Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Ni kweli. Hata mimi nakumbuka kusoma hii habari miaka iliyopita. Kama wapoondoka mmoja alikuwa na miaka 10, ni umri wa kuweza kukumbuka background yake. Hawajiulizi lolote juu ya wazazi wao au nchi waliyotoka?Huu uzi wa mda mrefu sana
Binafisi nakosa ni nani ni mtupie lawama kati ya Mr or Mrs,ila nahisi upuuzi wa udini ulitawala hayo makubaliano yao baina ya huyo mwenye watoto na aliyezawadiwa watoto kama vazi.Amekutuma mwenyewe au? maana hiyo habari ni ya toka 2017.
The Apprentices' Charity 5-a-side
Help Mahmood Mihile raise money to support WaterAidwww.justgiving.com
Huyo Mahmood Mihile ukitaka kumpata ‘google search’ inaonyesha sio muda mrefu alishirikiana na taasisi moja ya maji kwenye charity ya mpira watakuwa na details zake.
Number ya 01332 hiyo ni area code ya Derby na sio mbali na Leicester ni miji jirani, hayo maeneo kuna wabongo wasomali kadhaa, ukimpata mwenyeji wa Derby anampata.
Sasa shutuma za wizi wa watoto (sio za mzaha uingereza) na watoto wenyewe ukute wamejipiga wasomali kama njia ya kupata makaratasi yao. Ukiingiza polisi na immigration usije kuharibia kila mtu na hao watoto wenyewe.
Ni ushauri tu vitu vya kuzingatia kabla kukurupuka. Halafu hao watoto sasa hivi watakuwa washakuwa wakubwa wanajitegemea. Huyo mama angetafuta mtu anaemfahamu U.K. mradi huyo Mahmood Mihile anatumia jina hilo hilo atakuwa tu kwenye data base za serikali na kupatikana kwa njia za mtaa.
Kuliko haya makelele akaenda wapelekea matatizo makubwa kwa njaa zake, utampaje mtu watoto wako kisa waende ulaya.
Hapa umechanganya mambo. UK na USA ni nchi mbili tofauti.Mama angewasiliana na ubaloz wa Tanzania huko USA na pia ubaloz wa Uingereza hapa Tanzania. Natumaini ukweli ungepatikana haraka.Kwa mifumo hii ya technology na rahisi kuwapata kwa haraka.
Mbona unapenda kubadilisha stori na kutunga uongoAmekutuma mwenyewe au? maana hiyo habari ni ya toka 2017.
The Apprentices' Charity 5-a-side
Help Mahmood Mihile raise money to support WaterAidwww.justgiving.com
Huyo Mahmood Mihile ukitaka kumpata ‘google search’ inaonyesha sio muda mrefu alishirikiana na taasisi moja ya maji kwenye charity ya mpira watakuwa na details zake.
Number ya 01332 hiyo ni area code ya Derby na sio mbali na Leicester ni miji jirani, hayo maeneo kuna wabongo wasomali kadhaa, ukimpata mwenyeji wa Derby anampata.
Sasa shutuma za wizi wa watoto (sio za mzaha uingereza) na watoto wenyewe ukute wamejipiga wasomali kama njia ya kupata makaratasi yao. Ukiingiza polisi na immigration usije kuharibia kila mtu na hao watoto wenyewe.
Ni ushauri tu vitu vya kuzingatia kabla kukurupuka. Halafu hao watoto sasa hivi watakuwa washakuwa wakubwa wanajitegemea. Huyo mama angetafuta mtu anaemfahamu U.K. mradi huyo Mahmood Mihile anatumia jina hilo hilo atakuwa tu kwenye data base za serikali na kupatikana kwa njia za mtaa.
Kuliko haya makelele akaenda wapelekea matatizo makubwa kwa njaa zake, utampaje mtu watoto wako kisa waende ulaya.
Akili za watu wengine uwa zinawatosha wenyewe kwenye maamuzi yao.Binafisi nakosa ni nani ni mtupie lawama kati ya Mr or Mrs,ila nahisi upuuzi wa udini ulitawala hayo makubaliano yao baina ya huyo mwenye watoto na aliyezawadiwa watoto kama vazi.
Hivi umesoma hiyo story kwa kutulia na kuielewa kweli! Hapo kosa la huyo mama lipo wapi?Umaskini Mbaya sana.
Hapa ukute watoto walishadhurika kisa njaa na umaskini wa akili na kipato kwa wazazi.
