Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,113
- 17,645
Watu hawafanyi biashara. Wateja wamejifungia wanaogopa coronaHii ni kwa Wakulungwa na wanaharakati na wabishi mliopo Bongo DSM.
Naomba kujuzwa hali ya biashara ikoje kwa sasa kwa scales zote yani biashara kubwa na ndogo ndogo za kitaa?