Mliokuwepo wakati 'bana ba cameroon' inatoka naomba uzoefu wenu!

Mliokuwepo wakati 'bana ba cameroon' inatoka naomba uzoefu wenu!

Ila nyimbo ya Sam Mangwana ambayo nasikiliza tanguy utoto ni Kabibi. Hii nyimbo niliikariri kabisa. Mpaka leo hii ninayo na jana tu nimetoka kuisikiliza. Big up to Mangwana.

Kabibi ikipigwa narudi nyuma sana kimawazo.

Kweli duniani tumekuja ili tupite[emoji29]
Miaka inakimbia kama upepo.
 
Huyu jamaa anazungumza kiswahili,lingala,french nadhani na kereno, ndio maana akawa na uwezo wa kuimba hata hiyo kabibi,pure talent
Pia Sam Mangwana anaongea vizuri sana Kijerumani na Kiingereza. Ana kipaji cha ajabu sana. Sam Mangwana azali malamu mingi, lisusu ndeko nangai.
 
Ila huo wimbo Ni wa kitambo Sana kwa kweli,niliusikiaga nikiwa mdogo sana
 
Back
Top Bottom