tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Mbogamboga maisha yao yamekua magumu sanaAwamu iliyopita ilifanya Kila mbinu, kushawishi, kutishia, kuhonga n.k kuhakikisha nchi nzima inakuwa KIJANI.
Na hata wale waliojaribu kukataa kuunga mkono waliona Cha mtema Kuni.
Hatimaye mwaka 2020 nchi ikawa kijani na wabunge 99% wakawa wa Chama kimoja!
Sasa wote tunaona Bei ya mafuta ikiwa 3200+
Na tunaambiwa BADO ITAPANDA HUO NI MWANZO TU!
kama Tungekuwa na upinzani imara Leo hii utopolo huu usingekuwepo!
Wangekuwa wapo watu wa kuwasemea Wananchi...
Lakini Sasa Kila mmoja anaunga mkono hoja.
Tutegemee msoto zaidi.
Na bado!
Tuliwaonya kwamba mwamba ameshaelekea kibra toka siku ile ameenda kwa hangaya
Wapinzani walituchelewesha sana. Wakaamua kusambaza mapanga🤣🤣🤣Awamu iliyopita ilifanya Kila mbinu, kushawishi, kutishia, kuhonga n.k kuhakikisha nchi nzima inakuwa KIJANI.
Na hata wale waliojaribu kukataa kuunga mkono waliona Cha mtema Kuni.
Hatimaye mwaka 2020 nchi ikawa kijani na wabunge 99% wakawa wa Chama kimoja!
Sasa wote tunaona Bei ya mafuta ikiwa 3200+
Na tunaambiwa BADO ITAPANDA HUO NI MWANZO TU!
kama Tungekuwa na upinzani imara Leo hii utopolo huu usingekuwepo!
Wangekuwa wapo watu wa kuwasemea Wananchi...
Lakini Sasa Kila mmoja anaunga mkono hoja.
Tutegemee msoto zaidi.
Mnalalamika kila siku hamtaki kufata ushauri wa Mwigulu....Hamieni burundiSuala ni kuwajibika kwa wabunge sio upimbi wangu.
Chadema siku zote matusi mengi badala ya hoja.
Hata kama mngekuwa ndani ya bunge,hizo tozo bado zingekuwepo.
Sisi tunaangalia na kujibu mada iliyoletwa humu jukwaani sio matusi.
Nyinyi hao hao kupitia Mbowe wenu ndio mlimsifia mama yenu huku mkifurahia kifo cha Magufuli.
Hamkujua mama anaparura na kupuliza??
Kwa KODI hizi lazima Mafuta yapande Bidhaa Moja KODI 50Awamu iliyopita ilifanya Kila mbinu, kushawishi, kutishia, kuhonga n.k kuhakikisha nchi nzima inakuwa KIJANI.
Na hata wale waliojaribu kukataa kuunga mkono waliona Cha mtema Kuni.
Hatimaye mwaka 2020 nchi ikawa kijani na wabunge 99% wakawa wa Chama kimoja!
Sasa wote tunaona Bei ya mafuta ikiwa 3200+
Na tunaambiwa BADO ITAPANDA HUO NI MWANZO TU!
kama Tungekuwa na upinzani imara Leo hii utopolo huu usingekuwepo!
Wangekuwa wapo watu wa kuwasemea Wananchi...
Lakini Sasa Kila mmoja anaunga mkono hoja.
Tutegemee msoto zaidi.
Chama kina MIAKA 60 kinaogopa KATIBA MPYA ?AIBUHivi Mbowe na genge lake wameshamaliza kuandika katiba mpya?
Libanga na libumuHizi ni mvua za Vuli MASIKA INAKUYA...Mbula ya MABANGA....
Awamu iliyopita ilifanya Kila mbinu, kushawishi, kutishia, kuhonga n.k kuhakikisha nchi nzima inakuwa KIJANI.
Na hata wale waliojaribu kukataa kuunga mkono waliona Cha mtema Kuni.
Hatimaye mwaka 2020 nchi ikawa kijani na wabunge 99% wakawa wa Chama kimoja!
Sasa wote tunaona Bei ya mafuta ikiwa 3200+
Na tunaambiwa BADO ITAPANDA HUO NI MWANZO TU!
kama Tungekuwa na upinzani imara Leo hii utopolo huu usingekuwepo!
Wangekuwa wapo watu wa kuwasemea Wananchi...
Lakini Sasa Kila mmoja anaunga mkono hoja.
Tutegemee msoto zaidi.
Kumbe CCM ina wabunge!! Kwa hiyo hao wabunge wa CCM huwa wanaiwakilisha CCM wapi?Huna mantiki kwenye andiko lako,kwa sababu bunge la kijani sio chanzo cha kupandisha bei ya mafuta nchini.
Huko kote ilikopanda bei ya mafuta Duniani,hakuna bunge la chama kimoja.
Leo wabunge walisitisha shughuli rasmi za bunge.
Ili kujadili hoja binafsi ya dharula ya mbunge wa CCM.
