Mliowahi ku-date na wadada wa Kiganda njooni hapa

Ooh yeah unanikumbusha route zangu...Mutukula, kalisizo, kyotera, Masaka to Kampala(mji wa starehe) hapo utakutana na races kama zote!

Kampala madem wengi wanapenda starehe so jiandiae kuchunwa pesa mpaka ukose nauli ya kurudia TZ na kingine wapo sooo Natural, Alafu sio wachoyo wa papuchi na so kuwa makini!

Unanikumbusha maeneo kama Nakitete, Bweyogerere, Entebbe, Nsambya e.t.c
 
Unaingia online unatafuta wanawake? Utaibuka na majini huko…
 
hawa wadada usipo kuwa makini ndio utajua uzai au unazaa.

wanashika mimba hatari sana.gusa unase
kuna dogo mmoja alikuwa ITV kipindi cha watoto enzi hizo kaliingia msala wa mganda
Kweli hii...wanashika mimba sana
 
Kyotera..kalisizo..lukaya..kitambo sana...wewe utakua Ssebo bila shaka.
 
Jifunze tu kachabali mapema sana..na godoro uliwekee nailoni ASAP
 
Ukikutana na msomi wanakuwaga smart sana ila wanapenda sana starehe, pesa kutolewa maji na ukiwa na uhusiano nao ukiyumba kipesa unachapiwa njenje. Pia ni wajeuri maana kwao zipo sheria nyingi zinawalinda kwaio anao uwezo wa kukufanyia ungese na usimfanye kitu chochote kile.

Cha ziada wako na uzuri wa asili hawanunui uzuri kama uku kwetu akikupenda sana atakuzalia watoto wengi ila siku unamletea ushenzi anakukata kichwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…