GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
- Thread starter
-
- #121
Watu 7000 wajiandikisha au wamekata ticket kuwemo kwenye safari hiyo ya kwanza? Yaani Kenya hata wangerusha dreamliner zote nane kwenda JFK bado haziwezi beba watu 7000
Agreed, maana ni ngumu kuelewa maana ya safari ya Kwanza .najua KQ watakuwa wakifanya daily flights to JFK and so abiria 7000 maana yake KQ JKIA to JFK flight is full booked mwezi mzimaAnother CERTIFIED IDIOT!
Tununua Ndege bila leseni ya IATA ni tatizo, zitaendelea kupaki tu!
Akili zako zitakua sio nzuri labda una kasoro, Kenya ina uchumi mkubwa Mara 3 ya Tz?? Aisee! Hebu Lete proofWewe huwa ni bwege siku zote,tangu lini mnyarwanda akawa na akili? Eti mnajivunia Kagame kajitu kapumbavu kanakoipeleka Rwanda kumwaga Damu.
Kenya ina uchumi mkubwa mara tatu ya Tanzania, hakuna aliyempinga Magufuli kununua ndege ,tunachopinga ni kwamba ndege haikuwa kipaumbele kwa sasa,Hujiulizi kwa nini ajali za maji Africa ,Tanzania inaongoza?MV Bukoba watu 1500 walikufa,Spicer island watu 500,MV Nyerere watu 210.
Halafu unanunua ndege inayopandwa na watu 30 tu wenye uwezo kiuchumi ,Kenya ina mizizi ya utalii Tanzania tupo nyuma mno,Rais asiyependa exposure na mataifa makubwa Tanzania itatoa wapi watalii? Kazi kuharibu pesa kwa kununua wapinzani na kurudia uchaguzi,akili za hovyo kabisa hizi.
Hizo pesa za ndege zingenunua meli maisha ya watanzania yangekuwa salama.
Wewe ni bwege uliyetukuka.
Ukakasi Kwamba ni hoja ya uongo au.Napongeza manunuzi ya ndege lakini hii hoja ya kuwa zitaongeza namba ya watalii nchini ndio napata ukakasi.
Akili zako zitakua sio nzuri labda una kasoro, Kenya ina uchumi mkubwa Mara 3 ya Tz?? Aisee! Hebu Lete proof
Maneno meengi, alafu yote hovyoWewe huwa ni bwege siku zote,tangu lini mnyarwanda akawa na akili? Eti mnajivunia Kagame kajitu kapumbavu kanakoipeleka Rwanda kumwaga Damu.
Kenya ina uchumi mkubwa mara tatu ya Tanzania, hakuna aliyempinga Magufuli kununua ndege ,tunachopinga ni kwamba ndege haikuwa kipaumbele kwa sasa,Hujiulizi kwa nini ajali za maji Africa ,Tanzania inaongoza?MV Bukoba watu 1500 walikufa,Spicer island watu 500,MV Nyerere watu 210.
Halafu unanunua ndege inayopandwa na watu 30 tu wenye uwezo kiuchumi ,Kenya ina mizizi ya utalii Tanzania tupo nyuma mno,Rais asiyependa exposure na mataifa makubwa Tanzania itatoa wapi watalii? Kazi kuharibu pesa kwa kununua wapinzani na kurudia uchaguzi,akili za hovyo kabisa hizi.
Hizo pesa za ndege zingenunua meli maisha ya watanzania yangekuwa salama.
Wewe ni bwege uliyetukuka.
Basi nyote akili zenu ni 0% uchumi wa Kenya ni 85Billion Dollars GDP na Tanzania ni 56 Billion Dollars GDP hiyo mara 3 inatokea wapi? Kenya mwaka Jana kwenye tourism imeingiza 1.2 billion Dollars Tanzania imeingiza 2.3 Billion Dollars na Utalii ulikua kwa asilimia 12 na Kenya ulikua kwa asilimia 20% sasa huyo anachopotosha ujinga hapo ni Nini? Eti Kenya imekita mizizi kwenye utalii wakati mwaka Jana Status ya Region Tourism hub imekuja Tanzania badala ya kumpiku Mkenya. Upuuzi mtupu
Mbona naona kama vile haya maneno uliyoyaandika hapa yanakuhusu Wewe mwenyewe Mkuu japo Wewe unadhani umemwambia huyo ' Member ' mwingine?
Basi nyote akili zenu ni 0% uchumi wa Kenya ni 88 Billion Dollars GDP na Tanzania ni 56 Billion Dollars GDP hiyo mara 3 inatokea wapi? Kenya mwaka Jana kwenye tourism imeingiza 1.2 billion Dollars Tanzania imeingiza 2.3 Billion Dollars na Utalii ulikua kwa asilimia 12 na Kenya ulikua kwa asilimia 20% sasa huyo anachopotosha ujinga hapo ni Nini? Eti Kenya imekita mizizi kwenye utalii wakati mwaka Jana Status ya Region Tourism hub imekuja Tanzania badala ya kumpiku Mkenya. Upuuzi mtupu
Wewe ni miongoni mwa watu wa hovyo humu ndani kuwahi kutokea, sipaswi kutumia maneno makali kama ulivyotumia wewe, lakini niruhusu nikuite mbumbu na mjinga sana, Kenya na Tanzania nani anaongoza katika kuvutia na kupata pesa nyingi za utalii?.Wewe huwa ni bwege siku zote,tangu lini mnyarwanda akawa na akili? Eti mnajivunia Kagame kajitu kapumbavu kanakoipeleka Rwanda kumwaga Damu.