Kuhusiana na ongezeko la bei ya mafuta isiyoendana na uhalisia wa maisha mtaani.
Serikali imepewa muda ili ikajipange na kuja na majibu sahihi siku ya Jumanne ya wiki ijayo.
Tunajua mko kijiweni ila tumieni muda huu kujifunza ubunge wa kisasa zaidi,badala ya ubunge wa matusi na kejeli mliokuwa mkiufanya.
Karibuni tena kwenye Boksi 2025,ili mjaribu bahati yenu.
Kwa sasa endeleeni na bunge la Club House na Maria Sarungi Spaces.
Nape , January , Riziwani na Kasimu Majaliwa walipita bila kupingwaAwamu iliyopita ilifanya Kila mbinu, kushawishi, kutishia, kuhonga n.k kuhakikisha nchi nzima inakuwa KIJANI.
Na hata wale waliojaribu kukataa kuunga mkono waliona Cha mtema Kuni.
Hatimaye mwaka 2020 nchi ikawa kijani na wabunge 99% wakawa wa Chama kimoja!
Sasa wote tunaona Bei ya mafuta ikiwa 3200+
Na tunaambiwa BADO ITAPANDA HUO NI MWANZO TU!
kama Tungekuwa na upinzani imara Leo hii utopolo huu usingekuwepo!
Wangekuwa wapo watu wa kuwasemea Wananchi...
Lakini Sasa Kila mmoja anaunga mkono hoja.
Tutegemee msoto zaidi.
Tuna Bunge la Kizalendo kuwahi kutokea.
Amtese nani? Yaani maiti iliyojaa funza itese watu tulio na uhai? Alidhani madaraka ya dunia ni ya milele? Sasa nguvu yote Ile kuua upinzani kaishia kutangulia yeye kuzimu!!!Na tunaendelea kumshangilia, ukitaka kuamini nenda jukwaani kwa mkutano wa hadhara then mtukane uone kitakachokupata taahi.ra wewe, bado atawatesa sana.
DuuHivi Mbowe na genge lake wameshamaliza kuandika katiba mpya?
[emoji38][emoji38][emoji38]Amtese nani? Yaani maiti iliyojaa funza itese watu tulio na uhai? Alidhani madaraka ya dunia ni ya milele? Sasa nguvu yote Ile kuua upinzani kaishia kutangulia yeye kuzimu!!!
Nenda kachimbe shimo pembeni yake uzikwe naeNa tunaendelea kumshangilia, ukitaka kuamini nenda jukwaani kwa mkutano wa hadhara then mtukane uone kitakachokupata taahi.ra wewe, bado atawatesa sana.
Tunamshukuru Mungu sana kutuondolea udhalimu uleHatari sana..., hii kauli ilifungulia njia ya kupambana na upinzani kwa gharama yoyote.
Kilichofuata ilikuwa maumivu makubwa kwa wana wa nchi, huku kosa lao kubwa likiwa kuwa na mawazo mbadala.
Mungu ni mwema
Huna mantiki kwenye andiko lako,kwa sababu bunge la kijani sio chanzo cha kupandisha bei ya mafuta nchini.
Huko kote ilikopanda bei ya mafuta Duniani,hakuna bunge la chama kimoja.
Leo wabunge walisitisha shughuli rasmi za bunge.
Ili kujadili hoja binafsi ya dharula ya mbunge wa CCM.
Kuhusiana na ongezeko la bei ya mafuta isiyoendana na uhalisia wa maisha mtaani.
Serikali imepewa muda ili ikajipange na kuja na majibu sahihi siku ya Jumanne ya wiki ijayo.
Tunajua mko kijiweni ila tumieni muda huu kujifunza ubunge wa kisasa zaidi,badala ya ubunge wa matusi na kejeli mliokuwa mkiufanya.
Karibuni tena kwenye Boksi 2025,ili mjaribu bahati yenu.
Kwa sasa endeleeni na bunge la Club House na Maria Sarungi Spaces.
CCM huwa wanawatetea watawala na siyo wananchi.Watetezi wa wananchi kwenye macho ya CCM ni wapinzani na wanapigwa vita Bungeni kila wakijenga hoja na huku mitaani.Awamu iliyopita ilifanya Kila mbinu, kushawishi, kutishia, kuhonga n.k kuhakikisha nchi nzima inakuwa KIJANI.
Na hata wale waliojaribu kukataa kuunga mkono waliona Cha mtema Kuni.
Hatimaye mwaka 2020 nchi ikawa kijani na wabunge 99% wakawa wa Chama kimoja!
Sasa wote tunaona Bei ya mafuta ikiwa 3200+
Na tunaambiwa BADO ITAPANDA HUO NI MWANZO TU!
kama Tungekuwa na upinzani imara Leo hii utopolo huu usingekuwepo!
Wangekuwa wapo watu wa kuwasemea Wananchi...
Lakini Sasa Kila mmoja anaunga mkono hoja.
Tutegemee msoto zaidi.