Mliokuwa 'mkimdhihaki ' Rais Dr. Magufuli juu ya Ununuaji wa Ndege Kubwa pateni mfano huu Kuntu wa Kenya

Mliokuwa 'mkimdhihaki ' Rais Dr. Magufuli juu ya Ununuaji wa Ndege Kubwa pateni mfano huu Kuntu wa Kenya

Kwa hili na mengine mengi anayoyafanya naunga mkono kwa % kubwa

Tatizo wengi sio kuwa hawataki maendeleo bali ni ubishi wa kupinga kila kitu
 
umesikika ila tuheshimu tu sheria na mihimili mingine
 
Mkuu GENTAMYCINE hongera kwa uzi na ninakupongeza sana kwa utetezi wako kwa JPM. Naheshimu michango yako kwani huwa sio mnafiki na huwa unanyoosha bila kupindisha hata Mavunde hilo analijua.

Tuje kwenye mada yako, nionavyo kuna upotoshaji wa wazi kwenye wanaomkosoa JPM kwa kuwekwa kwenye kundi la kumpinga japo sio kosa hata akipingwa, upotoshaji huu unafanyika kwa makusudi ama pasipo au kwa kufuata mkumbo. Tuko sisi tuliosema na tutaendea kusema na kukosoa bila kuyumbayumba kwani tunachosimamia tunakiamini. Tulisema ndege ni jambo jema, lakini kwa hali za walio wengi hapa nchini ambao ni wakulima ni vyema kipaombele kingekuwa kwenye kilimo. Mimi ama wanaoamini kwamba kilimo kilipsawa kuwa kipaombele kisha ndege baadae, ni kwamba tungeleta maendeleo ya watu kwanza, kisha maendeleo ya vitu. Iwapo ingetokea kwamba tuliokosoa kununua ndege kwanza tungeenda kuilipua hapo sawa, lakini tumetumia haki yetu ya kukosoa na kusema kipi kilipaswa kuwa kipaombele kosa letu liko wapi?

Inaonekana ww na mashabiki wake na hata yeye mwenyewe mnakwepa hoja zetu za ukosoaji kwa kichaka cha kupingwa, na hamtumii neno ukosoaji bali huwa mnasema kumpinga rais ili mpate public sympathy. Na kwa bahati nzuri hilo neno ya kwamba rais anapingwa kwa kila jambo linaenea vizuri bila wananchi kupata upande wa pili maana sasa hivi kinachosikika kwenye media ni atakacho rais. Huku kwenye mitandao pakee ndio kumebaki na mijadala huru kama hivi. Msipotoshe japo mna haki ya kumtetea mpendavyo na sisi tuna haki ya kumkosoa tupendavyo kwani ndio demokrasia as long as hakuna anayekwenda kuharibu hiyo miundo mbinu.
 
Hayo ni matokeo mazuri ya ziara yake kule kwa Trump,hayo hayawezekani ikiwa tumejifungia tu ndani.Ushirikishwaji muhimu pia
 
Mkuu kwanza kabisa rekebisha,yey sio zawadi tena iliyotoka kwa Mungu,atakuwa katokea upande mwingine ila ni mahaba yako kwake,binafsi nasikitika sana kuwa chini ya hu utawala.
 
Kichaa jiwe alichaguliwa na majambazi ya ccm ila Mungu ameamua kumuacha tu kwa maana Mungu ni pendo apenda wote.
 
Nimekuambia kuwa tayari hadi hivi sasa Watu 7000 wameshakata Tiketi ili Kuipanda au Kufanya Safari hiyo na Jukumu la Abiria wangapi wapande linategemeana na uwezo wa Ndege na siyo lazima kwamba hao wote wasafiri hiyo hiyo tarehe bali kwa Shirika la Ndege la KQ tayari mpaka dakika hii limeshajihakikishia kupata ' Mapato ' fulani na pia ni dalili njema kwa Shirika kwa siku za baadae.

