Mliokuwa mnafurahia wabunge wa Chama kimoja, Chadema ife, upinzani ufe ibaki CCM tu nadhani Sasa akili zimerudi

Mliokuwa mnafurahia wabunge wa Chama kimoja, Chadema ife, upinzani ufe ibaki CCM tu nadhani Sasa akili zimerudi

Awamu iliyopita ilifanya Kila mbinu, kushawishi, kutishia, kuhonga n.k kuhakikisha nchi nzima inakuwa KIJANI.

Na hata wale waliojaribu kukataa kuunga mkono waliona Cha mtema Kuni.
Hatimaye mwaka 2020 nchi ikawa kijani na wabunge 99% wakawa wa Chama kimoja!

Sasa wote tunaona Bei ya mafuta ikiwa 3200+
Na tunaambiwa BADO ITAPANDA HUO NI MWANZO TU!

kama Tungekuwa na upinzani imara Leo hii utopolo huu usingekuwepo!
Wangekuwa wapo watu wa kuwasemea Wananchi...
Lakini Sasa Kila mmoja anaunga mkono hoja.

Tutegemee msoto zaidi.
Mbogamboga maisha yao yamekua magumu sana
IMG_20220505_184932.jpeg
 
Na bado!

Tuliwaonya kwamba mwamba ameshaelekea kibra toka siku ile ameenda kwa hangaya

Ni kweli, tena anatakiwa abaki huko huko kibla hilo hatujali,
 
Awamu iliyopita ilifanya Kila mbinu, kushawishi, kutishia, kuhonga n.k kuhakikisha nchi nzima inakuwa KIJANI.

Na hata wale waliojaribu kukataa kuunga mkono waliona Cha mtema Kuni.
Hatimaye mwaka 2020 nchi ikawa kijani na wabunge 99% wakawa wa Chama kimoja!

Sasa wote tunaona Bei ya mafuta ikiwa 3200+
Na tunaambiwa BADO ITAPANDA HUO NI MWANZO TU!

kama Tungekuwa na upinzani imara Leo hii utopolo huu usingekuwepo!
Wangekuwa wapo watu wa kuwasemea Wananchi...
Lakini Sasa Kila mmoja anaunga mkono hoja.

Tutegemee msoto zaidi.
Wapinzani walituchelewesha sana. Wakaamua kusambaza mapanga🤣🤣🤣
 
Suala ni kuwajibika kwa wabunge sio upimbi wangu.

Chadema siku zote matusi mengi badala ya hoja.

Hata kama mngekuwa ndani ya bunge,hizo tozo bado zingekuwepo.

Sisi tunaangalia na kujibu mada iliyoletwa humu jukwaani sio matusi.

Nyinyi hao hao kupitia Mbowe wenu ndio mlimsifia mama yenu huku mkifurahia kifo cha Magufuli.

Hamkujua mama anaparura na kupuliza??
Mnalalamika kila siku hamtaki kufata ushauri wa Mwigulu....Hamieni burundi
 
Awamu iliyopita ilifanya Kila mbinu, kushawishi, kutishia, kuhonga n.k kuhakikisha nchi nzima inakuwa KIJANI.

Na hata wale waliojaribu kukataa kuunga mkono waliona Cha mtema Kuni.
Hatimaye mwaka 2020 nchi ikawa kijani na wabunge 99% wakawa wa Chama kimoja!

Sasa wote tunaona Bei ya mafuta ikiwa 3200+
Na tunaambiwa BADO ITAPANDA HUO NI MWANZO TU!

kama Tungekuwa na upinzani imara Leo hii utopolo huu usingekuwepo!
Wangekuwa wapo watu wa kuwasemea Wananchi...
Lakini Sasa Kila mmoja anaunga mkono hoja.

Tutegemee msoto zaidi.
Kwa KODI hizi lazima Mafuta yapande Bidhaa Moja KODI 50
JamiiForums243344046.jpg


Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Hapa hekima ingetumika hali isingefika hapo ilipo.

Katika hali ya uwiano tozo zilizopo kwenye Mafuta zingetolewa ,ili kuikabili hii changamoto .

Anayeumia ni Mwananchi wa Kawaida, kila bidhaa mtaani imepanda bei, wakati kipato chake halisi hakikidhi mahitaji yake kwa siku.
 
Awamu iliyopita ilifanya Kila mbinu, kushawishi, kutishia, kuhonga n.k kuhakikisha nchi nzima inakuwa KIJANI.

Na hata wale waliojaribu kukataa kuunga mkono waliona Cha mtema Kuni.
Hatimaye mwaka 2020 nchi ikawa kijani na wabunge 99% wakawa wa Chama kimoja!

Sasa wote tunaona Bei ya mafuta ikiwa 3200+
Na tunaambiwa BADO ITAPANDA HUO NI MWANZO TU!

kama Tungekuwa na upinzani imara Leo hii utopolo huu usingekuwepo!
Wangekuwa wapo watu wa kuwasemea Wananchi...
Lakini Sasa Kila mmoja anaunga mkono hoja.

Tutegemee msoto zaidi.

Umeandika ujinga wa kiwango cha pre kindergarten. Hivi Siasa na ushabiki wa CHadema ndo kinawafanya watu kuwa wajinga hivi.
 
Huna mantiki kwenye andiko lako,kwa sababu bunge la kijani sio chanzo cha kupandisha bei ya mafuta nchini.

Huko kote ilikopanda bei ya mafuta Duniani,hakuna bunge la chama kimoja.

