Mliosoma mashule ya international hebu mkuje hapa tuwafundishe hizi mambo

Mliosoma mashule ya international hebu mkuje hapa tuwafundishe hizi mambo

Antennah

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2015
Posts
6,754
Reaction score
8,750
Enzi hizo hapo yani mi kwenye foleni hyo Sikai kabisa.....natumia ujanja ujanja mpka nachukua ugali wangu nasepa....

Kuna siku moja ilikua ni ya wali jumatano.....ile kuhangaika jamaa libabe LA form four likanidaka bhana...daaah nilikula kwenzi nying sana afu na msosi sikupata.....sitakuja kusahau ile njaa ya kukosa wali.
IMG-20180731-WA0017.jpg
 
Hayo mashule ukitaka kupata uhalisia anza kufuga yale makuku ya kizungu ndo utajua yani mpaka kuyaliya, kuyabeba , yani yapo tuu, hao mpaka vyombo wanatolewa darasani
 
Siku za wali nlikuwa naenda kwenye foleni saa 7 badala ya nane nikiwa na kile kisado cha lita 3 ili punga lionekane chache mgawaji apate moyo wa kuongeza kidogo..
[emoji1] [emoji1]
Siku zinaenda aiseeh!
 
Shule za serikali ndio zimejaza mazezeta na matikiti maji...
Zero nyingi zinatoka shule za kata za serikali
Ni kweli kwasababu hatutafuniwi.

Hatuna vitabu.

Tunajitafutia.

Mwalimu anakuapia lazima ufeli.

Darasa unalofanyia mtihani watu wanat01mbania.

Walimu hawajielewi.

4 ya 28 ya kata ni strong kuliko ya private.
 
Hayo mashule ukitaka kupata uhalisia anza kufuga yale makuku ya kizungu ndo utajua yani mpaka kuyaliya, kuyabeba , yani yapo tuu, hao mpaka vyombo wanatolewa darasani
Ndo mwishoni huku wanakuja kuishia kuwa mazoba yn bila ajira bs maisha yao hayaendi
 
Acha tuu hayo mambo hayo msos siku ya nyama bwana na wali foleni sio ya nchi hii
Ilikua kama ni tabu HV.....lkn ukikaa pemben ukaangalia vzuri bs lazma ufurahi...afu inachangamsha akili hiyo life styles
 
Siku za wali nlikuwa naenda kwenye foleni saa 7 badala ya nane nikiwa na kile kisado cha lita 3 ili punga lionekane chache mgawaji apate moyo wa kuongeza kidogo..
[emoji1] [emoji1]
Siku zinaenda aiseeh!
Hahahahahaaa we ulikua hufai aisee unanikumbusha mbali sana
 
Wakati tupo uzumbeni tulikuwa na mameza fulani makubwa kubwa hivi.
Makalai ya msosi yakija tunaanza kugawana kwa kutumia kipimo cha bakuli. Siku unaweza kupigwa upalo ukizubaa.
 
Last edited:
Shule za serikali ndio zimejaza mazezeta na matikiti maji...
Zero nyingi zinatoka shule za kata za serikali
Kweli jamaa anazumzia akili za kuvunja utaratibu wa chakula mtu anamaliza form 4 hata kujieleza tuu nitatizo ndio wale wa zeee is Sir,Madam And Hon. Speaker
 
Kweli jamaa anazumzia akili za kuvunja utaratibu wa chakula mtu anamaliza form 4 hata kujieleza tuu nitatizo ndio wale wa zeee is Sir,Madam And Hon. Speaker
Ndio tatizo letu..yaani watu wanaona uhuni na kuvunja sheria kama ndio ujanja..
wakati wenzao wana memories za ushindi wa debate na shule nyingine , ushindi wa ligi za inter school n.k
 
Back
Top Bottom