Kenya ina uchumi mkubwa mara tatu ya Tanzania, hakuna aliyempinga Magufuli kununua ndege ,tunachopinga ni kwamba ndege haikuwa kipaumbele kwa sasa,Hujiulizi kwa nini ajali za maji Africa ,Tanzania inaongoza?MV Bukoba watu 1500 walikufa,Spicer island watu 500,MV Nyerere watu 210.
Halafu unanunua ndege inayopandwa na watu 30 tu wenye uwezo kiuchumi ,Kenya ina mizizi ya utalii Tanzania tupo nyuma mno,Rais asiyependa exposure na mataifa makubwa Tanzania itatoa wapi watalii? Kazi kuharibu pesa kwa kununua wapinzani na kurudia uchaguzi,akili za hovyo kabisa hizi.
Hizo pesa za ndege zingenunua meli maisha ya watanzania yangekuwa salama.
Wewe ni bwege uliyetukuka.
Jinga sana hili jamaaMzee hakana unalolijua
Shilingi moja ya Kenya sawa na shilingi ishirini na moja za Tanzania.Akili zako zitakua sio nzuri labda una kasoro, Kenya ina uchumi mkubwa Mara 3 ya Tz?? Aisee! Hebu Lete proof
Tumia busara ya kiafrica inayosema, Mwenye hekima huijaza akili yake kwanza kabla ya kufungua domo lake. Hivi ni nchi gani inayoanza biasha ya usafiri inayoweza kuanza na direct international route bila kuwajaribu wafanyakazi pamoja na ndege zake kwa kufanya domestic routes kwanza?.Sometimes nafikiri unaazima akili. Hivi unajua Kenya wako mbali sana kwenye usafiri wa anga, Kenya wako partners na KLM, tiketi yako unakuja moja kwa moja online Kenya ndege Sao zinaenda nchi kubwa duniani. Unataka tumsifie Magufuli kwa kununua ndege cash na kuipeleka Mwanza, ndege ya kwenda USA inapekwa Mwanza. Kwasababu hakuwa na plan hakujua kuwa ndege yake haiwezi kuuza tiketi zake mwenyewe, alijua hana kibali ya kimaitaifa ya kuipeleka nje. Rais wako alikurupuka. Naomba kipindi cha hasara pia jitokeze ili tumsifie. USIJIFICHE
Shillingi 1 ya Kenya sawa na sh. 1.4 ya Japan, Je Kenya inauchumi mkubwa kuliko Japan? Inaikaribia hata theluthi?Shilingi moja ya Kenya sawa na shilingi ishirini na moja za Tanzania.
Uliza jingine.
Wewe umechangia vizuri sana ninakupongeza sana kwa hilo. Kaka tatizo kubwa tulilonalo sisi waafrica wengi ni kuangalia upande mmoja zaidi wakati wa mikosoa au kuunga mkono hoja, kwa mfano nilitegemea wewe inayesema kipaumbele kiwe kilimo, nilitegemea useme nini ambacho alipaswa rais akifanye katika kilimo ili uone kweli serikali imetoa kipaumbele ktk kilimo.Mkuu GENTAMYCINE hongera kwa uzi na ninakupongeza sana kwa utetezi wako kwa JPM. Naheshimu michango yako kwani huwa sio mnafiki na huwa unanyoosha bila kupindisha hata Mavunde hilo analijua.
Tuje kwenye mada yako, nionavyo kuna upotoshaji wa wazi kwenye wanaomkosoa JPM kwa kuwekwa kwenye kundi la kumpinga japo sio kosa hata akipingwa, upotoshaji huu unafanyika kwa makusudi ama pasipo au kwa kufuata mkumbo. Tuko sisi tuliosema na tutaendea kusema na kukosoa bila kuyumbayumba kwani tunachosimamia tunakiamini. Tulisema ndege ni jambo jema, lakini kwa hali za walio wengi hapa nchini ambao ni wakulima ni vyema kipaombele kingekuwa kwenye kilimo. Mimi ama wanaoamini kwamba kilimo kilipsawa kuwa kipaombele kisha ndege baadae, ni kwamba tungeleta maendeleo ya watu kwanza, kisha maendeleo ya vitu. Iwapo ingetokea kwamba tuliokosoa kununua ndege kwanza tungeenda kuilipua hapo sawa, lakini tumetumia haki yetu ya kukosoa na kusema kipi kilipaswa kuwa kipaombele kosa letu liko wapi?