Leo wabunge walisitisha shughuli rasmi za bunge.
Ili kujadili hoja binafsi ya dharula ya mbunge wa CCM.

Kuhusiana na ongezeko la bei ya mafuta isiyoendana na uhalisia wa maisha mtaani.

Serikali imepewa muda ili ikajipange na kuja na majibu sahihi siku ya Jumanne ya wiki ijayo.

Tunajua mko kijiweni ila tumieni muda huu kujifunza ubunge wa kisasa zaidi,badala ya ubunge wa matusi na kejeli mliokuwa mkiufanya.

Karibuni tena kwenye Boksi 2025,ili mjaribu bahati yenu.

Kwa sasa endeleeni na bunge la Club House na Maria Sarungi Spaces.
Kumbe CCM ina wabunge!! Kwa hiyo hao wabunge wa CCM huwa wanaiwakilisha CCM wapi?
 
Awamu iliyopita ilifanya Kila mbinu, kushawishi, kutishia, kuhonga n.k kuhakikisha nchi nzima inakuwa KIJANI.

Na hata wale waliojaribu kukataa kuunga mkono waliona Cha mtema Kuni.
Hatimaye mwaka 2020 nchi ikawa kijani na wabunge 99% wakawa wa Chama kimoja!

Sasa wote tunaona Bei ya mafuta ikiwa 3200+
Na tunaambiwa BADO ITAPANDA HUO NI MWANZO TU!

kama Tungekuwa na upinzani imara Leo hii utopolo huu usingekuwepo!
Wangekuwa wapo watu wa kuwasemea Wananchi...
Lakini Sasa Kila mmoja anaunga mkono hoja.

Tutegemee msoto zaidi.
Nape , January , Riziwani na Kasimu Majaliwa walipita bila kupingwa
 
Na tunaendelea kumshangilia, ukitaka kuamini nenda jukwaani kwa mkutano wa hadhara then mtukane uone kitakachokupata taahi.ra wewe, bado atawatesa sana.
Amtese nani? Yaani maiti iliyojaa funza itese watu tulio na uhai? Alidhani madaraka ya dunia ni ya milele? Sasa nguvu yote Ile kuua upinzani kaishia kutangulia yeye kuzimu!!!
 
Na tunaendelea kumshangilia, ukitaka kuamini nenda jukwaani kwa mkutano wa hadhara then mtukane uone kitakachokupata taahi.ra wewe, bado atawatesa sana.
Nenda kachimbe shimo pembeni yake uzikwe nae
 
Hatari sana..., hii kauli ilifungulia njia ya kupambana na upinzani kwa gharama yoyote.

Kilichofuata ilikuwa maumivu makubwa kwa wana wa nchi, huku kosa lao kubwa likiwa kuwa na mawazo mbadala.

Mungu ni mwema
Tunamshukuru Mungu sana kutuondolea udhalimu ule
 
Mwenye shibe hamjui mwenye njaa.
Huna mantiki kwenye andiko lako,kwa sababu bunge la kijani sio chanzo cha kupandisha bei ya mafuta nchini.

Huko kote ilikopanda bei ya mafuta Duniani,hakuna bunge la chama kimoja.

Leo wabunge walisitisha shughuli rasmi za bunge.
Ili kujadili hoja binafsi ya dharula ya mbunge wa CCM.

Kuhusiana na ongezeko la bei ya mafuta isiyoendana na uhalisia wa maisha mtaani.

Serikali imepewa muda ili ikajipange na kuja na majibu sahihi siku ya Jumanne ya wiki ijayo.

Tunajua mko kijiweni ila tumieni muda huu kujifunza ubunge wa kisasa zaidi,badala ya ubunge wa matusi na kejeli mliokuwa mkiufanya.

Karibuni tena kwenye Boksi 2025,ili mjaribu bahati yenu.

Kwa sasa endeleeni na bunge la Club House na Maria Sarungi Spaces.
 
Awamu iliyopita ilifanya Kila mbinu, kushawishi, kutishia, kuhonga n.k kuhakikisha nchi nzima inakuwa KIJANI.

Na hata wale waliojaribu kukataa kuunga mkono waliona Cha mtema Kuni.
Hatimaye mwaka 2020 nchi ikawa kijani na wabunge 99% wakawa wa Chama kimoja!

Sasa wote tunaona Bei ya mafuta ikiwa 3200+
Na tunaambiwa BADO ITAPANDA HUO NI MWANZO TU!

kama Tungekuwa na upinzani imara Leo hii utopolo huu usingekuwepo!
Wangekuwa wapo watu wa kuwasemea Wananchi...
Lakini Sasa Kila mmoja anaunga mkono hoja.

Tutegemee msoto zaidi.
CCM huwa wanawatetea watawala na siyo wananchi.Watetezi wa wananchi kwenye macho ya CCM ni wapinzani na wanapigwa vita Bungeni kila wakijenga hoja na huku mitaani.
Sasa hivi vijana wameanza kama panya road na mara paap watakuwa makundi ya kigaidi vyuma vikikaza zaidi.Serikali inaonekana ikiwa ya kifahari(Tazama misafara ya watawala,aina ya vyombo vya usafiri wao na malipo/mafao yao) ila wananchi hawana matumaini.Wanaongezewa tozo,nauli zimepanda na hakuna maboresho ya kipato cha wajenga nchi-watumishi huku kukiwa hakuna ajira rasmi.
 
Back
Top Bottom