GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe huwa ni bwege siku zote,tangu lini mnyarwanda akawa na akili? Eti mnajivunia Kagame kajitu kapumbavu kanakoipeleka Rwanda kumwaga Damu.
Kenya ina uchumi mkubwa mara tatu ya Tanzania, hakuna aliyempinga Magufuli kununua ndege ,tunachopinga ni kwamba ndege haikuwa kipaumbele kwa sasa,Hujiulizi kwa nini ajali za maji Africa ,Tanzania inaongoza?MV Bukoba watu 1500 walikufa,Spicer island watu 500,MV Nyerere watu 210.
Halafu unanunua ndege inayopandwa na watu 30 tu wenye uwezo kiuchumi ,Kenya ina mizizi ya utalii Tanzania tupo nyuma mno,Rais asiyependa exposure na mataifa makubwa Tanzania itatoa wapi watalii? Kazi kuharibu pesa kwa kununua wapinzani na kurudia uchaguzi,akili za hovyo kabisa hizi.
Hizo pesa za ndege zingenunua meli maisha ya watanzania yangekuwa salama.
Wewe ni bwege uliyetukuka.
'Lufthansa, for example, is often considered Germany’s flag carrier. The airline was state-owned until 1994 but government shares were sold off in 1997. The airline reported record full-year 2017 profits of $3.68 billion. In fact, Lufthansa currently owns and operates three other national flag carriers: Swiss International Air Lines, Brussels Air Lines, and Austrian Airlines'.Mimi nimemuuliza mleta mada;
Ndege zina umuhimu wake hasa unaposafiri kwenda nje ya nchi inakereka sana unapoilizwa nchi unajibu Tanzania; umekuja na airline gani unajibu Ethiopia; swala la kukera linafutwa "Don't you have your own carrier?"
Mkuu hiyo ndege inauwezo wa kubeba watu wangapi? watu 7000 tayari wana tiketi za kuwemo kwenye safari ya kwanzaKuna muda huwa nawashangaa sana kama siyo mno Watanzania kwamba ni kwanini hawataki Kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuwapa ' Zawadi ' ya Rais ambaye ana ' maono ' makubwa sana ya Kimaendeleo kama aliyonayo Rais wetu Mpendwa Dr. John Pombe Joseph Magufuli a.k.a Mwanamume wa Shoka.
Kwa wale Ndugu zangu ambao mmekuwa mkipiga Kelele juu ya Ununuaji wake wa Ndege ili kuweza kuzidisha Kasi ya Utalii nchini nadhani kwa hili alilolifanya Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta sasa mtakuwa na la Kujifunza na ikibidi bado hamjachelewa kumuomba radhi Mheshimiwa Rais JPM au Kutengua ' Kauli ' zenu kwani kiukweli Rais JPM yupo sahihi kwa 100% na hizi Ndege anazozinunua zitaongeza mno Ukuaji wa Uchumi na hasa Sekta nzima ya Utalii kwa nchi ya Tanzania.
Ni kwamba Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amezindua rasmi Safari ya Ndege ya moja kwa moja kutoka Nairobi ( Kenya ) hadi New York ( Marekani / USA ) ambayo itaanza rasmi tarehe 29, October 2018 na mpaka hivi sasa tayari Watu 7000 wameshakata ' Tiketi ' zao ili kuwemo katika hiyo Safari ya Kwanza.
Kwa mujibu wa Rais Kenyatta amesema kwamba uzinduzi huu wa hii Safari ya moja kwa moja kati ya Kenya na Marekani ( USA ) kutaongeza maradufu ' mapato ' katika Sekta nzima ya Utalii ya nchini Kenya na pia Uchumi wa nchi yake utakuwa kwa haraka kwakuwa Kenya imekuwa na ' Vivutio ' vingi ambavyo Wamarekani wengi hupenda kuvitembelea mara kwa mara.
Bado nitasema na leo nasema tena bila ' Unafiki ' kwamba kama kuna ' Zawadi ' ambayo Mwenyezi Mungu ametupa Watanzania basi ni kwa kutupatia Rais mwenye maono ya kweli, yenye tija na uhakika wa Kimaendeleo kwa nchi hii Rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli a.k.a Mwanamume wa Shoka.
Hakuna Rais ninayempenda na kumkubali kama JPM na Mwenyezi Mungu ambariki sana azidi kutuletea Maendeleo Watanzania.
Source: Daily Monitor
Nawasilisha.
