Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Allipokua na utimamu wa kuamua kuchagua imani aliamua kuwa msabato.
Mimi pia nilidiverge asee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Allipokua na utimamu wa kuamua kuchagua imani aliamua kuwa msabato.
Mimi ni mmoja wapo mkuu,baba yangu na mama yangu ni warutheli,kwa Sasa ni Msabato.Hapa kazini nimekutana na binti Wa kisabato.Nimekua nae karibu sana na ananiheshimu sana kikazi lakin pia kimahusiano ya kawaida.
Ni binti mwenye maadili ya hali ya juu, kutokana na mazoea nikaamua nimchimbe alikujaje kua msabato kwan nilijua amezaliwa kwene familia ya kisabato haswaa.
Cha kushangaza kaniambia kwao hata si wasabato ni yeye tu kwene familia yake.
Mama ake ni muislam na baba ake ni mkatoliki.Hivo yeye katika kukua alikulia kwene makuzi ya dini hizo lakini alipokuja kujitambua katika uchambuzi wa neno la mungu akaja kuona usabato ndio unaomfaa na unaendana na kile anachoamini ndani.
nimeshangaa pia ni mifano nadra sana.
Je Nyie mlioweza kukataa kurithi dini na kufuata utashi wenu katika dini mnawezaje ? maana huu ujasiri ni nadra kuukuta sehemu
Ulizaliwa Simba, ukajikuta upo Yanga...Allipokua na utimamu wa kuamua kuchagua imani aliamua kuwa msabato.
Mimi pia nilidiverge asee
Aah Mzee wa China!Mimi kwetu waislam lakini tangu nijue uislam kwa undani niliona hauendani namm vile navoamini.
Nimeamua niwaachie uislam wao saizi nimebaki ally wa jina
😁😁😁!Ulizaliwa Simba, ukajikuta upo Yanga...
Mi naamini katika falsafa ya chinaAah Mzee wa China!
We sasa una attachment ungekua kwa dini ungekua mfia dini😁😁😁!
Hata kwa bastola hunipeleki 5imba!
Ningezaliwa huko ningejitoa muhanga tu kwakweli 😁
Hapa kazini nimekutana na binti Wa kisabato.Nimekua nae karibu sana na ananiheshimu sana kikazi lakin pia kimahusiano ya kawaida...
Netanyahu anaishi ndani yakeHapa kazini nimekutana na binti Wa kisabato.Nimekua nae karibu sana na ananiheshimu sana kikazi lakin pia kimahusiano ya kawaida...
Mh!!Wazazi waislamu ndio wanakuwaga watata.
Maana dini yao inawafundisha wamtenge na wamchinje mtu anaehama uislamu.
Wazazi wakristo hawana shida. Mtoto Sali popote unapotaka. Maana ukristo hauna sheria ngumu
Mwamba anapiga kitonge.