia nikuoe
Sasa hali Kama iyo ukikutana na mtu hata kwa bahati mbaya yuko single akajaribisha tu nikuoe wewe unaingia mwil mzima
[emoji3][emoji3],sidhani kama nastahili hiyo sifa ,sina u wife material wowote mkuu[emoji3][emoji1787][emoji1787] itadumu, maana you are wife material na mimi pia ni husband material
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee, I was wondering ndoa ina miaka 2 michache,kumbe kuna iliyokua na miezi tu[emoji849], poleeDuh...! Mkuu, miaka miwili...! Hongera sana...nasema hongera sana...! Mi ndoa yangu imesambaratika ndani ya miezi sita
h
Hapa ndio ulipomkaribisha pepo...Jamani mlioko ndoani ndani ya miaka 5 nakuendelea mmewezaje?
Yaani mmewezaje kuishi wawili mpaka miaka hiyo
Yaani mimi miaka 2 tu natamani dunia igeuke kichwa chini miguu juu.Yaani ukimuona mwenzio unapata hasira gafla.
Akisafiri unatamani asirudi dah!
Mmewezaje jamani nipeni mbinu
Dada unafukua aiseeHapa ndio ulipomkaeribisha pepo...
Natafuta chanzo cha tatizoDada unafukua aisee