Mgosi Mbena
JF-Expert Member
- Nov 28, 2023
- 499
- 604
Hapa kazini nimekutana na binti Wa kisabato.Nimekua nae karibu sana na ananiheshimu sana kikazi lakin pia kimahusiano ya kawaida.
Ni binti mwenye maadili ya hali ya juu, kutokana na mazoea nikaamua nimchimbe alikujaje kua msabato kwan nilijua amezaliwa kwene familia ya kisabato haswaa.
Cha kushangaza kaniambia kwao hata si wasabato ni yeye tu kwene familia yake. Mama ake ni muislam na baba ake ni mkatoliki. Hivo yeye katika kukua alikulia kwene makuzi ya dini hizo lakini alipokuja kujitambua katika uchambuzi wa neno la mungu akaja kuona usabato ndio unaomfaa na unaendana na kile anachoamini ndani.
nimeshangaa pia ni mifano nadra sana.
Je, nyie mlioweza kukataa kurithi dini na kufuata utashi wenu katika dini mnawezaje ? maana huu ujasiri ni nadra kuukuta sehemu
Ni binti mwenye maadili ya hali ya juu, kutokana na mazoea nikaamua nimchimbe alikujaje kua msabato kwan nilijua amezaliwa kwene familia ya kisabato haswaa.
Cha kushangaza kaniambia kwao hata si wasabato ni yeye tu kwene familia yake. Mama ake ni muislam na baba ake ni mkatoliki. Hivo yeye katika kukua alikulia kwene makuzi ya dini hizo lakini alipokuja kujitambua katika uchambuzi wa neno la mungu akaja kuona usabato ndio unaomfaa na unaendana na kile anachoamini ndani.
nimeshangaa pia ni mifano nadra sana.
Je, nyie mlioweza kukataa kurithi dini na kufuata utashi wenu katika dini mnawezaje ? maana huu ujasiri ni nadra kuukuta sehemu