Mlioko Uingereza, msaidieni huyu mama kufahamu wanawe walipo

Mlioko Uingereza, msaidieni huyu mama kufahamu wanawe walipo

Na akishatanguliza kuwa Kama wako kwenye ajira zao yeye hana shida.

Serikali ya uk iache kuhangaikia watu wake ikadili na blacks. Ila waafrika wangekuwa wanawajua nguruwe ngozi wanavyowazia waafrika hata wasingekuwa na hamu nao am sure..
 
Wasiliana na Clouds Fm kipindi chao cha Leo Tena, namba ya mtayarishaji 0687 842891.

Mwaka uliopita kuna Mama alikuwa anamtafuta mwanae kumbe alipelekwa Ulaya, waliokuwa wanafahamu Mwanamke alieondoka nae akapigiwa simu kuambiwa mtoto walioondoka nae (Bibi na Bwana) Tanzania kwenda Ulaya anatafutwa, wakawasiliana mambo yakaisha.

Nakushauri fanya mawasiliano kabla msimu haujaisha 31 05 2024.
 
Amekutuma mwenyewe au? maana hiyo habari ni ya toka 2017.


Huyo Mahmood Mihile ukitaka kumpata ‘google search’ inaonyesha sio muda mrefu alishirikiana na taasisi moja ya maji kwenye charity ya mpira watakuwa na details zake.

Number ya 01332 hiyo ni area code ya Derby na sio mbali na Leicester ni miji jirani, hayo maeneo kuna wabongo wasomali kadhaa, ukimpata mwenyeji wa Derby anampata.

Sasa shutuma za wizi wa watoto (sio za mzaha uingereza) na watoto wenyewe ukute wamejipiga wasomali kama njia ya kupata makaratasi yao. Ukiingiza polisi na immigration usije kuharibia kila mtu na hao watoto wenyewe.

Ni ushauri tu vitu vya kuzingatia kabla kukurupuka. Halafu hao watoto sasa hivi watakuwa washakuwa wakubwa wanajitegemea. Huyo mama angetafuta mtu anaemfahamu U.K. mradi huyo Mahmood Mihile anatumia jina hilo hilo atakuwa tu kwenye data base za serikali na kupatikana kwa njia za mtaa.

Kuliko haya makelele akaenda wapelekea matatizo makubwa kwa njaa zake, utampaje mtu watoto wako kisa waende ulaya.
Binafisi nakosa ni nani ni mtupie lawama kati ya Mr or Mrs,ila nahisi upuuzi wa udini ulitawala hayo makubaliano yao baina ya huyo mwenye watoto na aliyezawadiwa watoto kama vazi.
 
Mama angewasiliana na ubaloz wa Tanzania huko USA na pia ubaloz wa Uingereza hapa Tanzania. Natumaini ukweli ungepatikana haraka.Kwa mifumo hii ya technology na rahisi kuwapata kwa haraka.
 
Mama angewasiliana na ubaloz wa Tanzania huko USA na pia ubaloz wa Uingereza hapa Tanzania. Natumaini ukweli ungepatikana haraka.Kwa mifumo hii ya technology na rahisi kuwapata kwa haraka.
Hapa umechanganya mambo. UK na USA ni nchi mbili tofauti.
 
Amekutuma mwenyewe au? maana hiyo habari ni ya toka 2017.


Huyo Mahmood Mihile ukitaka kumpata ‘google search’ inaonyesha sio muda mrefu alishirikiana na taasisi moja ya maji kwenye charity ya mpira watakuwa na details zake.

Number ya 01332 hiyo ni area code ya Derby na sio mbali na Leicester ni miji jirani, hayo maeneo kuna wabongo wasomali kadhaa, ukimpata mwenyeji wa Derby anampata.

Sasa shutuma za wizi wa watoto (sio za mzaha uingereza) na watoto wenyewe ukute wamejipiga wasomali kama njia ya kupata makaratasi yao. Ukiingiza polisi na immigration usije kuharibia kila mtu na hao watoto wenyewe.

Ni ushauri tu vitu vya kuzingatia kabla kukurupuka. Halafu hao watoto sasa hivi watakuwa washakuwa wakubwa wanajitegemea. Huyo mama angetafuta mtu anaemfahamu U.K. mradi huyo Mahmood Mihile anatumia jina hilo hilo atakuwa tu kwenye data base za serikali na kupatikana kwa njia za mtaa.

Kuliko haya makelele akaenda wapelekea matatizo makubwa kwa njaa zake, utampaje mtu watoto wako kisa waende ulaya.
Mbona unapenda kubadilisha stori na kutunga uongo
Ni wapi huyo mama amesema watoto wake wameibiwa
We ni mtu wa hovyo sana

Mbona hata huku Tanzania watu wanalipia ada watoto ambao sio wao wengine wanaishi na watoto ambao sio wao kusaidiana kwenye maisha sio kosa na halitaka liwe kosa
Mbona una roho mbaya hivyo
 
Binafisi nakosa ni nani ni mtupie lawama kati ya Mr or Mrs,ila nahisi upuuzi wa udini ulitawala hayo makubaliano yao baina ya huyo mwenye watoto na aliyezawadiwa watoto kama vazi.
Akili za watu wengine uwa zinawatosha wenyewe kwenye maamuzi yao.

