Mliokuwa 'mkimdhihaki ' Rais Dr. Magufuli juu ya Ununuaji wa Ndege Kubwa pateni mfano huu Kuntu wa Kenya


Wwe sio mkulima ni muuza face hapo Dar. Sioni kama una jipya bali unauza maneno hapa jukwaani. Hayo masharti wewe hayawezi kukuhusu maana dada yako kaelewa na manager wa bank.
 
Wwe sio mkulima ni muuza face hapo Dar. Sioni kama una jipya bali unauza maneno hapa jukwaani. Hayo masharti wewe hayawezi kukuhusu maana dada yako kaelewa na manager wa bank.
Wewe ni tapeli tu huna hoja zaidi ya kulalamika bila kutoa ushauri wa nini kifanyike, wewe endelea kulalamika na kusugua makalio vijiweni matokeo utayaona
 
Ebu nikuulize swali, ukisha peleka fedha hizo kwa wakulima kisha unafanya nini, unakaa kibwege tu. Kesho utawapelekea nini. Ndege, meli, reli, barabara, utalii, kilimo, uvuvi, ufugaji ,madini, viwanda, n.k. vyote hivi ni nyenzo za kukusanyia fedha ili ukizipata ndipo sasa unaweza kutekeleza vipaumbele vyako kikiwemo kilimo, Elimu, maji na huduma zingine za jamii. Usipofanya hivyo basi wewe utakuwa MTU Wa kutegemea mikopo tu kutoka nje ambapo Matokeo yake tunajua ni kuiweka nchi yako rehani.
 
Tatzo sio ndege bali ni sheria ya manunuzi, bunge lilihusishwa mkuu?

Bunge lilishawahi kukufanyia nini licha ya kula pesa yako kwenye vikao na majimboni hawafiki wanafiki wakubwa. Tukiwa na rais kama JPM hatuitaji wabunge wanafki ambao walitumia billions of TZS Kuandika katiba hewa wakafie mbali!!!! Au ww babako mi mbunge unataka vikao ili mpate posho???
 
Unajua maana ya Bunge mkuu? Wabunge ni wawakilishi wa wananchi ikiwemo wewe mwenyewe! Na ndo mawaziri wa Serikali yetu Unaposema wabunge ni wanafiki ina maana unamaanisha wananchi wote ni wanafiki pamoja na wewe! Na kama unasema Rais pekee anatosha basi tufute bunge na abaki mwenyewe tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…