Mliopo Dar, hali ya kibiashara ikoje sasa?

Mie pia na shut down bar business
 
Nafanya biashara ya kuuza bidhaa za kampuni flani, juzi wamenipa taarifa kwamba stock yao inakaribia kukata, hivyo bidhaa yao haitakuwa sokoni kwa muda huu corona imefunga mipaka.

Sent using Fly in any Weather.
Dah hivi zile mishe hata za kiswazi swazi watu hawakimbizi tena. Mambo ya mishkaki ya paka,.kachori na supu ya pweza
 
Hili suala la level seat lina cost sana ukiachana na biashara. Tunatumia wastani wa masaa 5 barabarani kila siku.
 
mwanangu hali mbaya sana, mimi sijanunua mzigo tokea January vitu vimekata mtaji ndio unalika sahivi nafikiria daily hali ikirudi mtaji nitaurudishaje,, yani aisee kila kitu ovyo hata kitaa chips haziuziki wanafunzi wa vyuo wote wako home, yani wachina wamejua kutukost dunia nzima kisa popo(if it's true) ...stress kila saa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vibomba vya plastik vya kuwekea ktk ndoo vilikua vinauzwa 3000, daah sasa hivi 10k
 
mkuu umefanya nicheke kwa sauti....ila hali iliyopo kwa sasa ni bora kuunganisha doti kama unavosema

[emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa machungu haya Bora ucheke tu siku ipite


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Hili suala la level seat lina cost sana ukiachana na biashara. Tunatumia wastani wa masaa 5 barabarani kila siku.
Sasa chagueni kati ya kupata Covid-19 au kukaa level sit😁
 
Hii ni kwa Wakulungwa na wanaharakati na wabishi mliopo Bongo DSM.

Naomba kujuzwa hali ya biashara ikoje kwa sasa kwa scales zote yani biashara kubwa na ndogo ndogo za kitaa?

Mkuu ila kwa ufahamu wangu kama mwanazuoni ni kama hata kabla ya hili janga “Uchumi at micro level ulikua hauna perfomance nzuri” ingawa tulikua tunaambiwa “wia on traki”[emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…