Mlionunua Magari kwa kuagiza kutoka Japan tafadhali njooni hapa

Mlionunua Magari kwa kuagiza kutoka Japan tafadhali njooni hapa

Kodi ya gari hazihitaji makadirio. Unajua kabla hujaagiza gari ukishapaya documents unaweza lipa hata kwa simu sio lazima uweke kwenye acc yao
Yes, ukilipa kodi haraka unapunguza siku za kukaa. Kama umechagua beforward kama C&F agent documents wanatuma kwa ofisi yao dsm. Wakishakadiria kodi wanakutumia info, unaweka pesa kwenye account yao, wao ndio wanalipa TRA. It is so easy that way

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Je umeagiza gari nje ya nchi na unahitaji Huduma ya clearance ya gari lako? Na unawaza Agent gani atakutolea bandarini Dar es salaam kwa bei nafuu na haraka? Basi angalia bei zangu za baadhi ya magari (Local) ya *TOYOTA* km ifuatavyo.. na km aina ya gari lako haipo apa usisite kuniuliza.
1: IST - 750,000/=
2: HARRIER New-900,000
3: HARRIER Old-800,000/
4: RAV 4 - 800,000/=
5: RAUM - 750,000/=
6: SPACIO - 750,000/=
7: PASSO - 750,000/=
8: VITZ - 700,000/=
9: PREMIO - 750,000/=
10: ALTEZA - 750,000/=
11: SUBARU - 750,000/=
12: CARINA - 750,000/=
13:COASTER-1,760,000/=
14: CANTER- 1,300,000/=
----------------------------------------
Gharama hizi zinahusisha malipo ya
1: Port Charges
2: Shipping Line
3: Walfage
4: Agent Fee
5: Plate no + Registration
----------------------------------------
DM/Piga 0653953900
Company: DN holdings
Location: Nkurumah st
Dar es salaam, Tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unahusisha vipi Registration wakati registration nalipa kwenye kodi ya gari?
Je umeagiza gari nje ya nchi na unahitaji Huduma ya clearance ya gari lako? Na unawaza Agent gani atakutolea bandarini Dar es salaam kwa bei nafuu na haraka? Basi angalia bei zangu za baadhi ya magari (Local) ya *TOYOTA* km ifuatavyo.. na km aina ya gari lako haipo apa usisite kuniuliza.
1: IST - 750,000/=
2: HARRIER New-900,000
3: HARRIER Old-800,000/
4: RAV 4 - 800,000/=
5: RAUM - 750,000/=
6: SPACIO - 750,000/=
7: PASSO - 750,000/=
8: VITZ - 700,000/=
9: PREMIO - 750,000/=
10: ALTEZA - 750,000/=
11: SUBARU - 750,000/=
12: CARINA - 750,000/=
13:COASTER-1,760,000/=
14: CANTER- 1,300,000/=
----------------------------------------
Gharama hizi zinahusisha malipo ya
1: Port Charges
2: Shipping Line
3: Walfage
4: Agent Fee
5: Plate no + Registration
----------------------------------------
DM/Piga 0653953900
Company: DN holdings
Location: Nkurumah st
Dar es salaam, Tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unahusisha vipi Registration wakati registration nalipa kwenye kodi ya gari?

Sent using Jamii Forums mobile app
IMG_20200121_174058.JPG

Unazungumzia hii sio
 
Back
Top Bottom