1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
Anapiga mikeka labdaNina Dogo ofisini anapata take home 200000,, kila siku Ana kunywa supu ya kuku asbh,mchana chakula cha 3000 na maji , ingawa hana family ila sielewagi,,
"Uwe na matumizi chini ya kipato chako, na uwe na mahitaji ndani ya kipato chako"Baada ya makato na kubakia 300,000 una mke na watoto, unawezaje kumudu familia kwa huo mshahara?
Tupeane uzoefu.
Kodi anatoa wapi mkuu? Hela ya dharura mtomto kuumwa?Nimeona watu wanasema tu inatosha inatosha bila kutoa mchanganua wa hiyo laki 3 utaitumia vipi?
-Mtoa mada amesema una mke na watoto utawezaje kuibalance hiyo laki 3 na kutosha kabisa?
-Mie natoa direction mpeni mchanganua wa kutumia hiyo laki 3 eg
-Apange vyumba vya Tsh ngapi?
-Mchana ale asubuhi na mchana ale nini akiwa kazini? Nauli?
-Kodi ya meza aache Tsh ngapi na wawe wanaitumia vipi kwa mlo wa asubuhi,mchana(mkewe) na Usiku(famillia)
-Watoto wanasoma chai asubuhi na hela ya kununua mihogo,aisikilimu akiwa shuleni(mtoto hawezi kukaa na njaa mpaka saa tisa ndio aje kula nyumbani)
-Matumizi ya umeme,maji,sabuni(kufua ,kuogea).
Mchanganuo wangu:-
-Awe ananua vitu kwa jumla eg kiroba cha unga cha kilo 5(7,500/=),Mchele kilo 10 wa 1800(18,000),Nyanya kisado (5000),Vitunguu kisado(elfu 6),Mafuta ya taa(elfu 20),mafuta ya kupikia(lita 5 elfu 15),Kiroba cha mkaa(kilo 25 , Tsh 15000)
Hapo Jumla ni 80,000/=
-Baada ya hapo awe anaacha elfu 4 tu ya mboga kila siku kwa Mwezi jumla ni 120,000/=
-Na yeye bajeti yake kwa mwezi awe anatumia elfu 3 kwa siku ,chai atumie za kwenye dispensa ofisini awe ananunua tu chapati mbili za 500 au 600 na mchana msosi wa buku jero na nauli 800 kwahiyo bajeti yake itakuwa elfu 60,000/= kwa mwezi(20 working days)
-Hiyo 40 iwe ni gharama za umeme na maji na vitu vigogo vidogo.
Hicho ndo kinachokuokoa cha mke kujishughulishaMimi take home yangu ni 510 baada ya makato 230 ni savings na inayosalia ni bajeti yangu na familia mwezi mzima inatoboa na pesa kiduchu ya kusaidia ndugu inapatikana na michepuko juu ila wife ana ka genge njaa hapendi kukaa iddle kanasaudia mboga sabuni bills ndogo ndogo na maisha yanasonga ko hiyo pesa inatosha sana tuu
Hakuna cha kuniokoa hapo mke akiwa ananyonyesha anakutegemea mda wote swala hapa ni kujitune kuendana na bit ya maisha,genge lenyewe hata 60,000 haifiki kwa mwezi ndo utasema inaitegemea? Afu kumbuka pesa ya mke huwa ni yake sema sie wengine wake zetu sio wa kupenda kujiremba saana wanaridhika na maisha ya kiasi na mimi binafsi sitaki mwanamke wa kuegesha makalio tuu home lazima atafute hata mia na pia bajeti za urembo huwa sinaga hizo anakomaa mwenyeweHicho ndo kinachokuokoa cha mke kujishughulisha
Hela nyingi sana hiyo!Baada ya makato na kubakia 300,000 una mke na watoto, unawezaje kumudu familia kwa huo mshahara?
Tupeane uzoefu.
Hahahaha... kweli kabisa inategemea ntu na ntu.Woooote mmejibu vizuri kulingana na experience ya maisha yenu..... Ivyo mjipongeze, niliowpa like pia hongereni[emoji3526]
Na sidhani kama watu wanajua kuwa yule anayelipwa kwa basic ya laki 3 ni kwamba kapigiwa hesabu ya chakula tu ndani ya mwezi tena chakula cha mtu mmoja.Point..na watu naona wanajfariji kweli kweli!
Na sidhani kama watu wanajua kuwa yule anayelipwa kwa basic ya laki 3 ni kwamba kapigiwa hesabu ya chakula tu ndani ya mwezi tena chakula cha mtu mmoja.
Huwa naachiwa elfu hamsini kwa ajili ya chakula nakaa nayo week 2 inatosha na inabaki.hii inaitwa home economics na ni mwanamke mwerevu peke ake anawezaBaada ya makato na kubakia 300,000 una mke na watoto, unawezaje kumudu familia kwa huo mshahara?
Tupeane uzoefu.
Polemimi nina take home 1.1m but bado naona maisha magumu hao wa 3 ata sielew asee
PoleMe 2.5m mkuu lakini bado hali tata...
Hiyo chai ya 3000 ni chai ya aina ganiHata sio ku-fake mzee,
Tu-assume una mke na mtoto mmoja
Chai tu kwa nyumbani kwa hiyo familia watatumia 3000 kima cha chini kabisa,
Wewe pia chai huko kazini kwako assumption 1000 au 1500
Haya mchana familia inakula kiasi gani na wewe unakula nini?
Usiku vipi?
Hapo hujaweka usafiri hata kama ni wa daladala
Hujaweka vocha
Bado hujanywa maji
Mzeee hiyo pesa mjini mtihani