Inaonekana ww na mashabiki wake na hata yeye mwenyewe mnakwepa hoja zetu za ukosoaji kwa kichaka cha kupingwa, na hamtumii neno ukosoaji bali huwa mnasema kumpinga rais ili mpate public sympathy. Na kwa bahati nzuri hilo neno ya kwamba rais anapingwa kwa kila jambo linaenea vizuri bila wananchi kupata upande wa pili maana sasa hivi kinachosikika kwenye media ni atakacho rais. Huku kwenye mitandao pakee ndio kumebaki na mijadala huru kama hivi. Msipotoshe japo mna haki ya kumtetea mpendavyo na sisi tuna haki ya kumkosoa tupendavyo kwani ndio demokrasia as long as hakuna anayekwenda kuharibu hiyo miundo mbinu.
Wewe ndiye unaeongoza kwa uwendawazimu, huna unalojua zaidi ya kupiga kelele hovyo, wewe unadhani unaweza kushindana na dunia nzima ambapo ripoti za mashirika yote ya kimataifa zinaipongeza Tanzania ukiacha kipengele cha freedom expressionTanzania ni taifa la wendawazimu kabisa,halafu kuna mtu anauza mchicha kijijini halafu anafurahia kununuliwa ndege,wakati hana hata cent ya kwenda Dar .
Mkuu acha kupanda hayo mandege ya mitumba ni hatari.
Wewe umechangia vizuri sana ninakupongeza sana kwa hilo. Kaka tatizo kubwa tulilonalo sisi waafrica wengi ni kuangalia upande mmoja zaidi wakati wa mikosoa au kuunga mkono hoja, kwa mfano nilitegemea wewe inayesema kipaumbele kiwe kilimo, nilitegemea useme nini ambacho alipaswa rais akifanye katika kilimo ili uone kweli serikali imetoa kipaumbele ktk kilimo.
Ununuzi wa ndege ni kitu cha mara moja sana, ukiwa na pesa unaweza kununua na ikaonekana kwa muda mfupi, ila kilimo hata kama una pesa, bado unahitaji mambo mengi ili kilimo kiweze kuonyesha mafanikio chanya, kwa hiyo muda, utaalamu na miundombinu vinahitajika sana.
Kwa mfano, hadi sasa serikali imetumia chini ya $600 kununua ndege zote 7, hii ni chini ya 25% ya bajeti ya Wizara ya kilimo, ukipngeza na pesa za wahisani wanaochangia kilimo na uvuvi, kwa sasa wizara ya kilimo na uvivi ina zaidi ya $3B hazijatumika, Bank ya Kilimo imepewa pesa nyingi ili iwakopeshe wakulima lakini wamezikalia, juzi Magufuli alisema kama mkurugenzi mtendaji wa hiyo Bank ameshindwa kazi afukuzwe, Serika imetoa pesa nyingi sana kwa TIB ili kukopesha watanzania wanaotaka kuzalisha ktk kilimo, uvuvi na ufigaji, nenda TIB upate maelezo ya kina. Sasa unataka serikali ijiingize moja kwa moja ktk kilimo au ulitaka ifanye nini ili uone kwamba kweli kilimo ni kipaumbele cha serikali?.
Weka yako tuone kaka...leo unalishwa ukweli na ndugu zako sisi tupo hapa tu kuwatupia macho.Akili zako zitakua sio nzuri labda una kasoro, Kenya ina uchumi mkubwa Mara 3 ya Tz?? Aisee! Hebu Lete proof
Kaka umeleta mada ili tuchangie sio kuleta vitisho, mimi ni mkulima wa miaka mingi sana inawezekana kukuzidi wewe, lete hoja zijibiwe hapana kuleta vitisho.Nakupongeza kwa mchango huu maridhawa. Tujikite kwenye kilimo maana mimi ni mkulima. Naona umetaja kiwango ambacho kiko kwenye kilimo, na unasema kuna bank kama TIB ziko hela. Je unajua mlolongo wa kuzipata hizo hela au unaongea nadharia? Naona wewe unaongea nadharia wakati mimi nimekutana na hali hiyo kwa uhalisia wake. Kwa jambo usilolijua ni vyema kukaa kimya tu. Je unajua bei ya pembejeo kama mbolea, ubora wa mbegu, viuatilifu nk? Je unajua bei tunayokutana nayo sokoni kulinganisha na gharama ya hicho kilimo? Hivi unajua niko mahali ambapo tracktor inabidi nilikodishe kutoka kilomita zaidi ya 50? Kibaya zaidi wakati unataka kukodisha, huko lilipo ni changamoto hata kulipata. Sisi kama wakulima tulitarajia zile 50m@kijiji tungezipata wangalau kwenye tarafa yetu tungepata tractor mbili ili tuondokane na hiyo dhahama, kwa bahati mbaya hilo limekuwa ahadi kama ahadi nyingine hewa tulizowahi kukutana nazo. Nikushauri ndugu yangu, hebu jikite kwenye jambo unalilifahamu kuliko kuleta utetezi wa kisiasa kwenye hili suala la kilimo. Angalie signature yangu utajua kwamba ninajua ninaloongea kwenye kilimo.