Unataka watu wakupe uzoefu wa kutapeliwa? Hii ng'ombe ya wapi hiisasa apo kukomoana??
lengo la kuleta humu ni kupata experience kwa waliokopa au wenye uzoefu
Unaonekana umekuja kusoma upepo wa raia humu mtandaoni na kwa uchunguzi wangu kwa zaidi ya 50% utakua unahusika na utapeli wa mitandaoni au unashirikiana nao. Mjinga ambae hajui kutapeliwa hawezi kuwa na knowledge kama ya kwako ya kuwajua matapeli. Please JF members Be warnedView attachment 2834858
Soma hapo
242 Million dollar
Mtu aliwauzia wazungu airport we unajikuta unaakili!
Kama tapeli wamejipanga hata hiyo nyumba unayoishi unaweza kuta wameforge kila kitu kuanzia majiran ,mwanasheria,na kila kitu siku unaambiwa tu walokuuzia hawatambuliki
[emoji736]Wake up usijione smart kiivo sema tuchukue taadhali kila inapobidi
Acha upumbavu we dogoNatafuta logic ya utapeli hapo itakua ni nini??
Why? why ? why?
siwezi amini kila kitu lakini pia siwezi amini kila jibu
Nenda kaulize wajinga wenzio hukohuko facebooksasa apo kukomoana??
lengo la kuleta humu ni kupata experience kwa waliokopa au wenye uzoefu
Kuna ile ya masanja mkandamizaji he ni ya ukweli au uongo? Maana natafuta hela 10m.nisaidieni ukweli
mwamba soon utakula chuma
Acha upumbavu we dogo
Si ujaribu kukopa ndio uje na mrejesho
Yaani wajinga wajinga bongo humuishi
Sawa nipo hapa nimekaa na keyboard yanguAah wap
Utatapeliwa kijana. Mwisho wa siku kuna kuombwaMrejesho lazima niwape
Unauwezo wa chini Sana katika kupambanua mamboView attachment 2834843
kwahiyo hii n fake
Utatapeliwa kijana. Mwisho wa siku kuna kuombwa
1. Hela ya fomu ya kuomba mkopo
2. Bima ya mkopo
3. Dhamana ya mkopo
4. Tozo ya mkopo
Wakikupa karatasi ya masharti utachoka. Ngoja niishie hapa. Utaleta mrejesho
Mbona huleti huo mrejeshoMREJESHO WA MKOPO
Nataka nilete mrejesho wa nilichokikuta??
Mwenye nguvu mpishe apite,kama kausha au sio hakuna mbavu nene za kuweza toa neno🤔Wakuu nimepewa taarifa kuhusu mikopo kutoka kwene hzii taasisi Tulia foundation na Mo foundation. Nataka nijue kuna changamoto gani kwa mkopaji?
Je, siyo kausha damu?
Mkopo unalipika?
Kuna changamoto zozote ambazo zipo na hazisemwi?
NB: Nimeona matangazo yao online inaonesha wana vigezo nafuu
Umeuliza swali ili ujuwe kuhusu hizo taasisi umepewa majibu sahihi ambayo ndiyo sahihi wewe unaendelea kubisha.Nataka nijue natapeliwaje na sijaombwa hela