Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa akili za Kukremu Lazima ndoa ikushindetunaendelea vizuri tu, tunaapply calculus, projectile motion na organic chemistry maisha yanasonga
Acha ukorofi Locust uliisoma wewe?Wale wenzangu mliosoma PCM baadhi yenu tena kwenye shule za vipaji na mkafanikiwa kuwa na wenzi. Vp PCM imekusaidia chochote kwenye ndoa?
View attachment 2232346
Ndoa kiboko ya mabishooWale wenzangu mliosoma PCM baadhi yenu tena kwenye shule za vipaji na mkafanikiwa kuwa na wenzi. Vp PCM imekusaidia chochote kwenye ndoa?
View attachment 2232346
Wale wenzangu mliosoma PCM baadhi yenu tena kwenye shule za vipaji na mkafanikiwa kuwa na wenzi. Vp PCM imekusaidia chochote kwenye ndoa?
View attachment 2232346
Integration na differentiation zinaendelea vizuri kabisa🤸Wale wenzangu mliosoma PCM baadhi yenu tena kwenye shule za vipaji na mkafanikiwa kuwa na wenzi. Vp PCM imekusaidia chochote kwenye ndoa?
View attachment 2232346
Kombi uliyosoma imekusaidia chochote kwenye ndoa? AU kama haupo kwenye ndoa, au hata kwenye mahusiano yako ya kimapenzi, imekusaidia chochote?Wale wenzangu mliosoma PCM baadhi yenu tena kwenye shule za vipaji na mkafanikiwa kuwa na wenzi. Vp PCM imekusaidia chochote kwenye ndoa?
View attachment 2232346
Wale wenzangu mliosoma PCM baadhi yenu tena kwenye shule za vipaji na mkafanikiwa kuwa na wenzi. Vp PCM imekusaidia chochote kwenye ndoa?
Zinaendana sana, tunafanya approximations nyingi na tunafanikiwa kwenye ndoa.Calculations za PCM na ndoa haziendani
Nami PCM imeninufaisha sana. Vilevile Chuo nilichosoma jamaa wengi walikuwa hawajui Maths basi nilikuwa nawaburuza ni balaa. Wakiniona lazima wanisalimie kwa heshima. Mademu ndio ilikuwa balaa walikuwa wanatamani hata kunibeba mgongoni. Kimsingi nilitusua sana Mazee!Differential equations, calculus, trigonometry, coordinate geometry, complex numbers, logarithims, dah... nimekumbuka mbali... japo leo nina apply hesabu kiasi kwenye trigonometry na coordinate geometry, nashukuru Mungu foundation nzuri ya PCM ndio imeniwezesha kufika hapa... long live mathematicians. Tuko wachache sana tanzania hii.. kwa matokeo ya 4m4 mwaka jana, 82% ya watahiniwa walikula Mswaki kwenye namba... only 19% got A- D... you can imagine sasa waliopata A ni asilimia ngapi??? Waliokwenda PCM ni wangapi.. nina imagine hawafiki hata 5%
.. PCM oyeeeeeeee
OkayZinaendana sana, tunafanya approximations nyingi na tunafanikiwa kwenye ndoa.
Pia probabilities nyingi zinasaidia ku approximate probabilities za watoto kuwa wetu maana muda mwingi tunakaa na wake zetu na muda mchache wanatoka!