Mungu huonyesha njia pasipo na njia.. Jiulize dei waka wa 7000/5000 per day wanamudu vipi!
Bila kusahau cheap labour ambao hulipwa 150k huko viwandani kama take home.
Baada ya makato na kubakia 300,000 una mke na watoto, unawezaje kumudu familia kwa huo mshahara?
Tupeane uzoefu.
Mchawi wewe so buree....Take home yangu ni 229,000/ but Nina nyumba japo ya kawaida tu,mke na watoto wanakula na nyumbani kwa wazazi natoa huduma,hii kitu ni mipango tu mkuu,huwezi amini huwa nasevu na akaunti yangu haipungui million kwa tahadhari
Duh...!Yani laki 3 unaiona ndogo? Acha kujimwambafai mkuu!
Ni mwendo Wa vikoba tu...
Shida tupuuhh...
Kabla ya kukujibu, jibu kwanza hili, kupokea huo mshahara unakuwa kwenye nyumba ya kupanga? nyumba hiyo iko Kariakoo au Tegeta au Goba au wapi jibu kwanza ndio utapata ufafanuzi nafahamu kwa mjini nyumba tu yenyewe ya kupanga vyumba viwili na sebule itakupa taabu sana maana una watotoBaada ya makato na kubakia 300,000 una mke na watoto, unawezaje kumudu familia kwa huo mshahara?
Tupeane uzoefu.
Kodi ya nyumba Tsh 70000 umeme 15000Baada ya makato na kubakia 300,000 una mke na watoto, unawezaje kumudu familia kwa huo mshahara?
Tupeane uzoefu.
ndio maana nikaulizaYaani 10000 kwa siku kwa familia
Yaani familia ile chai,lunch na dinner,
Watoto waende shule,
Mahitaji madogo madogo yatimie
Kiuhalisia haitoshi kabisa
Bado wewe mtafutaji unatoka asunuhi unatudi jioni maana yake lazima ule n utumie usafiri
Usimfanye mwamba akajiona anafuja pesa haitoshi laki tatu ila kwa kujibana kwa nguvu sawa inatosha
wa bukoba huyuYani mimi tu peke yangu bila family haitoshi kabisa,
Labda nipige dash asubuhi na mchana.
Hiyo 10,000 ni kama nauli na vocha tu.
Ila life liko tofauti sana aisee,kuna watu wanajua ku budget hiyo mtu hadi anasave kabisa.
wengi wanachukulia utaniUwe na mwanamke anayefanya kazi na yeye labda ndo iyo pesa ndo itatosha vijana wengi waliochangia uzi huu inaonekana wapo kwa wazazi hiyo pesa haitoshi kabisa hiyo ni hela ya kodi,na bili za maji na umeme chenji inayobakia ni nauli tu na vocha