Mlioko Tanzania tutupieni jamvini picha za sayari ya Jupiter na Saturn

Hivi mleta mada unajua TENSES kweli?? Unaweza kweli kusema:
"Usiku wa kuamkia leo Sayari ya Jupiter na Saturn zitaonekana..."??!
Unaposema hivyo maana yake huo usiku umeshapita, muda huo ni leo. Utasemaje tena zitaonekana"? Rudi darasani.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna sayari ambayo ni pure gas and omly dust tu bila compact and tangible materials.

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Hayo ni majina tu, wewe baki na neno moja Mungu, ndiye alieumba ulimwengu usioonekana na ulimwengu huu unaoonekana.
sio majina tu mkuu hao ni mungu tofauti tena wana bifu maana kuna mungu mmoja hapo hapendi wafuasi wa mungu mwingine na aliamuru wachinjwe...Sio hao tu Bado kuna Mungu wengine zaidi ya 5000

sasa ndo nlikuwa naulizia blaza kati ya hao ni yupi aliumba?
 
Ngoswe ndo nani kwani..??
ukifika form 3 utamsoma usihofu.

Unavyo wapo mwilini au nje ya mwili??
mwili gani?

Na Ili upate giza na baridi umeweka nini na nini vireact ..?
giza na baridi ni ukosefu wa mwanga na joto...Hivyo niliviumba kwanza kabla ya kila kitu
Umekuja kula sikukuu na kumpongeza magufuli...??
mara ya mwisho nlikuja miaka ya 600 nikakuta watu jangwani uko wanachinjana..Sasa hivi nimekuja nakuta lami na Barabara za hewani...Kongole kwa Magufuli..[emoji109] tena
Aah...kumbee,aisee sikujua kabisaaa kama ile hatari hviiii
ndo ujue sasa
Unaitwaje??
unaitwa ulimwengu
 
😅😂...

Njoo nikufundishe kucheza draft mkuu..😃
 
Ok, unaweza kunitajia huyo mungu ambae hapendi wafuasi wa mungu mwingine?
 
Wewe ulijiexist vipi?

Kwanini uwaadhibu hao viumbe ulio viumba?

Kwanini iliweka upendeleo kwa baadhi ya hao viumbe wako?

Uliwaumba kwa faida gani hao viumbe?
 
Wewe ulijiexist vipi?
haya mambo ya mwanzo na mwisho mimi ndo nimeyatengeneza...sina mwanzo niko nje ya time maana mimi ndo niliitengeneza hiyo time
Kwanini uwaadhibu hao viumbe ulio viumba?
kwanini nishindwe kuadhibu viumbe wakaidi niliowaumba?yaani ni sawa umuulize mama kawanini umuadhibu mtoto uliemzaa?

Kwanini iliweka upendeleo kwa baadhi ya hao viumbe wako?
niliamua tu...na sipangiwi ni sawa na mconga masofa...anayo mazuri ya bei kubwa na mabaya ya bei ndogo sasa yale mabaya hayawezi kulalamika kwanini ulitutengeneza hivi...Ni maamuzi yangu

Uliwaumba kwa faida gani hao viumbe?
I was bored
 
Kwhayo majibu yako sina cha kukuuliza,nilicho kigundua nikama vile natwanga maji kwenye kinu

Endelea na sinema zako.
 
Acheni MUNGU aitwe MUNGU.
hayo matufe yanayoelewa huko angani kwa kweli Ni uumbaji wa PEKEE
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…