Mliosikiliza cd ya askofu mpemba tujulisheni ina uchochezi gani?

Njiwa wrote: hakuna mahala yesu alipokiri na kusema "mimi ni mungu" YESU AMETAMKA MARA NYINGI NDANI YA BIBLIA KUWA NI MUNGU (Katika ushirika na Mungu Baba) Soma Kwa mfano YOHANA 17: 1-11 “Baba, saa imewadia, umtukuze Mwanao, ili Mwanao apate kukutukuza Wewe. Kwa kuwa umempa mamlaka juu ya wote wenye mwili ili awape uzima wa milele wale uliompa. Nao uzima wa milele ndio huu, wakujue Wewe uliye MUNGU wa pekee, wa kweli na Yesu Kristo uliyemtuma. Nimekutukuza Wewe duniani kwa kuitimiza ile kazi uliyonipa niifanye. Hivyo sasa, Baba, unitukuze mbele Zako kwa ule utukufu niliokuwa nao pamoja na Wewe kabla ulimwengu haujakuwako. Nimewajulisha Jina Lako wale ulionipa kutoka katika ulimwengu. Walikuwa Wako, ukanipa Mimi, nao wamelitii Neno Lako. Sasa wamejua ya kuwa vyote ulivyonipa vimetoka Kwako, 8kwa kuwa maneno yale ulionipa nimewapa wao, nao wameyapokea na kujua kwamba kweli nimetoka Kwako, nao wameamini kuwa Wewe ulinituma. Ninawaombea wao. Mimi siuombei ulimwengu, bali nawaombea wale ulionipa kwa sababu wao ni Wako. Wote walio Wangu ni Wako na walio Wako ni Wangu, nami nimetukuzwa ndani yao. Mimi sasa simo tena ulimwenguni, lakini wao bado wamo ulimwenguni, nami naja Kwako. Baba Mtakatifu, uwalinde kwa uweza wa Jina Lako ulilonipa, ili wawe na umoja kama sisi tulivyo wamoja.YOHANA 17: 21-22: ili wawe na umoja kama vile Wewe Baba ulivyo ndani Yangu na Mimi nilivyo ndani Yako, wao nao wawe ndani yetu,ili ulimwengu upate kuamini ya kuwa Wewe ndiye uliyenituma Mimi. Utukufu ule ulionipa nimewapa wao, iliwawe na umoja kama Sisi tulivyo wamoja.
 
Maandiko yapi uliyoyatoa?,coz unachotaka kukijua huwezi kukielewa kamwe!Utatu mtakatifu wa Mungu yaani Mungu baba,mungu mwana(yesu)nafsi ya pili,Mungu roho(roho mtakatifu)nafsi ya tatu. So usikufuru kwamba tunasingizia roho mtakatifu

Acha mipovu basi pole pole, soma Yohana 8:40 na Yohana 17:3 then uniambie sijaelewa kwa sababu roho mtakatifu mchoyo hajanimegea maono.
 

Yaani uliyaandika ni ushahidi tosha kwamba Yesu ni mjumbe tu kama wajumbw wengine wa Mungu, hakuna sehemu ambapo amesema yeye ni Mungu!
 
Mathayo: 28:18-20: Yesu akawajia na kusema, "Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani. Kwa sababu hii, enendeni ulimwenguni mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa Jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu, nanyi wafundisheni kuyashika mambo yote niliyowaamuru ninyi. Hakika Mimi niko pamoja nanyi sikuzote, hadi mwisho wa nyakati.'' Amen.Je NOKIA, Je huyo ni mjumbe tu? Au ndiye mwenyewe MUngu - Neno. Tunasoma tena katika Mathayo 26: 50 -Yesu alipolia tena kwa sauti kuu, akakata roho. Wakati huo huo pazia la hekalu likachanika vipande viwili, kuanzia juu hadi chini. Dunia ikatetemeka na miamba ikapasuka. Makaburi yakafunguka na miili ya watakatifu waliokuwa wamekufa ikafufuka. Wakatoka makaburini na baada ya Yesu kufufuka waliingia kwenye Mji Mtakatifu na kuwatokea watu wengi. Basi yule jemadari na wale waliokuwa pamoja naye wakimlinda Yesu walipoona lile tetemeko na yale yote yaliyokuwa yametukia, wakaogopa wakasema, "Hakika huyu alikuwa ni Mwana wa Mungu!''Ipokeeni injili, mkiri Yesu kuwa ni Bwana na Mkobozi wa Dunia, Tubuni ili muingie Ufalme wa mbinguni.
 
