Mliowahi kudate na Msichana Mzungu Pitia hapa

hongera kwa kukumbuka fadhila mkuu

basi siku moja moja uwe unamwambia kuwa unaona umuhimu wake na kamwe huwez kumuacha

wanawake tunapenda kuskia maneno matraaam km hayo
Asante hayo maneno namwambia daily kila niamkapo asubuhi mwaka wa ishirini huu penzi halijawahi kuchuja even a single day!! Mpk kuna baadhi ya watu wanasema nanukia kama mke wangu wengine wanaenda mbali wanasema naanza kufanana nae😃
 
Ngoja nmtag Mr hapa Cosovo aje atupe muongozo maana yeye tayari ana experience na wazungu Hadi Malta alishswahi kwenda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…