Mliooa au kuolewa na Wanyarwanda tupeni experience


Sawasawa mkuu
 
Kuna kipindi nilikuwa na mishe kigari alinitongoza demu ambaye sikumzania ila wanakuwaga maaskari anakutunuku mzigo ila anakuchunguza umekuja kufanya nini

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Yes. Kwenye sekta ya ushushushu tu hawajambo. Hata hapa kwetu wengi mashushushu. Anyways, they are working hard for theie country. Sisi timeifanyoa nini nchi yetu.
 
Ni wazuri sana usoni lakini wachafu sana i hate them sishauri mtu akaoe huko wabinafsi sana
Lete Maneno Mkuu
Nipo Hapa Jirani
Vodacom Tanzania welcomes you to Rwanda. You can receive /call/SMS/browse. To Disable roaming, Dial*149*01# Roaming choose Enable or Disable roaming.
 
Mkuu hebu nipe taarifa zaidi maana natafute mke pengine nitaenda huko yaani are you joking or what? you mean their you know what when doing you know what releases huge amount of that liquid??? mkuu nielimise pls, natanguliza shukrani
Nashukuru nmecheka
 
Wale wenyewe kabisa yaaan ambao hawajaathirika na madereva wa michomoko ya Nyaishozi.
Hawa Madereva Wa Omorushaka Washenz* Mno Wanawapiga Mno Barabarani Nako Wanakimbia Hovyo
 
Ila Huku Kyerwa Nawaona Changamoto Ni Mpaka Uwe Na Mwenyeji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…