Ndo manaake,Baba V, nashangaa hawajibu hili! Ndo maana naunga mkono hoja ya mungu wao na wetu ni tofauti
Hebu pitia hapa:
Enyi watu! Mcheni Mola wenu mlezi aliye kuumbeni kutokana na nafsi moja, na akamuumba mkewe kutoka nafsi ileile. Na akaeneza kutokana na wawili hao wanaume na wanawake wengi. Na tahadharini na Mwenyezi mungu ambaye kwaye mnaombana, na jamaa zenu. Hakika Mwenyezi mungu ni mwenye kuwaangalieni.4:1

Mwenyezi mungu,hakuna mungu ila yeye Aliye Hai. Msimamizi wa yote milele.3:2

Yeye ndiye anaye kuundeni ndani ya matumbo ya wazazi kwa namna apendayo. Hapana Mungu ila yeye,mwenye nguvu na mwenye hikima.3:6

Hakika kilimpitia binaadamu kipindi katika zama ambacho kwamba hakuwa kitu kinacho tajwa.76:1

Hiyo ni sehemu tu Mungu wetu anavyo jipambanua na kutupa habari juu ya yale tusio yajuwa. Ukiangalia Aya ya mwanzo kabisa, kumetolewa wito wa ukumbusho kwa walimwengu wote pale iliposemwa; Enyi watu! Mcheni Mola wenu mlezi aliyekuumbeni kutokana na nafsi moja. Hii inaonyesha wazi kabisa kuna Mungu mmoja kwa walimwengu wote,tofauti na wewe unavyotuaminisha kuwa kuna Mungu zaidi ya mmoja.
 
Hivi ninyi ndugu mlioanza kuleta hoja za Yesu hivi na vile, nanyi mlioingiza Muhammada hivi na vile ndio m-memjibu mleta hoja?
Haishangazi matoleo ya mtihani wa sekondari asilimia 90 wamefeli!

Asante kwa kuliona hilo.
 
hakuna mahala yesu alipokiri na kusema "mimi ni mungu"

Ili kuweza kujua kama Yesu amewahi kukiri na kusema kuwa yeye ni Mungu kunahitaji mtu anayetaka kujua hivyo awe na akili ya kutafakari na sio kukariri, awe anajua historia ya namna Wayahudi walivyokuwa wanamjua Mungu, awe na uwezo wa kujiuliza ni kwanini Yesu pamoja na kutenda Mema yote aliyotenda lakini alikuwa anawindwa kuuawa ?
Lakini biashara ya Kumfundihsa Muislam hadi aelewe kwamba ni kweli kwa mujibu wa biblia Yesu mwenyewe alijipambanua pasipo shaka kwamba yeye ni Mungu, inahitaji uwe na uwezo wa kumpigia gitaa mbuzi hadi acheze.
Waislam mmeuliza mara nyingi sana kuhusu hili swala,mnajua fika kwamba si kweli kwamba Yesu hajawahi kujiita Mungu lah,mnajua lakini mkikubali kuwa Yesu ni Mungu,moja kwa moja mtakuwa mnasema Allah ni mungu fake na muhammad sio mtume, hivyo salama yako ni ama usimame na kupinga Umungu wa Yesu au Ukubali Yesu ni Mungu lakini Uislam ukutoke, mnaonea aibu ukweli ndiyo maana mnabaki kupinga,kupinga, kupinga.
 
Yaani uliyaandika ni ushahidi tosha kwamba Yesu ni mjumbe tu kama wajumbw wengine wa Mungu, hakuna sehemu ambapo amesema yeye ni Mungu!

Kama ni kufundishwa mkuu umesfundishwa lakini ni kutunza heshima ya Allah wako ndiko kunakufanya kila thread unakuja na swali lile lile huku ukitegemea matokeo tofauti. Kichaa ni mtu ambae hufanya kitu kile kile kwa njia ile ile huku akitarajia matokeo tofauti,sisemi wewe ni kichaa no,nasema unauliza swali lile lile kwa njia ile ile ukitegemea Yesu hatakuwa Mungu. pole sana... Ukiendelea nakusemea kwa H1N1 na Mgen
 
Kuhoji Uungu wa Yesu kunaonesha binadamu mwenye uwezo mdogo sana wa kutafakari,sishangai,kama mnaweza kuhifadhi quran na kuiimba kama kasuku hakuna cha ajabu.
Huwezi kujua kama Yesu alisema yeye ni mungu kama humjui Mungu wa kweli,Mungu mwenye uwezo wa ktoa na kurejesha UHAI,Mungu mwenye uwezo wa Kusamehe DHAMBI.

Naandika hapa chini yale ambayo Yesu wa Nazareth aliyasema walikokuwa wanamsikiliza kwa vile walikuwa wanamjua Mungu wa Kwweli na sifa zake walidhani Yesu anakufuru

Strictly for human being who have the uncorrupted brain.

I am not sure if I there is even a single Muslim with such quality...

