Huna mantiki kwenye andiko lako,kwa sababu bunge la kijani sio chanzo cha kupandisha bei ya mafuta nchini.Awamu iliyopita ilifanya Kila mbinu, kushawishi, kutishia, kuhonga n.k kuhakikisha nchi nzima inakuwa KIJANI.
Na hata wale waliojaribu kukataa kuunga mkono waliona Cha mtema Kuni.
Hatimaye mwaka 2020 nchi ikawa kijani na wabunge 99% wakawa wa Chama kimoja!
Sasa wote tunaona Bei ya mafuta ikiwa 3200+
Na tunaambiwa BADO ITAPANDA HUO NI MWANZO TU!
kama Tungekuwa na upinzani imara Leo hii utopolo huu usingekuwepo!
Wangekuwa wapo watu wa kuwasemea Wananchi...
Lakini Sasa Kila mmoja anaunga mkono hoja.
Tutegemee msoto zaidi.
Unataka tukufe ?Tena inatakiwa ipande haswa iwe hata elfu 8 kwa lita
wewe unaongea nn naona unatetea utumbo wa tatizo mikodi mingi ili muonekane mnakusanya kodi kubwa ili hali watu wanateseka,Huna mantiki kwenye andiko lako,kwa sababu bunge la kijani sio chanzo cha kupandisha bei ya mafuta nchini.
Huko kote ilikopanda bei ya mafuta Duniani,hakuna bunge la chama kimoja.
Leo wabunge walisitisha shughuli rasmi za bunge.
Ili kujadili hoja binafsi ya dharula ya mbunge wa CCM.
Kuhusiana na ongezeko la bei ya mafuta isiyoendana na uhalisia wa maisha mtaani.
Serikali imepewa muda ili ikajipange na kuja na majibu sahihi siku ya Jumanne ya wiki ijayo.
Tunajua mko kijiweni ila tumieni muda huu kujifunza ubunge wa kisasa zaidi,badala ya ubunge wa matusi na kejeli mliokuwa mkiufanya.
Karibuni tena kwenye Boksi 2025,ili mjaribu bahati yenu.
Kwa sasa endeleeni na bunge la Club House na Maria Sarungi Spaces.
Shida yote hii sababu ya CCM.Awamu iliyopita ilifanya Kila mbinu, kushawishi, kutishia, kuhonga n.k kuhakikisha nchi nzima inakuwa KIJANI.
Na hata wale waliojaribu kukataa kuunga mkono waliona Cha mtema Kuni.
Hatimaye mwaka 2020 nchi ikawa kijani na wabunge 99% wakawa wa Chama kimoja!
Sasa wote tunaona Bei ya mafuta ikiwa 3200+
Na tunaambiwa BADO ITAPANDA HUO NI MWANZO TU!
kama Tungekuwa na upinzani imara Leo hii utopolo huu usingekuwepo!
Wangekuwa wapo watu wa kuwasemea Wananchi...
Lakini Sasa Kila mmoja anaunga mkono hoja.
Tutegemee msoto zaidi.
Yaani unategemea wabunge wa CCM waiwajibishe serikali ya CCM?Huna mantiki kwenye andiko lako,kwa sababu bunge la kijani sio chanzo cha kupandisha bei ya mafuta nchini.
Huko kote ilikopanda bei ya mafuta Duniani,hakuna bunge la chama kimoja.
Leo wabunge walisitisha shughuli rasmi za bunge.
Ili kujadili hoja binafsi ya dharula ya mbunge wa CCM.
Kuhusiana na ongezeko la bei ya mafuta isiyoendana na uhalisia wa maisha mtaani.
Serikali imepewa muda ili ikajipange na kuja na majibu sahihi siku ya Jumanne ya wiki ijayo.
Tunajua mko kijiweni ila tumieni muda huu kujifunza ubunge wa kisasa zaidi,badala ya ubunge wa matusi na kejeli mliokuwa mkiufanya.
Karibuni tena kwenye Boksi 2025,ili mjaribu bahati yenu.
Kwa sasa endeleeni na bunge la Club House na Maria Sarungi Spaces.
Suala ni kuwajibika kwa wabunge sio upimbi wangu.we pmbi unaongea nn naona unatetea utumbo wa mavi tatzo mikodi mingi ili muonekane mnakusanya kod kubwa ili hali watu wanateseka,
Kwahiyo Mbowe Ndio kasababisha mafuta yapande?Suala ni kuwajibika kwa wabunge sio upimbi wangu.
Chadema siku zote matusi mengi badala ya hoja.
Hata kama mngekuwa ndani ya bunge,hizo tozo bado zingekuwepo.
Sisi tunaangalia na kujibu mada iliyoletwa humu jukwaani sio matusi.
Nyinyi hao hao kupitia Mbowe wenu ndio mlimsifia mama yenu huku mkifurahia kifo cha Magufuli.
Hamkujua mama anaparura na kupuliza??
Na tunaendelea kumshangilia, ukitaka kuamini nenda jukwaani kwa mkutano wa hadhara then mtukane uone kitakachokupata taahi.ra wewe, bado atawatesa sana."Mheshimiwa Spika nakupongeza,wewe endelea kuwatimua huko ndani,wakitoka nje wataropoka tu,unajua huko ndani wana immunity fulani anaweza kuropoka lolote,nakuhakikishia wakiropoka huku nje nitadeal nao"
Alisikika Kiongozi mmoja aliyedhani yeye ana hatimiliki na nchi hii na wajinga wakamshangilia
Mbowe ni mmojawapo wa waliofurahia ujio wa Samia na kusherehekea kifo cha JPM.Kwahiyo Mbowe Ndio kasababisha mafuta yapande?
Ipande tu CCM wakione Cha moto, chadema hawana haja na maendeleo ya vitu.Tena inatakiwa ipande haswa iwe hata elfu 8 kwa lita
Hakika umenenaAwamu iliyopita ilifanya Kila mbinu, kushawishi, kutishia, kuhonga n.k kuhakikisha nchi nzima inakuwa KIJANI.
Na hata wale waliojaribu kukataa kuunga mkono waliona Cha mtema Kuni.
Hatimaye mwaka 2020 nchi ikawa kijani na wabunge 99% wakawa wa Chama kimoja!
Sasa wote tunaona Bei ya mafuta ikiwa 3200+
Na tunaambiwa BADO ITAPANDA HUO NI MWANZO TU!
kama Tungekuwa na upinzani imara Leo hii utopolo huu usingekuwepo!
Wangekuwa wapo watu wa kuwasemea Wananchi...
Lakini Sasa Kila mmoja anaunga mkono hoja.
Tutegemee msoto zaidi.
Chadema Wana visima vya mafuta?Awamu iliyopita ilifanya Kila mbinu, kushawishi, kutishia, kuhonga n.k kuhakikisha nchi nzima inakuwa KIJANI.
Na hata wale waliojaribu kukataa kuunga mkono waliona Cha mtema Kuni.
Hatimaye mwaka 2020 nchi ikawa kijani na wabunge 99% wakawa wa Chama kimoja!
Sasa wote tunaona Bei ya mafuta ikiwa 3200+
Na tunaambiwa BADO ITAPANDA HUO NI MWANZO TU!
kama Tungekuwa na upinzani imara Leo hii utopolo huu usingekuwepo!
Wangekuwa wapo watu wa kuwasemea Wananchi...
Lakini Sasa Kila mmoja anaunga mkono hoja.
Tutegemee msoto zaidi.