Mlioko mikoani msiongopewe hili ndio Jiji hali la Da’s laam

Mlioko mikoani msiongopewe hili ndio Jiji hali la Da’s laam

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Ukiwa mkoani ukiona zile picha za posta unaweza sema das’ laam ni kama ulaya.

Ndugu zangu jiji letu pendwa ndio hilo hapo kwenye picha. Hii picha imepigwa na club ya Al ahly ya nchini Misri na kuipost kwenye page zao.😀

9C9EEA01-E652-4E8F-B1A8-B94A14E32A51.jpeg
 
Mitaa ya hovyo Washngton Dc? Katikati ya jiji?

Kwa hiyo temeke ni katikati ya Mji? Bangi Mbaya sana, angaloa vitu vifuatavyo kama una akili:

  • Angalia size n population ya DC
  • Angalia size n population ya Dar.
  • Angalia distance ya posta na Temeke
  • linganisha ni umbali gani kwa ration ya population na size ya DC, then utaelewa nachosema
 
Back
Top Bottom