This is Jesus of Nazareth.

---"Your father Abraham rejoiced as he looked forward to my coming. He saw it and was glad."
The people said, "You aren't even fifty years old. How can you say you have seen Abraham?"
Jesus answered, ''Truly,Truly I say to you BEFORE ABRAHAM WAS BORN, I AM''

---"The Father and I are one." Once again the people picked up stones to kill him.
Jesus said, "At my Father's direction I have done many good works. For which one are you going to stone me?"
They replied, "We're stoning you not for any good work, but for blasphemy! You, a mere man, claim to be God."

---"You call me 'Teacher' and 'Lord,' and you are right, because that's what I am'' remember those who called Jesus Lord they know what the word Lord mean for Jews of Jesus Time[SUP] .

[/SUP]---Jesus told him, "I am the way, the truth, and the life. No one can come to the Father except through me. If you had really known me, you would know who my Father is. From now on, you do know him and have seen him!"
Philip said, "Lord, show us the Father, and we will be satisfied."
Jesus replied, "Have I been with you all this time, Philip, and yet you still don't know who I am? Anyone who has seen me has seen the Father! So why are you asking me to show him to you

---"My sheep hear my voice, and I know them, and they follow me. I give them eternal life, and they will never perish, and no one will snatch them out of my hand

---''...that you may know that the Son of Man has authority on earth to forgive sins"--he then said to the paralytic--"Rise, pick up your bed and go home." And he rose and went home. When the crowds saw it, they were afraid, and they glorified God..."

ONYO:KUKARIRI NI MARUFUKU
 
Kwa mujibu wa bibilia yesu ame tahiriwa hivi ni kweli mungu wenu alikuwa na govi. pia mama wa yesu anaitwa maliam sasa swali, kama ni kweli yesu mwana wa mungu jiulize na utwambie maliam na mungu wana itanaje? ndio maana sisi tuna sema nyie ni makafiri.
 

...mungu hachunguziki!
...halafu,kuran inasemaje kuhusu isa(yesu)alizaliwaje na nan?
...menngine huwezi kuelewa coz haupo kwny hii imani!
....hivi ulishawahi kujiuliza y hili jina Yesu,kuzimu na mapepo(majini) wanasalim amri wakiliskia? Hata hao wanaoitwa majini wema cjui,(though cc kwa imani yetu majini yote ni mabaya).
 
hakuna mahala yesu alipokiri na kusema "mimi ni mungu"

Waebrania 1:8, “Lakini juu ya mwana Mungu alisema, “Na Kiti chako cha enzi, wewe Mungu, Kitadumu milele, na haki itakuwa fimbo ya ufalme wako.”
 
Hivi mtu ukiwa muislam unakuwa irrational namna hii? Hapo ulipomnukuu huyo jamaa wapi kaandika Yesu ni Mungu? Kweli uislam ni mzigo!

mkuu we acha tu mimi huwa nabaki kusikitika nakupta zangu
 

Huu ni ukumbusho wa rehema ya Mola wako mlezi kwa mja wake,Zakariya. 19:2 qur'an

Alipo mwita Mola wake mlezi kwa siri.19:3

Akasema:Mola wangu mlezi! Mafupa yangu yamedhoofika na kichwa kinameremeta kwa mvi;
Wala, Mola wangu mlezi sikuwa mwenye bahati mbaya kwa kukuomba wewe.19:4

Na hakika mimi nawakhofia jamaa zangu baada yangu. Na mke wangu ni tasa. Basi nipe mrithi kutoka kwako.19:5


Atakaye nirithi mimi na awarithi ukoo wa Yaaqub. Ewe Mola wangu mlezi! Na umjaalie awe mwenye kuridhisha.19:6

(Akaambiwa): Ewe Zakariya! Hakika sisi tunakubashiria mwana; jina lake ni Yahya. Hatujapata kumpa jina hilo yeyote kabla yake.19:7

Akasema: Ewe Mola wangu mlezi! Vipi nitakuwa na mwana na hali mke wangu ni tasa, na mimi nimesha fikia ukongwe katika uzee?19:8

Akasema: Ndio hivyo hivyo amesema Mola wako mlezi: Haya ni mepesi kwangu. Na hakika mimi nilikwisha kuumba wewe zamani na hali hukuwa kitu.19:9

Akasema: Mola wangu mlezi nijaalie ishara. Akasema ishara yako ni kuwa hutasema na watu kwa masiku matatu, na hali ni mzima.19:10

Basi akawatokea watu wake kutoka mihirabuni. Akawaashiria: Msabihini Mwenyezi mungu asubuhi na jioni.19:11

