Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,053
- 10,032
Tuwakaribishe kwanza wazee wa FLAT EARTHERS THEORY
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona ni vidogo ivyo mkuu.Dah Saturn na ring yake inavyoonekana juu ya Jupiter. Yani hizi picha zimechukuliwa na simuView attachment 1656455
Thibitisha Mungu hayupo.Thibitisha Mungu yupo.
Tumewaza sawa.Daah ukilala na njaa hayo mambo hata huwezi kuyaelewa.
Kwani wakuu hili tukio ni la siku ngapi?Tangu jumamosi zinaonekana kubebana huku nilipo hakukuwa na haja ya kupanda mlima hata jana nimeona. Leo zikiwepo nitajitahidi picha na haka ka tekno kangu hivyo hivyo
Damnnn !! 🙌🙌🙌Kwa elimu zaidi kuhusu hizi habari
In Depth | Jupiter – NASA Solar System Exploration
Jupiter is the fifth planet from our Sun and is, by far, the largest planet in the solar system – more than twice as massive as all the other planets combined.www.google.com
Structure
The composition of Jupiter is similar to that of the Sun—mostly hydrogen and helium. Deep in the atmosphere, pressure and temperature increase, compressing the hydrogen gas into a liquid. This gives Jupiter the largest ocean in the solar system—an ocean made of hydrogen instead of water. Scientists think that, at depths perhaps halfway to the planet's center, the pressure becomes so great that electrons are squeezed off the hydrogen atoms, making the liquid electrically conducting like metal. Jupiter's fast rotation is thought to drive electrical currents in this region, generating the planet's powerful magnetic field. It is still unclear if, deeper down, Jupiter has a central core of solid material or if it may be a thick, super-hot and dense soup. It could be up to 90,032 degrees Fahrenheit (50,000 degrees Celsius) down there, made mostly of iron and silicate minerals (similar to quartz).
Samahan naomba kujua...ni mungu gani aliyeumba ni Jehovah Au Allah?Nathibitisha kwamba Mungu yupo, kwa ushahidi wa kuumba ulimwengi usioonekana kwa macho (malaika n.k) na ulimwengu huu unaoonekana kwa macho(ambao viumbe vyoye tunaishi yaan binadamu wanyama, Mimea ardhini, ndege na viumbe vya baharini. Pia vitu alivyoviumba kwenye anga kama nyota, jua, sayari na vimbondo mbalimbali)
Ach ulongo...Hivyo vitu vinathibitisha mimi nipo sio MunguNaam...hizo ni baadhi tu ya alama za uwepo wake.
Kuna vingi kama umauti na uhai.
Leta ushahidi wako wa kukanusha kutokuwepo Mungu.
Ahahaaa...umepata choo leo mkuuAch ulongo...Hivyo vitu vinathibitisha mimi nipo sio Mungu
Sijui kwa nini usiku sikuona huu uzi usiku? ningetoka nje haya mambo tulisoma kwenye geography yakaishia darasaniMungu yupo wanaosema Mungu hayupo kina Kiranga wanakosea sana. Halafu nimejifunza kitu kipya leo Saturn na Jupiter ni gesi tu hamna ardhi ama solid ground kama Mars. Halafu Jupiter ina miezi 79 dah.
Ukija kwenye Saturn utofauti wake ni ile ring inayoizunguka na mwezi wake mmoja maarufu Titan
Huku Skendinevia tulipo hatuna iyo bahati anga limefunika na pupwe linapuliza.
Kumbukeni hili ni tukio la Kihistoria. Ilirekodiwa na waba anga wa zamani march 14 1200, na baada ya miaka 400 1600. Baada ya miaka 400 tena imetokea leo.
Wanajamvi please mlioko nyumbani Tokeni nje basi mtutumie mapicha ya Jupiter na sayari nayoipenda kuliko zote the gas giant Saturn. Naipenda Saturn kwasababu ya mwezi wake titan inawezekana kuna uhai kwenye iyo Saturn moon titan na labda ndio huko tuaenda tukifa.
Tukio kama hili la leo litatokea tena baada ya miaka 80 2080. Na baada ya hapo litatokea tena baada yya miaka 400 2400.
Usisahau ile ring ni vipande vingi sana vya maweMungu yupo wanaosema Mungu hayupo kina Kiranga wanakosea sana. Halafu nimejifunza kitu kipya leo Saturn na Jupiter ni gesi tu hamna ardhi ama solid ground kama Mars. Halafu Jupiter ina miezi 79 dah.
Ukija kwenye Saturn utofauti wake ni ile ring inayoizunguka na mwezi wake mmoja maarufu Titan
Hata sijui kwangu nmeona hii ni siku ya 5Kwani wakuu hili tukio ni la siku ngapi?
ndo ukweli wenyewe na hauna hoja ya kunizidiAhahaaa...umepata choo leo mkuu
Mjinga mpe cheo/ushindi....😂😅ndo ukweli wenyewe na hauna hoja ya kunizidi
ndo uwezo wako wa kufikiri ulipoishia hapo😆😆...huwa nashangaa sana mnavoshindwa kutetea mnachoaminiMjinga mpe cheo/ushindi....😂😅
Thibitisha Mungu kaumba ulimwengu.Nathibitisha kwamba Mungu yupo, kwa ushahidi wa kuumba ulimwengi usioonekana kwa macho (malaika n.k) na ulimwengu huu unaoonekana kwa macho(ambao viumbe vyoye tunaishi yaan binadamu wanyama, Mimea ardhini, ndege na viumbe vya baharini. Pia vitu alivyoviumba kwenye anga kama nyota, jua, sayari na vimbondo mbalimbali)
Bado sijapata uthibitisho mpaka sasa.Mkuu hapo ndio unatumaliza[emoji1787]