Mliowahi kudate na Msichana Mzungu Pitia hapa

Mliowahi kudate na Msichana Mzungu Pitia hapa

Ningekuwa Mimi ningemuacha mke wangu kwa muda
Haiwezekani mzee.Ndugu,jamaa na marafiki wangeniona mjinga sana mke wangu ni miaka 20 sasa nipo nae na ni mzuri huyu mzungu atii mguu kakamilika kila idara,after all mzungu nilidate nae tu kwa umalaya wangu wa kutaka nibadilishe ladha tumekutana huko Tunduma tukaelewana tukaishi miaka minne safari za yeye kuja Tz from Sweden zikawa haziishi na mimi kwenda Sweden zikawa haziishi(kwa gharama zake mzungu)na mke wangu muda wote huo alikuwa anajua naenda kibiashara,Uzuri zaid sikuwa na tamaa na utajiri wake that's why ikawa ni rahisi sana kumwambia ukweli
 
Wengi wao wana upendo wa dhati sana na hawaigizi. Nishawahi date na toto la kiarabu japo dini tofauti ila alinipenda vibaya mno ila ndo hivyo mzee wake akakataa asije Tz kabisa hata kutalii tu maana anajua hatarudi nchini kwake[emoji23][emoji23][emoji23]
Samahani lakini,hivi Mwarabu nae Ni mzungu?
 
  • Kicheko
Reactions: amu
Dah umenikumbusha mbali mtoto Abigail alinipenda kuliko kawaida,kwa mara ya kwanza ndio niliona mtoto wa kizungu anataka kujiua kisa kapuku mimi sitosahau....Demand yake ilikuwa ni moja tu nimuoe kisha tukaishi moja kati ya nchi ya Scandinavia tatzo ni kwamba mimi nilikuwa nishaoa na nina familia baada ya kumfichaficha ukweli ikabidi siku moja nimtobokee tu kwamba am arleady taken hapo ndipo mawazo ya kutaka kuchukua maamuzi magumu yalivyompata..She is educated woman,Beautiful,Rich na wife material kabisa,sifa ulizozitaja hapo zote wanazo,Kulia ni mimi kushoto ni yeye enzi zetu somewhere in Tz

View attachment 2198556
Mkuu,sijui utanichukuliaje ila mimi nipo serious katika hili,naomba mbinu za kupata manzi mzungu,yani kwa kifupi ulifanyaje hadi kumpata maana mimi nimeshachoka na hawa akina Mwajuma
 
Mkuu,sijui utanichukuliaje ila mimi nipo serious katika hili,naomba mbinu za kupata manzi mzungu,yani kwa kifupi ulifanyaje hadi kumpata maana mimi nimeshachoka na hawa akina Mwajuma
😂😂😂mkuu nadhani unajua kwamba kutongoza hakuna Formula kivyovyote tu unaweza kumpata mzungu...Lakini kwangu mimi nimegundua ukiwa smart kwenye kuongea,pia pendelea kuvaa nguo za utamaduni wao sio hizi za kiafrica eti mara Kanzu,sijui bazee noo piga suti sometimes au vaa kama NBA star vaa Jordan sneakers n.k,pia kitu kingine kwenye story pendelea kujifanya upo attracted na vitu ambavyo pia na yeye anavipenda(hapo kabla hamjadate) kama anapenda kusoma vitabu muectie kama na ww unapenda kusoma vitabu,Halafu kuwa romantic unapoongea nae white girls wengi wanafikiri sisi black men tupo harsh sana so pretend kuwa tofaut na wengine,Kikubwa zaidi jifanye una exposure sana kuwa mtu wa kuuza chai sana hii itakusaidia mkiswitch story hapa mtapiga habari za vita ya Ukraine,kisha mnageukia masuala ya spiritual issues hapo tu unaweza kumvutia kidogo yaan mfanye ajue mambo mengi
 
Mostly Wasafi, sijui ni ile ngozi yao kuonekana Angavu au la. Waaminifu sijapata kuona.
Watamu kama waswahili wetu hawa.
Nimebahatika kuwakaza Wazungu 5 katika maisha yangu.
Watatu 3 Afrka Kusini, 1 Zanzibar na Mmoja Mtwara.
Wanapenda MASHINE ya maana, Sio vibamia, wanapenda koni balaa, uzuri wa Wazungu unaweza piga popote pale, sebuleni, Jikoni, room hata kwa corridor.
 
😂😂😂mkuu nadhani unajua kwamba kutongoza hakuna Formula kivyovyote tu unaweza kumpata mzungu...Lakini kwangu mimi nimegundua ukiwa smart kwenye kuongea,pia pendelea kuvaa nguo za utamaduni wao sio hizi za kiafrica eti mara Kanzu,sijui bazee noo piga suti sometimes au vaa kama NBA star vaa Jordan sneakers n.k,pia kitu kingine kwenye story pendelea kujifanya upo attracted na vitu ambavyo pia na yeye anavipenda(hapo kabla hamjadate) kama anapenda kusoma vitabu muectie kama na ww unapenda kusoma vitabu,Halafu kuwa romantic unapoongea nae white girls wengi wanafikiri sisi black men tupo harsh sana so pretend kuwa tofaut na wengine,Kikubwa zaidi jifanye una exposure sana kuwa mtu wa kuuza chai sana hii itakusaidia mkiswitch story hapa mtapiga habari za vita ya Ukraine,kisha mnageukia masuala ya spiritual issues hapo tu unaweza kumvutia kidogo yaan mfanye ajue mambo mengi
ahsante Mkuu, nitarudi hapa kutoa mrejesho kabla ya mwaka huu kuisha yani nikipata mzungu naoa hata mwaka huu
uzuri JF inatunza mada,tutaendeleza huu uzi lazima
 
Mostly Wasafi, sijui ni ile ngozi yao kuonekana Angavu au la. Waaminifu sijapata kuona.
Watamu kama waswahili wetu hawa.
Nimebahatika kuwakaza Wazungu 5 katika maisha yangu.
Watatu 3 Afrka Kusini, 1 Zanzibar na Mmoja Mtwara.
Wanapenda MASHINE ya maana, Sio vibamia, wanapenda koni balaa, uzuri wa Wazungu unaweza piga popote pale, sebuleni, Jikoni, room hata kwa corridor.
Sio wachoyo wachoyo kama haya ya kibongo eeeh?
 
Back
Top Bottom