Mliosoma PCM vipi maendeleo kwenye ndoa?

jamaa anazungumzia muda huu inakusaidia vipi ?
 
Nilikitika sana nilpopata F ya Maths,nikapiga moyo konde nikapiga combination ya Art FM 6
Kimbembe nikakikuta chuo course ya TAX AND CUSTOM MANAGEMENT Kuna hesabu za kutosha na matokeo kupata namba za viatu ikawa poa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…