Mliopanga kuipa Taifa Stars 1.2 Bilion kwa mchezo wa leo hata wakifungwa wapeni Milioni 600 kama kifuta jasho please

Mliopanga kuipa Taifa Stars 1.2 Bilion kwa mchezo wa leo hata wakifungwa wapeni Milioni 600 kama kifuta jasho please

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Leo kila Mtanzania anafaraja kwamba baada ya kujitafuta sana leo tumejipata. Siyo kwamba hatuna team ila team inayopelekwa mbele inakosewa.

Kikosi cha leo kuna watu waliwaambia kuna 1.2 bilioni, natambua walisema hivyo hawakumaanisha ila tuwashinikize watekeleze.

Kama waliweza kuahidi fedha zote hizo endapo tutashindwa kufuzu basi wachukue 50% wawape vijana. Wasipofanya hivyo ntaomba wale watu wa maandamano wakusanye fedha watulize machungu ya vijana wamefanya vizuri

Mimi nipo Kenya, Wakenya leo wamekubali hatukwenda kuchezewa tumekwenda kucheza. Kama mkenya amekubali kwanini tusiwasaidie watoto wetu hawa wapate japo nyumba au walipe ada za wadogo zao?
 
Leo kila Mtanzania anafaraja kwamba baada ya kujitafuta sana leo tumejipata. Siyo kwamba hatuna team ila team inayopelekwa mbele inakosewa.

Kikosi cha leo kuna watu waliwaambia kuna 1.2 bilioni, natambua walisema hivyo hawakumaanisha ila tuwashinikize watekeleze.

Kama waliweza kuahidi fedha zote hizo endapo tutashindwa kufuzu basi wachukue 50% wawape vijana. Wasipofanya hivyo ntaomba wale watu wa maandamano wakusanye fedha watulize machungu ya vijana wamefanya vizuri

Mimi nipo Kenya, Wakenya leo wamekubali hatukwenda kuchezewa tumekwenda kucheza. Kama mkenya amekubali kwanini tusiwasaidie watoto wetu hawa wapate japo nyumba au walipe ada za wadogo zao?
Mbona mwandiko ka wa Pdidy huu maana sijaelewa hata ulichoandika.

Huko wengine wanaogopa kurudi makwao tena wana point 3 na magoli ya kutosha, sisi ndiyo kwanza tunataka kuwamwagia mihelaaa hawa wahanga wetu
 
Yani timu ni ya mwisho kwenye kundi halafu ipewe milioni mia SITA? Be serious.
 
Leo kila Mtanzania anafaraja kwamba baada ya kujitafuta sana leo tumejipata. Siyo kwamba hatuna team ila team inayopelekwa mbele inakosewa.

Kikosi cha leo kuna watu waliwaambia kuna 1.2 bilioni, natambua walisema hivyo hawakumaanisha ila tuwashinikize watekeleze.

Kama waliweza kuahidi fedha zote hizo endapo tutashindwa kufuzu basi wachukue 50% wawape vijana. Wasipofanya hivyo ntaomba wale watu wa maandamano wakusanye fedha watulize machungu ya vijana wamefanya vizuri

Mimi nipo Kenya, Wakenya leo wamekubali hatukwenda kuchezewa tumekwenda kucheza. Kama mkenya amekubali kwanini tusiwasaidie watoto wetu hawa wapate japo nyumba au walipe ada za wadogo zao?
Tuna shida chungunzima huko.....hizo pesa ziende miradi maji na afya tafadhali sanaaa
 
Dk 90 kichwa cha mwendazake hakina hata shot on target moja halafu wapewe 600M kizembe...hivi ulishawahi kuiona 600M kwa macho yako ya nyama huwa inafanana vp mkuu?
 
Wenyewe wanaona jana ndio wamecheza mpira dah
Ukishaona uongozi wa timu yoyote ile ina weka motisha ya bilion one day before a game kaa ukijua hao hawanaga mawazo ya development kwenye akili zao. Wanafegemea miuniza na sala kwa mungu ambazo kamwe hazipo kati football.
Bonuses shuold be discussed kabla tournament haijaanza sio wakati tournament inaendelea.
 
Ukishaona uongozi wa timu yoyote ile ina weka motisha ya bilion one day before a game kaa ukijua hao hawanaga mawazo ya development kwenye akili zao. Wanafegemea miuniza na sala kwa mungu ambazo kamwe hazipo kati football.
Bonuses shuold be discussed kabla tournament haijaanza sio wakati tournament inaendelea.
Sasa km SA kabla ya kuondoka kwao wakaa na wachezaji na benchi la ufundi na kukubaliana zawadi na feza watakazopata huko AFCON zote ni za wachezaji na benchi lao..ila chini ya hapo hawapati kitu
 
Sasa km SA kabla ya kuondoka kwao wakaa na wachezaji na benchi la ufundi na kukubaliana zawadi na feza watakazopata huko AFCON zote ni za wachezaji na benchi lao..ila chini ya hapo hawapati kitu
Mimi nafikiri TFF ingepewa Eng: hersi na tungepata mtu kama babra yule mwanamama alikuwa simba aseeee tungefika mbali sana.

Eng; hersi anaweza kufanya mapinduzi
 
Hapana!
Wapewe Posho zao za kutumikia taifa kama wanavyostahili. Hiyo 1.2B ipelekwe kuendeleleza Football Academy zilizopo.
Tuangalie mbele ndugu zangu.
 
Sasa km SA kabla ya kuondoka kwao wakaa na wachezaji na benchi la ufundi na kukubaliana zawadi na feza watakazopata huko AFCON zote ni za wachezaji na benchi lao..ila chini ya hapo hawapati kitu
Ndio ina yotakiwa. Haya mambo ya kudischss hela last minute inaonyesha kabisa akili zenu hazipo kwenye game husika. Hii ni tournament unajua well in advance prize money ya kila stage so unajipanga mapema.

Sie ilitakiwa kwamba vijana ehh, stars haiwajawahi shinda game yoyote afcon. So 1.3 billion if u win atleast one match. Hiyo mnakubaliana kabla ya tournament kuanza. So kila mtu anajua na fikra zinakuwa kwenye boli
 
Hapana!
Wapewe Posho zao za kutumikia taifa kama wanavyostahili. Hiyo 1.2B ipelekwe kuendeleleza Football Academy zilizopo.
Tuangalie mbele ndugu zangu.
Sie hatuko serious na boli bwana....wacha tuendelee kuwa wapenzi watazamaji.
 
Yani watanzania bwana kutofungana ndio wamecheza mpira mzuri???????
 
Back
Top Bottom