Mliokuwa mkisema Manula anafungwa Tegeta na Mbagala hii Kauli bado mnayo au mmeshaifuta kwa Kiwango chake Kikubwa na cha Kimataifa?

Mliokuwa mkisema Manula anafungwa Tegeta na Mbagala hii Kauli bado mnayo au mmeshaifuta kwa Kiwango chake Kikubwa na cha Kimataifa?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Ndani ya Masaa Matatu ya leo nimepishana na Mawakala Watatu Mmoja wa PSG ya Ufaransa, mwingine wa FC Barcelona ya Hispania na wa mwisho ni wa Klabu yangu pendwa ya Liverpool FC ya nchini Uingereza wote Wakihaha kutaka Kuonana na Viongozi wa Klabu ya Simba ili wamsajili Kipa Namba Moja kwa sasa Barani Afrika Aishi Salum Manula.

Kwa taarifa za ndani kabisa zinasema kuwa huenda Simba SC ikavunja Rekodi Afrika nzima kwa Kumuuza huko Ulaya Kipa wake huyo Aishi Salum Manula kwa Gharama ambayo inaweza Kulipa Mishahara Wachezaji wote wote wa Yanga SC kwa mwaka mzima pamoja na Watendaji wake Waandamizi akina Injinia Hersi Said, Wasemaji Wao Wawili Bumbuli na Manara pamoja na Boss wao Mkuu Gharib Said Mohammed ( GSM )

Kuna Litimu ( nimeisahau ) Ligolikipa lao sijui lina Funza katika Midole yake yaani lenyewe hata Mpira mwepesi tu wa Kudaka kwa Mikono yake haliwezi Kazi yake ni Kukokota tu Mpira huku akikimbia akipanua Miguu yake utadhani ana Busha na linataka Kumdondoka.

Hakuna Kipa Bora Afrika kama Manula.
 
Asante sana Popoma. Ni wajinga tu wanaweza kumfananisha Air Manula na yule kipa wa misukule aliyeenda Afcon kutalii.
 
Ndani ya Masaa Matatu ya leo nimepishana na Mawakala Watatu Mmoja wa PSG ya Ufaransa, mwingine wa FC Barcelona ya Hispania na wa mwisho ni wa Klabu yangu pendwa ya Liverpool FC ya nchini Uingereza wote Wakihaha kutaka Kuonana na Viongozi wa Klabu ya Simba ili wamsajili Kipa Namba Moja kwa sasa Barani Afrika Aishi Salum Manula.

Kwa taarifa za ndani kabisa zinasema kuwa huenda Simba SC ikavunja Rekodi Afrika nzima kwa Kumuuza huko Ulaya Kipa wake huyo Aishi Salum Manula kwa Gharama ambayo inaweza Kulipa Mishahara Wachezaji wote wote wa Yanga SC kwa mwaka mzima pamoja na Watendaji wake Waandamizi akina Injinia Hersi Said, Wasemaji Wao Wawili Bumbuli na Manara pamoja na Boss wao Mkuu Gharib Said Mohammed ( GSM )

Kuna Litimu ( nimeisahau ) Ligolikipa lao sijui lina Funza katika Midole yake yaani lenyewe hata Mpira mwepesi tu wa Kudaka kwa Mikono yake haliwezi Kazi yake ni Kukokota tu Mpira huku akikimbia akipanua Miguu yake utadhani ana Busha na linataka Kumdondoka.

Hakuna Kipa Bora Afrika kama Manula.
Popoma katika ubora wako
 
Manula... Special one....Specialist of Goal Keeping....!
Naomba asifananishwe na Yeyote..maana Najua Utopolo mtaanza ooh kuna mdaka mikuki..mara mdaka risasi..!
 
Ndani ya Masaa Matatu ya leo nimepishana na Mawakala Watatu Mmoja wa PSG ya Ufaransa, mwingine wa FC Barcelona ya Hispania na wa mwisho ni wa Klabu yangu pendwa ya Liverpool FC ya nchini Uingereza wote Wakihaha kutaka Kuonana na Viongozi wa Klabu ya Simba ili wamsajili Kipa Namba Moja kwa sasa Barani Afrika Aishi Salum Manula.

Kwa taarifa za ndani kabisa zinasema kuwa huenda Simba SC ikavunja Rekodi Afrika nzima kwa Kumuuza huko Ulaya Kipa wake huyo Aishi Salum Manula kwa Gharama ambayo inaweza Kulipa Mishahara Wachezaji wote wote wa Yanga SC kwa mwaka mzima pamoja na Watendaji wake Waandamizi akina Injinia Hersi Said, Wasemaji Wao Wawili Bumbuli na Manara pamoja na Boss wao Mkuu Gharib Said Mohammed ( GSM )

Kuna Litimu ( nimeisahau ) Ligolikipa lao sijui lina Funza katika Midole yake yaani lenyewe hata Mpira mwepesi tu wa Kudaka kwa Mikono yake haliwezi Kazi yake ni Kukokota tu Mpira huku akikimbia akipanua Miguu yake utadhani ana Busha na linataka Kumdondoka.

Hakuna Kipa Bora Afrika kama Manula.
Ni miongoni mwa makipa bora

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Ndani ya Masaa Matatu ya leo nimepishana na Mawakala Watatu Mmoja wa PSG ya Ufaransa, mwingine wa FC Barcelona ya Hispania na wa mwisho ni wa Klabu yangu pendwa ya Liverpool FC ya nchini Uingereza wote Wakihaha kutaka Kuonana na Viongozi wa Klabu ya Simba ili wamsajili Kipa Namba Moja kwa sasa Barani Afrika Aishi Salum Manula.