Nimeangalia picha mara kadhaa na kujawa na majonzi. Tunaona binadamu wakitumika kufanya makafara na matambiko tuombe Ndugu zetu na watoto wetu hawa wawe salama.
Lkn mpaka hapo mama alitakiwa awekwe chini ya ulinzi ahojiwe kwa kushindwa kuwalinda watoto wake.
Hajasema watoto wameibiwa directly, ila story ina imply kama kuna makusudi ya kukata mawasiloano na watoto baada ya kifo cha baba mzazi, ndio shutuma zenyewe za wizi huo indirectly.Mbona unapenda kubadilisha stori na kutunga uongo
Ni wapi huyo mama amesema watoto wake wameibiwa
We ni mtu wa hovyo sana
Mbona hata huku Tanzania watu wanalipia ada watoto ambao sio wao wengine wanaishi na watoto ambao sio wao kusaidiana kwenye maisha sio kosa na halitaka liwe kosa
Mbona una roho mbaya hivyo
Dini tena! Kwakuwa umesikia majina ya Amina na Selemani na amehusika msomali basi na wewe umeona uingize chuki zako!Binafisi nakosa ni nani ni mtupie lawama kati ya Mr or Mrs,ila nahisi upuuzi wa udini ulitawala hayo makubaliano yao baina ya huyo mwenye watoto na aliyezawadiwa watoto kama vazi.
Nilikuwa namaanisha UK sorry!!Hapa umechanganya mambo. UK na USA ni nchi mbili tofauti.
Hajui anachoandika.kwa hiyo akishawekwa chini ya huo ulinzi ndo utasababisha watoto wapatikane.....
Nimeisoma yote na imeandikwa na mashuhuda huko juu kuwa walipatikanaAkili za watu wengine uwa zinawatosha wenyewe kwenye maamuzi yao.
Na Mahmood japo mtanzania inaonekana ana tatizo la kisomali wanapenda ‘nyonyo’ kama wanavyoita wenyewe wabongo wanaoishi (benefits za serikali).
Ukiwa na watoto wadogo halafu single mom/dad wazungu awakusumbui sana ukatafute kazi wanakupa tu hela ya bure mpaka wafike miaka 17 nadhani huo ndio ulikuwa msukumo wa Mahmood kuwabeba hao watoto baada ya kuona wasomali wenzake wanavyopumzika kisa nyonyo.
Iła hayo maeneo ya midlands hasa Derby-Leicester wasomali wabongo wamejaa na wanajulikana na wenyeji; ni swala la kutafuta wakongwe tu walioenda uingereza before 2000’s wanaokaa huko watampata tu.
Usimlishe maneno sasa kwa kuongeza maneno yako na hisia zakoHajasema watoto wameibiwa directly, ila story ina imply kama kuna makusudi ya kukata mawasiloano na watoto baada ya kifo cha baba mzazi, ndio shutuma zenyewe za wizi huo indirectly.
Amekutuma mwenyewe au? maana hiyo habari ni ya toka 2017.
The Apprentices' Charity 5-a-side
Help Mahmood Mihile raise money to support WaterAidwww.justgiving.com
Huyo Mahmood Mihile ukitaka kumpata ‘google search’ inaonyesha sio muda mrefu alishirikiana na taasisi moja ya maji kwenye charity ya mpira watakuwa na details zake.
Number ya 01332 hiyo ni area code ya Derby na sio mbali na Leicester ni miji jirani, hayo maeneo kuna wabongo wasomali kadhaa, ukimpata mwenyeji wa Derby anampata.
Sasa shutuma za wizi wa watoto (sio za mzaha uingereza) na watoto wenyewe ukute wamejipiga wasomali kama njia ya kupata makaratasi yao. Ukiingiza polisi na immigration usije kuharibia kila mtu na hao watoto wenyewe.
Ni ushauri tu vitu vya kuzingatia kabla kukurupuka. Halafu hao watoto sasa hivi watakuwa washakuwa wakubwa wanajitegemea. Huyo mama angetafuta mtu anaemfahamu U.K. mradi huyo Mahmood Mihile anatumia jina hilo hilo atakuwa tu kwenye data base za serikali na kupatikana kwa njia za mtaa.
Kuliko haya makelele akaenda wapelekea matatizo makubwa kwa njaa zake, utampaje mtu watoto wako kisa waende ulaya.