Mliowahi ku-date na wadada wa Kiganda njooni hapa

Yes jaluo nq hao ni ndugu kqbisa zipo ethnic groups nyingi wote wamoja hao, hakuna maji mbususu ziko poa sanq
 
Wewe hijui Waganda huwezi kulinganisha ma demu wa kiganda na wa kwetu hapa kwenye kila nyanja, ni wanynyekevu ukiwa na mwelekeo, ni wasafi na urembo juu ukuwa na pesa, ni wajasiriamali ukiwa na miradi ya biashara uzuri wao wa asiri sio lahisi kujichubua ngozi wana elimu ya darasani na ya maisha. Ulinganishe na wa kwetu wapinga vizinga vya kijinga kijinga, nauli viatu kodi ada ya wadogo zangu, hapo ni wadarasa la saba au f4 falia
 
Labda mademu wa kabila lako ni wa hovyo au unaochangamana nao ni wa hovyo.

Narudia...mabinti wetu wa Kitanzania ni bora kuliko popote duniani.
Ndio wanayo mapungufu lakini sio kwa kiwango cha nchi za wenzetu.

Ni uzuri gani ambao waganda wanao ambao kwetu haupo?
Wasichana wetu wote wanajichubua?

Nakuhakikishia wanaume wa nchi zinazotuzunguka wanavutiwa sana na tabia za wasichana wetu.

Lakini sikupingi unavyoamini wewe.
 
Northerners esp.the Lang'o ladies from Lira are good and wanatupenda wabongo nina imani na huyo demu kbsa ajiandae kwa moyo mweupe kbsa
Mtoto wake ananita baba mpaka kesho alitaka ji mu adopt mwanae alinikuta tayari na mke, nimekaa nao three good years wapo na mahaba mzee sema ujana umeshanipita sahivi sina pilikapilika hizo tena za huku kule
 
Kudeti ndiyo kufanya tendo la ndoa/kufanya mapenzi/sex! Religious people wanaita kuzini/kufanya zinaa. Kweli dunia ime advance kufanya prostitution sasa kunaitwa Kudanga.
 
Na miss kuku wa kyotera[emoji23][emoji23]
 
Kuna hii tandam ya kiganda nilikua naisukuma sometimes back in 2014.sema maji kama yote

 
Naomba link privately ya hiyo dating site
 
Hapo masaka nimetafuna toto la kiganda ,kuna mji mwingine unaitwa Mbarara napo nimegonga gonga sana ,wsganda siyo wachoyo kwa kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…