Mlioko mikoani msiongopewe hili ndio Jiji hali la Da’s laam

Mlioko mikoani msiongopewe hili ndio Jiji hali la Da’s laam

Hajasema uongo, kaonesha uhalisia.

Ndugu yangu wewe unauita unafki ndo uzalendo.

Na pia kudhani watu wa nje wanaichukulia Tanzania kama nchi flani bora ni kujidanganya sana.
asante homeboy all the way from mlima meru. sengerema blaaadfwaken kantri wanataka tudanganye. mimi huwa nawaambia ukwle tz umeme shida maji shida miundombinu sifuri.
 
IMG_20240328_222806.jpg
 
Kwahiyo hapo ndo Temeke? Kwa juma nature wa TMK halisi ni wapi?
Sasa hapo hapo picha hii ilipopigwa,hapo ndani ndichi hapo ndiyo kulikuwa na kijiwe pendwa cha kiroboto(nature)vilevi vya bei poa vilipatikana hapo,bila kusahau sigara bwege,ilivutwa hadharani tu.
 
Back
Top Bottom