Mliokuwa mnafurahia wabunge wa Chama kimoja, Chadema ife, upinzani ufe ibaki CCM tu nadhani Sasa akili zimerudi

Mliokuwa mnafurahia wabunge wa Chama kimoja, Chadema ife, upinzani ufe ibaki CCM tu nadhani Sasa akili zimerudi

Mbowe ni mmojawapo wa waliofurahia ujio wa Samia na kusherehekea kifo cha JPM.
sasa wafuasi wake tulieni mumsikilize mwamba wa kaskazini,pamoja na walamba asali chini ya Rafiki yenu kinana wanavyotunyoosha.
Mh Mbowe anahusikaje na mikwamo ya CCM na Serikali yake?Mlipowapora kura wapinzani ili CCM ijaze Bunge mlishangilia,bebeni mzigo wenu wenyewe.
Ulitarajia Mh Mbowe au wapinzani wengine walioporwa kura wangesikitikia kifo cha mtesi wao.Samia naye haeleweki baada ya CCM kumharibu kwa kudumisha ya Magu na kuacha hoja za wananchi.
 
Huna mantiki kwenye andiko lako,kwa sababu bunge la kijani sio chanzo cha kupandisha bei ya mafuta nchini.

Huko kote ilikopanda bei ya mafuta Duniani,hakuna bunge la chama kimoja.

Leo wabunge walisitisha shughuli rasmi za bunge.
Ili kujadili hoja binafsi ya dharula ya mbunge wa CCM.

Kuhusiana na ongezeko la bei ya mafuta isiyoendana na uhalisia wa maisha mtaani.

Serikali imepewa muda ili ikajipange na kuja na majibu sahihi siku ya Jumanne ya wiki ijayo.

Tunajua mko kijiweni ila tumieni muda huu kujifunza ubunge wa kisasa zaidi,badala ya ubunge wa matusi na kejeli mliokuwa mkiufanya.

Karibuni tena kwenye Boksi 2025,ili mjaribu bahati yenu.

Kwa sasa endeleeni na bunge la Club House na Maria Sarungi Spaces.

voicer=speaker?
 
Mbowe ni mmojawapo wa waliofurahia ujio wa Samia na kusherehekea kifo cha JPM.
sasa wafuasi wake tulieni mumsikilize mwamba wa kaskazini,pamoja na walamba asali chini ya Rafiki yenu kinana wanavyotunyoosha.
una akili ndogo sana wewe. kuna uhusiano gani kati ya kuja kwa samia, kinana na kupanda bei ya mafuta? hivi huwa unasoma na kusikiliza hata vyombo vya habari vya nchi nyingine kweli wewe pimbi? yaani hujui hata kama gharama za maisha zinasababishwa na nini? ulisoma kweli wewe
 
Back
Top Bottom