Kwa taarifa za ndani kabisa zinasema kuwa huenda Simba SC ikavunja Rekodi Afrika nzima kwa Kumuuza huko Ulaya Kipa wake huyo Aishi Salum Manula kwa Gharama ambayo inaweza Kulipa Mishahara Wachezaji wote wote wa Yanga SC kwa mwaka mzima pamoja na Watendaji wake Waandamizi akina Injinia Hersi Said, Wasemaji Wao Wawili Bumbuli na Manara pamoja na Boss wao Mkuu Gharib Said Mohammed ( GSM )

Kuna Litimu ( nimeisahau ) Ligolikipa lao sijui lina Funza katika Midole yake yaani lenyewe hata Mpira mwepesi tu wa Kudaka kwa Mikono yake haliwezi Kazi yake ni Kukokota tu Mpira huku akikimbia akipanua Miguu yake utadhani ana Busha na linataka Kumdondoka.

Hakuna Kipa Bora Afrika kama Manula.
Uyo manura anazo clean sheet ngapi na uyo unaemlinganisha nae anazo clean sheet ngap mpaka sasa kwenye ligi, mpira ni takwimu na sio blah blah za kwenye kahawa
 
Ndani ya Masaa Matatu ya leo nimepishana na Mawakala Watatu Mmoja wa PSG ya Ufaransa, mwingine wa FC Barcelona ya Hispania na wa mwisho ni wa Klabu yangu pendwa ya Liverpool FC ya nchini Uingereza wote Wakihaha kutaka Kuonana na Viongozi wa Klabu ya Simba ili wamsajili Kipa Namba Moja kwa sasa Barani Afrika Aishi Salum Manula.

Kwa taarifa za ndani kabisa zinasema kuwa huenda Simba SC ikavunja Rekodi Afrika nzima kwa Kumuuza huko Ulaya Kipa wake huyo Aishi Salum Manula kwa Gharama ambayo inaweza Kulipa Mishahara Wachezaji wote wote wa Yanga SC kwa mwaka mzima pamoja na Watendaji wake Waandamizi akina Injinia Hersi Said, Wasemaji Wao Wawili Bumbuli na Manara pamoja na Boss wao Mkuu Gharib Said Mohammed ( GSM )

Kuna Litimu ( nimeisahau ) Ligolikipa lao sijui lina Funza katika Midole yake yaani lenyewe hata Mpira mwepesi tu wa Kudaka kwa Mikono yake haliwezi Kazi yake ni Kukokota tu Mpira huku akikimbia akipanua Miguu yake utadhani ana Busha na linataka Kumdondoka.

Hakuna Kipa Bora Afrika kama Manula.
Umerudi kivingine
 
Ndani ya Masaa Matatu ya leo nimepishana na Mawakala Watatu Mmoja wa PSG ya Ufaransa, mwingine wa FC Barcelona ya Hispania na wa mwisho ni wa Klabu yangu pendwa ya Liverpool FC ya nchini Uingereza wote Wakihaha kutaka Kuonana na Viongozi wa Klabu ya Simba ili wamsajili Kipa Namba Moja kwa sasa Barani Afrika Aishi Salum Manula.

Kwa taarifa za ndani kabisa zinasema kuwa huenda Simba SC ikavunja Rekodi Afrika nzima kwa Kumuuza huko Ulaya Kipa wake huyo Aishi Salum Manula kwa Gharama ambayo inaweza Kulipa Mishahara Wachezaji wote wote wa Yanga SC kwa mwaka mzima pamoja na Watendaji wake Waandamizi akina Injinia Hersi Said, Wasemaji Wao Wawili Bumbuli na Manara pamoja na Boss wao Mkuu Gharib Said Mohammed ( GSM )

Kuna Litimu ( nimeisahau ) Ligolikipa lao sijui lina Funza katika Midole yake yaani lenyewe hata Mpira mwepesi tu wa Kudaka kwa Mikono yake haliwezi Kazi yake ni Kukokota tu Mpira huku akikimbia akipanua Miguu yake utadhani ana Busha na linataka Kumdondoka.

Hakuna Kipa Bora Afrika kama Manula.
Manula huyu huyu wa manzese United ya hapo MSIMBAZI?
 
Uyo manura anazo clean sheet ngapi na uyo unaemlinganisha nae anazo clean sheet ngap mpaka sasa kwenye ligi, mpira ni takwimu na sio blah blah za kwenye kahawa
Unaongea nini wewe?
Wenzako wanazungumzia kwenye mashindano ya kimataifa wewe unaongelea ligi ya bara ambayo hata wakija Barcelona wanaweza kufungwa na Namungo kwa mizingwe iliyopo kwenye soka la Bongo.
 
Uyo manura anazo clean sheet ngapi na uyo unaemlinganisha nae anazo clean sheet ngap mpaka sasa kwenye ligi, mpira ni takwimu na sio blah blah za kwenye kahawa
Tunamjua Manula na siyo huyu manura wako.
 
Unaongea nini wewe?
Wenzako wanazungumzia kwenye mashindano ya kimataifa wewe unaongelea ligi ya bara ambayo hata wakija Barcelona wanaweza kufungwa na Namungo kwa mizingwe iliyopo kwenye soka la Bongo.
Fine, uko kimataifa anazo clean sheet ngap mkuu
 
Kipa wenu mpanua Miguu hovyo Uwanjani alivyokuwa bench AFCON Cameroon Yeye aliacha Clean Sheets ngapi kule?
Ni bora aliyeitwa kwenye kikosi chenye wachezaji 3 tu kutoka bara la afrika vipi kwenye kikosi cha aina iyo uyo manula wako ata kuitwa angeitwa? Kipa anayeitwa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Mali unamlinganisha na vitu vya ajabu kabisa!!!
 
Back
Top Bottom