Huko Vyuo Vikuu mlienda Kusoma na Kuelemika kisawasawa au Kujifunza tu jinsi ya ' Kujitawaza ' vizuri mnapotoka Chooni Kunya?
we mbweha nimekuuliza kiistarabu kutokana na maelezo yako kwenye mada, soma ulichoandika kwenye mada na maelezo uliyatoa baadae
 
Hatuna jins sasa zaidi ya kuunga mkono Juhundi za awamu ya Tano
Kuunga mkono juhudi ni pamoja na kuiga matendo yake ambayo watu "wanaamini" ni mazuri. hakika kama Watanzania wote wangeunga mkono "juhudi zake" basi yale mazishi ya Ukara asingekuwepo mtu hata mmoja mana wote wangukuwa wanakunywa chai na waalikwa wao walio waita majumbani.
 
Wewe huwa ni bwege siku zote,tangu lini mnyarwanda akawa na akili? Eti mnajivunia Kagame kajitu kapumbavu kanakoipeleka Rwanda kumwaga Damu.
Kenya ina uchumi mkubwa mara tatu ya Tanzania, hakuna aliyempinga Magufuli kununua ndege ,tunachopinga ni kwamba ndege haikuwa kipaumbele kwa sasa,Hujiulizi kwa nini ajali za maji Africa ,Tanzania inaongoza?MV Bukoba watu 1500 walikufa,Spicer island watu 500,MV Nyerere watu 210.
Halafu unanunua ndege inayopandwa na watu 30 tu wenye uwezo kiuchumi ,Kenya ina mizizi ya utalii Tanzania tupo nyuma mno,Rais asiyependa exposure na mataifa makubwa Tanzania itatoa wapi watalii? Kazi kuharibu pesa kwa kununua wapinzani na kurudia uchaguzi,akili za hovyo kabisa hizi.
Hizo pesa za ndege zingenunua meli maisha ya watanzania yangekuwa salama.
Wewe ni bwege uliyetukuka.
Kazi kununua wapinzani? Alaa kumbe wapo sokoni wanajiuza hao wapinzani ! Kama mahangu vile au ?
 
Acheni kujifariji kwa kutumia mifano ya watu tunaolingananao na ambao nao nchi nzao ni masikini kama zetu.

Nimepanda Bombardier Ijumaa iliyopita kutoka Dom kuja Dar wala haijai (masiti kibao yako wazi).

Kwanza sisi teyari tuna madeni kibao hivyo ni hasara juu ya hasara.

Alafu kutuambia huyo mtu ni zawadi tuliopewa na Mungu, ni sawa na kututukana na ukome kabisa!!
Sema kunitukana , sio kututukana ! Sawa bwege ?
 
Sheria ingefuatwa ndo tungefaidika nini? sanasana hadi hivi leo tungekuwa tunaambiwa stori za "michakato inaendelea"....
Go JPM Gooo!
Maadam unachofanya kinaonekana na wananchi tunakiappreciate waachie hao wanaotaka sheria waendelee kuzisubiri.
Achana nao hao , sheria sheria mbona mbowe kala hela za sabodo sheria haijafuatwa ?
 
Kichaa mwenzake hatuwezi kushindana na wewe maana you are incapacitated, watu hawahoji ununuzi wa ndege bali taratibu hazikufuatwa, yawezekana mnunuzi ali over value akapata hela za kujijengea migorofa huko rock city, hatujawahi kuwa na serikali ya mtu mmoja awe ndo muidhinishaji na mlipaji mkuu wa umma ambaye kicheo ni rais,
But time will tell,
Jinyonge sasa ndo kashanunua
 
Kwa mujibu wa Rais Kenyatta amesema
Amesema Amesema..
Inapendeza tuchukue mifano kwa mambo yaliyotokea siyo kwa yanayotarajiwa kutokea, ikipatikana faida ndiyo tunaweza Kumsifu Jiwe..
Wanasiasa kazi yao ni Kusema.
 
Back
Top Bottom