Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Mkuu kila kona ni hofu, TRA wanakusanya madeni hata kama lilikuwa la babu yako.🤣🤣🤣🤣🤣 huyo jamaa bana...
Kwahio hapaingiliki hata kwa njia za panya hapo town?
Ngombe amekamuliwa maziwa sasa inatoka damu