Na Mahmood japo mtanzania inaonekana ana tatizo la kisomali wanapenda ‘nyonyo’ kama wanavyoita wenyewe wabongo wanaoishi huko (benefits za serikali).

Ukiwa na watoto wadogo halafu single mom/dad wazungu awakusumbui sana ukatafute kazi wanakupa tu hela ya bure mpaka wafike miaka 17 nadhani huo ndio ulikuwa msukumo wa Mahmood kuwabeba hao watoto baada ya kuona wasomali wenzake wanavyopumzika kisa nyonyo.

Iła hayo maeneo ya midlands hasa Derby-Leicester wasomali wabongo wamejaa na wanajulikana na wenyeji; ni swala la kutafuta wakongwe tu walioenda uingereza before 2000’s wanaokaa huko watampata tu.
 
Umaskini Mbaya sana.
Hapa ukute watoto walishadhurika kisa njaa na umaskini wa akili na kipato kwa wazazi.
Nimeangalia picha mara kadhaa na kujawa na majonzi. Tunaona binadamu wakitumika kufanya makafara na matambiko tuombe Ndugu zetu na watoto wetu hawa wawe salama.

Lkn mpaka hapo mama alitakiwa awekwe chini ya ulinzi ahojiwe kwa kushindwa kuwalinda watoto wake.
Hivi umesoma hiyo story kwa kutulia na kuielewa kweli! Hapo kosa la huyo mama lipo wapi?
 
Mbona unapenda kubadilisha stori na kutunga uongo
Ni wapi huyo mama amesema watoto wake wameibiwa
We ni mtu wa hovyo sana

Mbona hata huku Tanzania watu wanalipia ada watoto ambao sio wao wengine wanaishi na watoto ambao sio wao kusaidiana kwenye maisha sio kosa na halitaka liwe kosa
Mbona una roho mbaya hivyo
Hajasema watoto wameibiwa directly, ila story ina imply kama kuna makusudi ya kukata mawasiloano na watoto baada ya kifo cha baba mzazi, ndio shutuma zenyewe za wizi huo indirectly.
 
Binafisi nakosa ni nani ni mtupie lawama kati ya Mr or Mrs,ila nahisi upuuzi wa udini ulitawala hayo makubaliano yao baina ya huyo mwenye watoto na aliyezawadiwa watoto kama vazi.
Dini tena! Kwakuwa umesikia majina ya Amina na Selemani na amehusika msomali basi na wewe umeona uingize chuki zako!
 
Inaonekana hii barua iliandikwa muda mrefu sio hivi karibuni.. maana 1994 mpaka leo ni miaka 30
 
Akili za watu wengine uwa zinawatosha wenyewe kwenye maamuzi yao.

Na Mahmood japo mtanzania inaonekana ana tatizo la kisomali wanapenda ‘nyonyo’ kama wanavyoita wenyewe wabongo wanaoishi (benefits za serikali).

Ukiwa na watoto wadogo halafu single mom/dad wazungu awakusumbui sana ukatafute kazi wanakupa tu hela ya bure mpaka wafike miaka 17 nadhani huo ndio ulikuwa msukumo wa Mahmood kuwabeba hao watoto baada ya kuona wasomali wenzake wanavyopumzika kisa nyonyo.

Iła hayo maeneo ya midlands hasa Derby-Leicester wasomali wabongo wamejaa na wanajulikana na wenyeji; ni swala la kutafuta wakongwe tu walioenda uingereza before 2000’s wanaokaa huko watampata tu.
Nimeisoma yote na imeandikwa na mashuhuda huko juu kuwa walipatikana
 
Amekutuma mwenyewe au? maana hiyo habari ni ya toka 2017.


Huyo Mahmood Mihile ukitaka kumpata ‘google search’ inaonyesha sio muda mrefu alishirikiana na taasisi moja ya maji kwenye charity ya mpira watakuwa na details zake.

Number ya 01332 hiyo ni area code ya Derby na sio mbali na Leicester ni miji jirani, hayo maeneo kuna wabongo wasomali kadhaa, ukimpata mwenyeji wa Derby anampata.

Sasa shutuma za wizi wa watoto (sio za mzaha uingereza) na watoto wenyewe ukute wamejipiga wasomali kama njia ya kupata makaratasi yao. Ukiingiza polisi na immigration usije kuharibia kila mtu na hao watoto wenyewe.

Ni ushauri tu vitu vya kuzingatia kabla kukurupuka. Halafu hao watoto sasa hivi watakuwa washakuwa wakubwa wanajitegemea. Huyo mama angetafuta mtu anaemfahamu U.K. mradi huyo Mahmood Mihile anatumia jina hilo hilo atakuwa tu kwenye data base za serikali na kupatikana kwa njia za mtaa.

Kuliko haya makelele akaenda wapelekea matatizo makubwa kwa njaa zake, utampaje mtu watoto wako kisa waende ulaya.


Huyo mama hao watoto sio wake tena, na sasa atakuwa ameelewa kuwa alipoteza muda kuwatafuta na kwanza angewaharibia maisha yao kama yangeanza ya kusanuka na mambo ya ukimbizi wa kisomali, na wakiona analeta mazoea sana wanaweza kumkatia jiiii.
Hao sasa ni wameshakuwa wale tunawaita fish and chips, na hawatakuwa na time na Tanzania tena.
 
Back
Top Bottom