Ewe Yahya! Kishike Kitabu kwa nguvu! Nasi tulimpa hikima angali mtoto.19:12

Na tukampa huruma itokayo kwetu, na utakaso, na akawa mchaMungu.19:13

Na akawa mwema kwa wazazi wake, wala hakuwa jabari mua'si.19:14

Na amani iwe juu yake siku ya kuzaliwa, na siku ya kufa,na siku ya kufufuliwa.19:15


Na mtaje Maryamu katika kitabu,pale alipojitenga na jamaa zake mahali upande wa mashariki;19:16

Na akaweka pazia kujikinga nao. Tukampelekea Roho wetu, akajifananisha kwake sawa na mtu.19:17

(Maryamu) akasema: Hakika mimi najikinga kwa mwingi wa rehema aniepushe nawe, ukiwa ni mchaMungu.19:18

(Malaika) akasema: Hakika mimi ni mwenye kutumwa na Mola wako mlezi ili nikubashirie tunu ya mwana aliye takasika.19:19

Akasema: nitampataje mwana hali mwanaadamu yeyote hajanigusa,wala mimi si kahaba?19:20

(Malaika) akasema: Ndio hivyo hivyo! Mola wako mlezi amesema: Haya ni mepesi kwangu! Na ili tumfanye kuwa ni Ishara kwa watu, na rehema itokayo kwetu,na hilo ni jambo lilio kwisha hukumiwa.19:21

Basi akachukua mimba yake, na akaondoka nayo mpaka mahali pa mbali.19:22

Kisha uchungu ukampelekea kwenye shina la mtende; akasema: Laiti ningeli kufa kabla ya haya, na nikawa niliye sahaulika kabisa!19:23

Pakatangazwa kutoka chini yake: Usihuzunike! Hakika Mola wako mlezi amejaalia chini yako kijito kidogo cha maji!19:24


Na litikise kwako hilo shina la mtende, utakuangushia tende nzuri zilizo mbivu.19:25


Basi kula, na kunywa,na litue jicho lako. Na pindi ukimwona mtu yeyote basi sema: Hakika mimi nimeweka nadhiri kwa Mwenyezi mungu ya kufunga; kwa hivyo leo sitasema na mtu.19:26

Akenda naye (mwanawe) kwa jamaa zake amembeba. Wakasema: Ewe Maryamu! Hakika umeleta kitu cha ajabu!19:27

Ewe dada yake Harun! Baba yako hakuwa mtu muovu,wala mama yako hakuwa kahaba.19:28


Akawaashiria ( mtoto). Wakasema: Vipi tumsemeze aliye bado mdogo yumo katika mlezi?19:29

( Mtoto) akasema: Hakika mimi ni mtumwa wa Mwenyezi mungu. Amenipa Kitabu,na amenifanya Nabii.19:30

Na amenijaalia ni mwenye kubarikiwa popote pale niwapo. Na ameniusia Sala na Zaka maadamu ni hai.19:31


Na nimtendee wema mama yangu. Wala hakunifanya niwe jeuri,mwovu.19:32

Na amani iko juu yangu siku niliyo zaliwa,na siku nitakayo kufa,na siku nitalayo fufuliwa kuwa hai.19:33

Huyo ndiye Isa mwana wa Maryamu. Ndiyo kauli ya haki ambayo wanaifanyia shaka.19:34

Haiwi kwa Mwenyezi Mungu kuwa na mwana, Subhanahu,yeye ametakasika! Anapo lihukumuia jambo basi huliambia tu: Kuwa! Likawa.19:35

Na hakika Mwenyezi mungu ni Mola wangu mlezi,na Mola wenu mlezi. Basi muabuduni yeye. Hii ndiyo Njia iliyo Nyooka.19:36

Lakini makundi yakakhitilafiana wao kwa wao. Basi ole wao hao walio kufuru kwa kuhudhuria siku iliyo kuu!19:37

Watasikia na wataona vizuri vilioje siku watakayo tufikia! Lakini madhalimu sasa wamo katika upotofu ulio dhaahiri.19:38

Na waonye siku ya majuto itapo katwa amri. Nao wamo katika ghafla,wala hawaamini.19:39


Hakika sisi tutairithi ardhi na walio juu yake. Na kwetu watarejeshwa.19:40
 
Waebrania 1:8, "Lakini juu ya mwana Mungu alisema, "Na Kiti chako cha enzi, wewe Mungu, Kitadumu milele, na haki itakuwa fimbo ya ufalme wako."

kwenye red hayo maneno kasema nani alikuwa akiambiwa nani
 
kwenye red hayo maneno kasema nani alikuwa akiambiwa nani

angalia blue utaelewa vyema aliyesema

Waebrania 1:8, Lakini juu ya mwana Mungu alisema, "Na Kiti chako cha enzi, wewe Mungu, Kitadumu milele, na haki itakuwa fimbo ya ufalme wako."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…