Mlioko Tanzania tutupieni jamvini picha za sayari ya Jupiter na Saturn

Mlioko Tanzania tutupieni jamvini picha za sayari ya Jupiter na Saturn

Mungu yupo wanaosema Mungu hayupo kina Kiranga wanakosea sana. Halafu nimejifunza kitu kipya leo Saturn na Jupiter ni gesi tu hamna ardhi ama solid ground kama Mars. Halafu Jupiter ina miezi 79 dah.

Ukija kwenye Saturn utofauti wake ni ile ring inayoizunguka na mwezi wake mmoja maarufu Titan
Thibitisha Mungu yupo.
 
Inakuwaje wanajamvi?

Usiku wa kuamkia leo Sayari ya Jupiter na Saturn zitaonekana kwa macho ya kawaida.

Mlioko nyumbani bongo ama Africa kwa jumla mna bahati kwasababu anga liko wazi sky is clear. Tokeni nje sasa hivi mpige picha hata na simu mshare.

Huku Skendinevia tulipo hatuna iyo bahati anga limefunika na pupwe linapuliza.

Kumbukeni hili ni tukio la Kihistoria. Ilirekodiwa na waba anga wa zamani march 14 1200, na baada ya miaka 400 1600. Baada ya miaka 400 tena imetokea leo.

Wanajamvi please mlioko nyumbani Tokeni nje basi mtutumie mapicha ya Jupiter na sayari nayoipenda kuliko zote the gas giant Saturn. Naipenda Saturn kwasababu ya mwezi wake titan inawezekana kuna uhai kwenye iyo Saturn moon titan na labda ndio huko tuaenda tukifa.

Tukio kama hili la leo litatokea tena baada ya miaka 80 2080. Na baada ya hapo litatokea tena baada yya miaka 400 2400.

Ntafurahi sana mwanajamvi yeyote atakayeweka picga aliyopiga ya hizi sayari na nipo tayari kutoa zawadi.

God bless humanity
Hiyo kitu nimeiona just above mount Kilimanjaro. Nikamuuliza rafiki yangu hii ni kitu gani? Anyway hatukua aware kama ndo masayari yenyewe.
 
Mungu yupo wanaosema Mungu hayupo kina Kiranga wanakosea sana. Halafu nimejifunza kitu kipya leo Saturn na Jupiter ni gesi tu hamna ardhi ama solid ground kama Mars. Halafu Jupiter ina miezi 79 dah.

Ukija kwenye Saturn utofauti wake ni ile ring inayoizunguka na mwezi wake mmoja maarufu Titan
nani kakudanganya jupiter na saturn ni gesi?
 
Thibitisha Mungu yupo.
Ohoo umeanza
Mungu yupo na Mungu amejengwa katika fikra huru za kiroho, binadamu tuna hulka ya uchaguzi kuchagua vile ambavyo unadhani na kufikiri huo ndio ufikra wako lazima tuheshimu mawazo yako hata kama yamejengwa kipuuzi, lakini suala la uwepo wa Mungu ni halisi maana kuzaliwa na baba na usimfahamu hakukufanyi kuwa huna baba la hasha una baba lakini haumfahamu.
Mtazamo wa udogo wa dunia kwenye ulimwengu umekuwa mtazamo hasi kwa wasomi wengi hususan wasomi watafiti wa mambo ya kianga, ambao hudhani kuwa haiwezekani Mungu awe Mungu wa kipande cha mchanga (makisio ukubwa wa dunia katika ulimwengu) lakini usahau wao upo wanasahau katika mwili wetu kidole ni sehemu ya mwili.
Dunia ni sehemu, ya uumbwaji wa viumbe vya Mungu.
Mungu akubariki
 
Ohoo umeanza
Mungu yupo na Mungu amejengwa katika fikra huru za kiroho, binadamu tuna hulka ya uchaguzi kuchagua vile ambavyo unadhani na kufikiri huo ndio ufikra wako lazima tuheshimu mawazo yako hata kama yamejengwa kipuuzi, lakini suala la uwepo wa Mungu ni halisi maana kuzaliwa na baba na usimfahamu hakukufanyi kuwa huna baba la hasha una baba lakini haumfahamu.
Mtazamo wa udogo wa dunia kwenye ulimwengu umekuwa mtazamo hasi kwa wasomi wengi hususan wasomi watafiti wa mambo ya kianga, ambao hudhani kuwa haiwezekani Mungu awe Mungu wa kipande cha mchanga (makisio ukubwa wa dunia katika ulimwengu) lakini usahau wao upo wanasahau katika mwili wetu kidole ni sehemu ya mwili.
Dunia ni sehemu, ya uumbwaji wa viumbe vya Mungu.
Mungu akubariki
Hujathibitisha Mungu yupo.

