Mlioko Tanzania tutupieni jamvini picha za sayari ya Jupiter na Saturn

Mlioko Tanzania tutupieni jamvini picha za sayari ya Jupiter na Saturn

Basi turudi kwenye ile mada yetu baada ya kuzunguka milima....wewe unasema uwepo wa siku,sayari nyota kifo vinathibitisha uwepo wa Mungu mimi ninasema vinathibitisha uwepo wangu...Who is Right?
Unamaanisha unataka kumsaidia Kiranga dhidi ya hii mada..??

Anyway...tupo pamoja mkuu.

Uwepo wa usiku na mchana,mwezi na jua na uhai na umauti ni alama tosha za uwepo wa muumbaji wa hvyo (Mungu).

Je,kati ya hvyo kipi wewe umekiumba au kuna mzungu au ndugu yako yoyote alieumba hvyo vitu???
 
Unamaanisha unataka kumsaidia Kiranga dhidi ya hii mada..??

Anyway...tupo pamoja mkuu.

Uwepo wa usiku na mchana,mwezi na jua na uhai na umauti ni alama tosha za uwepo wa muumbaji wa hvyo (Mungu).

Je,kati ya hvyo kipi wewe umekiumba au kuna mzungu au ndugu yako yoyote alieumba hvyo vitu???
Hapana kiranga ana angle tofauti kabisa na Yangu.

Huyo muumbaji sio Mungu ni mimi.
 
Jana tulikuwa bize kutafuta koneksheni kupata ka video ka waheshimiwa wa kutoka kule mjengoni, sasa hii ilitupita...
 
Embu vitaje hvyo kila kitu,au havina majina.

Mfno...sema mimi nmeumba kitu fulani na kitu fulani,Ili tuone bhangi unayovuta ni ya bara gani?
Dah huelewi nini?? Mimi nimeumba kila kitu...Jua,mwezi nyote masayari,Dunia na vyote vilivyomo ulimwenguni nimeumba...mimi hapa
 
Dah huelewi nini?? Mimi nimeumba kila kitu...Jua,mwezi nyote masayari,Dunia na vyote vilivyomo ulimwenguni nimeumba...mimi hapa
Kati ya hvyo vyote kipi ulianza kuumba na kipi ulimalizia??

Mechanism gani unatumia kuendesha hvyo ulivyoviumba..??

Hv kati ya wewe na ulivyoviumba kipi kimeanza kuexist..??
 
Kati ya hvyo vyote kipi ulianza kuumba na kipi ulimalizia??

Mechanism gani unatumia kuendesha hvyo ulivyoviumba..??

Hv kati ya wewe na ulivyoviumba kipi kimeanza kuexist..??
nimeanza na nyota nikamalizia na Sayari kisha viumbe...mpaka leo naendelea kuumba galaxy za mbali huko....Mimi nimexist kabla ya uumbaji wangu
 
Back
Top Bottom