Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Kaka umeleta mada ili tuchangie sio kuleta vitisho, mimi ni mkulima wa miaka mingi sana inawezekana kukuzidi wewe, lete hoja zijibiwe hapana kuleta vitisho.
Nimekuuliza ulitaka serikali ifanye nini katika kilimo, badala ya kutoa ushauri wewe unakazania kuniuliza maswali ya kipuuzi kwamba inajua bei ya pembejeo au kuhusu mlolongo wa kuzipata hizo pesa za TIB, sasa ulitaka ukifika tu Bank wakurushie hizo pesa?, mikopo yote lazima iwe na masharti ili kuhakikisha kweli mtu anayetaka hizo pesa atazitumia kwa malengo husika.
Sharti kubwa la kukopeshwa pesa za TIB ni lazima uwe umeshaanza kilimo cha mazao ambayo yapo katika orodha yao, shamba liwe na hati na iwe katika kanda husika, watakuja kulikagua na kuangalia kama umetimiza vigezo vya kukopeshwa, sasa unataka nini zaidi, mimi nilienda na nilikopeshwa, japo sio kwa kiwango nilichoyaka.
Kuhusu 50M, huna lolote wewe ni miongoni mwa matapeli tu, kwasababu umesikia kuna pesa basi akili yako imechanganyikiwa, sema ukweli ni kitu gani cha maendeleo kinaweza kufanyika ktk vijiji vyetu kwa mtaji wa 50M, kama sio kukopeshana ktk vikundi vidogo vidogo vya mama ntilie, hivi yale mabilioni ya Jakaya yaliyotolewa yalitumikaje?
Wwe sio mkulima ni muuza face hapo Dar. Sioni kama una jipya bali unauza maneno hapa jukwaani. Hayo masharti wewe hayawezi kukuhusu maana dada yako kaelewa na manager wa bank.