Rudia kusoma kwa makini ulichoandika.

Halafu.

Thibitisha Mungu yupo.
 
nani kakudanganya jupiter na saturn ni gesi?
Kwa elimu zaidi kuhusu hizi habari


Structure

The composition of Jupiter is similar to that of the Sun—mostly hydrogen and helium. Deep in the atmosphere, pressure and temperature increase, compressing the hydrogen gas into a liquid. This gives Jupiter the largest ocean in the solar system—an ocean made of hydrogen instead of water. Scientists think that, at depths perhaps halfway to the planet's center, the pressure becomes so great that electrons are squeezed off the hydrogen atoms, making the liquid electrically conducting like metal. Jupiter's fast rotation is thought to drive electrical currents in this region, generating the planet's powerful magnetic field. It is still unclear if, deeper down, Jupiter has a central core of solid material or if it may be a thick, super-hot and dense soup. It could be up to 90,032 degrees Fahrenheit (50,000 degrees Celsius) down there, made mostly of iron and silicate minerals (similar to quartz).
 
Hapana. Nataka uthibitisho kwamba Mungu yupo.

Hilo halioneshi kwamba najua Mungu yupo.

Kama ninavyoweza kutaka uthibitisho kwamba Wagagagigikoko wapo.

Bila hilo kuonesha kwamba najua Wagagagigikoko wapo.

Thibitisha Mungu yupo.
Wewe tuthibitishie moyo wa Mapenzi unao Uma uko wap!? Sababu hakuna hata mmoja alie wahi kuuona ila kila mmoja anahis maumivu yake
 
Mkuu mm ndo natoka hapa La chaz kwan kuna nini kinaendelea
emoji848.png
emoji848.png
emoji848.png
..La Chaz ya Songea mkuu???
Mkuu mm ndo natoka hapa La chaz kwan kuna nini kinaendelea
 
Wewe tuthibitishie moyo wa Mapenzi unao Uma uko wap!? Sababu hakuna hata mmoja alie wahi kuuona ila kila mmoja anahis maumivu yake
Moyo wa mapenzi ni nini?

Mimi sijawahi kuusema huo moyo wala siuelewi, naujua moyo unaosukuma damu.

Labda wewe uanze kunielezea moyo wa mapenzi ni kitu gani, upo wapi, nithibitishie upo. Elezea upo sehemu gani.

Mimi wapi nilikutajia moyo wa mapenzi?

Yani moyo wa mapenzi uutaje wewe, halafu unilazimishe niuelezee mimi?

Na kama upo, na mimi nikashindwa kuuelezea, hilo linathibitishaje Mungu yupo?

Wewe kutokujua bei ya kilo ya nyama ya nguruwe Beijing China leo kunathibitishaje Edward Moringe Lowassa ni rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo?

Logical non sequitur.
 
Moyo wa mapenzi ni nini?

Mimi sijawahi kuusema huo moyo wala siuelewi, naujua moyo unaosukuma damu.

Labda wewe uanze kunielezea moyo wa mapenzi ni kitu gani, upo wapi, nithibitishie upo. Elezea upo sehemu gani.

Mimi wapi nilikutajia moyo wa mapenzi?

Yani moyo wa mapenzi uutaje wewe, halafu unilazimishe niuelezee mimi?

Na kama upo, na mimi nikashindwa kuuelezea, hilo linathibitishaje Mungu yupo?

Logical non sequitur.
Kama kwel una moyo wa kisukuma dam pekee basi jua wewe ndio mjinga ila Dunia nzima tunajua kua Kuna moyo wa Mapenzi ambao Hua unauma na pia Hua unafuraisha kama umepinga uwepo wa moyo wa Mapenz kwa binadam basi huwezi kukubal kua Kuna mungu
 
Back
Top Bottom