Mliokuwa mkimtetea Flora Mbasha mko wapi? mteteeni tena


Kweli yule mume ni kilaza sijui alimloga Flora masikini akaolewa na garasa kaa lile?!!!!
 
Wewe peleka uzushi wako huko! Gwajima kakimbia nchi??
 

Na wewe ya ngoswe muachie ngoswe mwenyewe tumechoka na izo storii kwani nyingine zimeishaa
 
God is watching

Hiv case yake imeishia wapi c walisema itasomwa tar17 july?
 
Unaweza kuthibitisha flora amemtesa vipi mume wake??????? Ndoa ni wawili tu, umejuaje kamtesa mumewe kama wewe sio mumewe?

Wewe ni nani uhujumu gwajima kumdhalilisha Mungu?

Kwa hiyo kama ndoa ina matatizo its okey kwa mume wa kufanya mapenzi na shemeji yake? Ndivyo matatizo ya ndoa yanavyosuluhishwa?


Una uhakika flora ana mimba? Na umempima kuthibitisha mimba ni ya gwajima?
 
Mungu atusaidie wanawake, maana kila kukichwa ni wanawake hivi na vile
 
Mwe.....Mchungaji kazi yake ni kuchunga tu...akila mfugo tu ni noma.
 
Flora alichoka kupigwa free p na huyu marioo ..yaan free p unipge""bdo betrayal inihusuu khaaa hvyohvyo gwajma yaan una Roho nzuri sana kufariji wanawake wasiopewa thaman kwenye ndoa wafariji shemejiii tna ubarikiwee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…