RoDrick RaY
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 1,189
- 1,690
Mzalendo alikufa na covid-19Alafu huo sio uzalendo mkuu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzalendo alikufa na covid-19Alafu huo sio uzalendo mkuu...
Na wewe ndo wale waleMzalendo alikufa na covid-19
🤣🤣 watu wabaya kweliKiukweli kwa hili siwezi kumsamehe mwanzisha mada🥺
Hiyo club iliyopiga picha lolote liwakute🤣🤣 watu wabaya kweli
Wameacha kupiga upande wa Flyover ya Uhasibu , wakaona watafuta angle mbovu kabisa ni wamepiga, daahUkiwa mkoani ukiona zile picha za posta unaweza sema das’ laam ni kama ulaya.
Ndugu zangu jiji letu pendwa ndio hilo hapo kwenye picha. Hii picha imepigwa na club ya Al ahly ya nchini Misri na kuipost kwenye page zao.😀
View attachment 2947919
Hakuna
Unaweza kupanga mji vizuri hata kama ni nyumba za matope, muulize Polepole Cuba ilivyopangwa na nyumba zake za kizamani na sio hata nchi iliyoendelea.Hivi mnafikiri Tanzania ni nchi iliyoendelea?
Tutakukanda majira ya saa tatu usikuWaarabu wetu watatukanda saa ngapi?
Leo unashabikia wadogo zake mtume?Kakosa nini?
Lini Tanzania tumeendelea?Leo unashabikia wadogo zake mtume?
Andika vizurituneendelea?
Sijuwi.Andika vizuri
Kama Dar inayosifiwa iko hivi je huko Mikoani hali ikoje?Ukiwa mkoani ukiona zile picha za posta unaweza sema das’ laam ni kama ulaya.
Ndugu zangu jiji letu pendwa ndio hilo hapo kwenye picha. Hii picha imepigwa na club ya Al ahly ya nchini Misri na kuipost kwenye page zao.😀
View attachment 2947919
HahahAnavofanya jamaa ni ushamba..
Mzalendo awezi fanya mambo kama hayo..
Time will tell ndo saa ngapi broTime will tell..😂😂🙌
... WASHAMBA UTAWAWEZA? ... wengine wanakataa kupeleka hata wachumba zao nyumbani kwa kuhofia wataonekana malofa!hata ulaya kuna sehemu hizo pia