Naomba usome tena swali langu.Huko Chuo Kikuu ulikoenda Kusoma ulienda Kupata maarifa zaidi ili uje kuwa ' Great Thinker ' au Kujifunza ' Kujitawaza ' vizuri pale unapotoka Chooni / Msalani kutoa Haja Kubwa?
Sheria inasemaje? Au anaijua Tundu LIssu? KUna watu bado munaamini nchi inaweza kuendelea kwa kuwa na wanasheria weeengi!Tatzo sio ndege bali ni sheria ya manunuzi, bunge lilihusishwa mkuu?
Naomba usome tena swali langu.
Hakuna mahali nimekudhihaki.
It's pure quest for expansive information.
Sasa wewe bwana usalama, kwanini unanitukana?
Na wewe usinitukane tena siku nyingine.Naomba hilo la kuniita ' Bwana Usalama ' liwe mwanzo na mwisho kuniita kwani sihusiki nalo na Mimi siyo miongoni mwao kwa 100%. Naitwa GENTAMYCINE pekee. Nitashukuru kama ANGALIZO langu hilo utalielewa na kulizingatia pia. Asante.
Mkuu hiyo ndege inauwezo wa kubeba watu wangapi? watu 7000 tayari wana tiketi za kuwemo kwenye safari ya kwanza
Sheria ingefuatwa ndo tungefaidika nini? sanasana hadi hivi leo tungekuwa tunaambiwa stori za "michakato inaendelea"....Tatzo sio ndege bali ni sheria ya manunuzi, bunge lilihusishwa mkuu?
Sometimes nafikiri unaazima akili. Hivi unajua Kenya wako mbali sana kwenye usafiri wa anga, Kenya wako partners na KLM, tiketi yako unakuja moja kwa moja online Kenya ndege Sao zinaenda nchi kubwa duniani. Unataka tumsifie Magufuli kwa kununua ndege cash na kuipeleka Mwanza, ndege ya kwenda USA inapekwa Mwanza. Kwasababu hakuwa na plan hakujua kuwa ndege yake haiwezi kuuza tiketi zake mwenyewe, alijua hana kibali ya kimaitaifa ya kuipeleka nje. Rais wako alikurupuka. Naomba kipindi cha hasara pia jitokeze ili tumsifie. USIJIFICHEKuna muda huwa nawashangaa sana kama siyo mno Watanzania kwamba ni kwanini hawataki Kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuwapa ' Zawadi ' ya Rais ambaye ana ' maono ' makubwa sana ya Kimaendeleo kama aliyonayo Rais wetu Mpendwa Dr. John Pombe Joseph Magufuli a.k.a Mwanamume wa Shoka.
Kwa wale Ndugu zangu ambao mmekuwa mkipiga Kelele juu ya Ununuaji wake wa Ndege ili kuweza kuzidisha Kasi ya Utalii nchini nadhani kwa hili alilolifanya Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta sasa mtakuwa na la Kujifunza na ikibidi bado hamjachelewa kumuomba radhi Mheshimiwa Rais JPM au Kutengua ' Kauli ' zenu kwani kiukweli Rais JPM yupo sahihi kwa 100% na hizi Ndege anazozinunua zitaongeza mno Ukuaji wa Uchumi na hasa Sekta nzima ya Utalii kwa nchi ya Tanzania.
Ni kwamba Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amezindua rasmi Safari ya Ndege ya moja kwa moja kutoka Nairobi ( Kenya ) hadi New York ( Marekani / USA ) ambayo itaanza rasmi tarehe 29, October 2018 na mpaka hivi sasa tayari Watu 7000 wameshakata ' Tiketi ' zao ili kuwemo katika hiyo Safari ya Kwanza.
Kwa mujibu wa Rais Kenyatta amesema kwamba uzinduzi huu wa hii Safari ya moja kwa moja kati ya Kenya na Marekani ( USA ) kutaongeza maradufu ' mapato ' katika Sekta nzima ya Utalii ya nchini Kenya na pia Uchumi wa nchi yake utakuwa kwa haraka kwakuwa Kenya imekuwa na ' Vivutio ' vingi ambavyo Wamarekani wengi hupenda kuvitembelea mara kwa mara.
Bado nitasema na leo nasema tena bila ' Unafiki ' kwamba kama kuna ' Zawadi ' ambayo Mwenyezi Mungu ametupa Watanzania basi ni kwa kutupatia Rais mwenye maono ya kweli, yenye tija na uhakika wa Kimaendeleo kwa nchi hii Rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli a.k.a Mwanamume wa Shoka.
Hakuna Rais ninayempenda na kumkubali kama JPM na Mwenyezi Mungu ambariki sana azidi kutuletea Maendeleo Watanzania.
Source: Daily Monitor
Nawasilisha.
hivii kumbe unaweza kupongeza huku unapata UKARAKASI etieee??Napongeza manunuzi ya ndege lakini hii hoja ya kuwa zitaongeza namba ya watalii nchini ndio napata ukakasi.
kwani hizo zilizokodishwa kwa baraka za bunge zilileta tija gani?Nyie si ndio mnasema bunge halina menoTatzo sio ndege bali ni sheria ya manunuzi, bunge lilihusishwa mkuu?
Kuna muda huwa nawashangaa sana kama siyo mno Watanzania kwamba ni kwanini hawataki Kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuwapa ' Zawadi ' ya Rais ambaye ana ' maono ' makubwa sana ya Kimaendeleo kama aliyonayo Rais wetu Mpendwa Dr. John Pombe Joseph Magufuli a.k.a Mwanamume wa Shoka.
Kwa wale Ndugu zangu ambao mmekuwa mkipiga Kelele juu ya Ununuaji wake wa Ndege ili kuweza kuzidisha Kasi ya Utalii nchini nadhani kwa hili alilolifanya Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta sasa mtakuwa na la Kujifunza na ikibidi bado hamjachelewa kumuomba radhi Mheshimiwa Rais JPM au Kutengua ' Kauli ' zenu kwani kiukweli Rais JPM yupo sahihi kwa 100% na hizi Ndege anazozinunua zitaongeza mno Ukuaji wa Uchumi na hasa Sekta nzima ya Utalii kwa nchi ya Tanzania.
Ni kwamba Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amezindua rasmi Safari ya Ndege ya moja kwa moja kutoka Nairobi ( Kenya ) hadi New York ( Marekani / USA ) ambayo itaanza rasmi tarehe 29, October 2018 na mpaka hivi sasa tayari Watu 7000 wameshakata ' Tiketi ' zao ili kuwemo katika hiyo Safari ya Kwanza.
Kwa mujibu wa Rais Kenyatta amesema kwamba uzinduzi huu wa hii Safari ya moja kwa moja kati ya Kenya na Marekani ( USA ) kutaongeza maradufu ' mapato ' katika Sekta nzima ya Utalii ya nchini Kenya na pia Uchumi wa nchi yake utakuwa kwa haraka kwakuwa Kenya imekuwa na ' Vivutio ' vingi ambavyo Wamarekani wengi hupenda kuvitembelea mara kwa mara.
Bado nitasema na leo nasema tena bila ' Unafiki ' kwamba kama kuna ' Zawadi ' ambayo Mwenyezi Mungu ametupa Watanzania basi ni kwa kutupatia Rais mwenye maono ya kweli, yenye tija na uhakika wa Kimaendeleo kwa nchi hii Rais Dr. John Pombe Joseph Magufuli a.k.a Mwanamume wa Shoka.
Hakuna Rais ninayempenda na kumkubali kama JPM na Mwenyezi Mungu ambariki sana azidi kutuletea Maendeleo Watanzania.
Source: Daily Monitor
Nawasilisha.
We LOFA na FALA sana!!!Wewe huwa ni bwege siku zote,tangu lini mnyarwanda akawa na akili? Eti mnajivunia Kagame kajitu kapumbavu kanakoipeleka Rwanda kumwaga Damu.
Kenya ina uchumi mkubwa mara tatu ya Tanzania, hakuna aliyempinga Magufuli kununua ndege ,tunachopinga ni kwamba ndege haikuwa kipaumbele kwa sasa,Hujiulizi kwa nini ajali za maji Africa ,Tanzania inaongoza?MV Bukoba watu 1500 walikufa,Spicer island watu 500,MV Nyerere watu 210.
Halafu unanunua ndege inayopandwa na watu 30 tu wenye uwezo kiuchumi ,Kenya ina mizizi ya utalii Tanzania tupo nyuma mno,Rais asiyependa exposure na mataifa makubwa Tanzania itatoa wapi watalii? Kazi kuharibu pesa kwa kununua wapinzani na kurudia uchaguzi,akili za hovyo kabisa hizi.
Hizo pesa za ndege zingenunua meli maisha ya watanzania yangekuwa salama.
Wewe ni bwege uliyetukuka.