Mliowahi kuishi Uingereza ni kweli ile nchi ina masikini wengi?

Mliowahi kuishi Uingereza ni kweli ile nchi ina masikini wengi?

Nimestaafu mwezi uliopita
Nasubiri kiinua mgongo changu kama milioni kadhaa.

Napenda sana mpira nikiangalua EPL napata wazimu.

Natamani nikaishi England nifie huko

Kinachonishangaza kuna uzi wa magari ulikuja humu jamaa anauliza kwa nini waingereza hawanunui magari ya landrover na range,kuna wachangiaji kadhaa walicomment kuwa England ni masikini hawawezi kununua hayo magari,namkumbuka Brondo kama mchangiaji mmoja wapo.

Je ni kweli waingereza ni masikini

Maisha yangu yote najua waingereza wako vizuri kiuchumi

Sio england tu kiufupi nchi zilizoendelea zisikie tu.

Maisha yapo juu na kodi ni mwanzo mwisho sio hapa domo anapiga kelele kuhusu TRA.

Nyumba za kupanga zipo juu sana yani chumba kimoja unaweza kukuta 750k~1m hapo ni mjini labda ukaishi bush tren maasa kufika.

fursa ni zawachache kuliko kipato.
 
Nimestaafu mwezi uliopita
Nasubiri kiinua mgongo changu kama milioni kadhaa.

Napenda sana mpira nikiangalua EPL napata wazimu.

Natamani nikaishi England nifie huko

Kinachonishangaza kuna uzi wa magari ulikuja humu jamaa anauliza kwa nini waingereza hawanunui magari ya landrover na range,kuna wachangiaji kadhaa walicomment kuwa England ni masikini hawawezi kununua hayo magari,namkumbuka Brondo kama mchangiaji mmoja wapo.

Je ni kweli waingereza ni masikini

Maisha yangu yote najua waingereza wako vizuri kiuchumi
Masikini wapo. Ila masikini wa UK ana uhakika wa nyumba,chakula na mavazi. Back to that thread sio UK tu dunia nzima masikini hawezi kumiliki Range rover,Discovery 2 3,4 au Jaguar.
 
Sio england tu kiufupi nchi zilizoendelea zisikie tu.

Maisha yapo juu na kodi ni mwanzo mwisho sio hapa domo anapiga kelele kuhusu TRA.

Nyumba za kupanga zipo juu sana yani chumba kimoja unaweza kukuta 750k~1m hapo ni mjini labda ukaishi bush tren maasa kufika.

fursa ni zawachache kuliko kipato.
Dah kumbe
 
Kuna Maskini na Homeless

1) Maskini wa UK ana food assistance ya kila mwezi(ana uhakika wa kula na malazi)

2) Homeless wa UK wale ombaomba wanao lala nje wengine ni drug addiction imewafanya kuwa hivyo. wengine walifikwa na maisha flani wakawa hivyo.

Bora uwe maskini [emoji636] kuliko kuwa maskini Afrika.
Hiyo sentensi ya mwisho ni mawazo ya kimaskini.
 
Mkuu siko kinyume na wewe ila ninaamini kupitia kiinua mgongo utakachopata kinaweza kukufanya uwe miongoni mwa matajiri.

Jiulize huko uingereza unaenda fanya nini??,kwanini??, Nawaza kwa umri ulionao sijui itakuwaje??.

Ukiniambia biashara nitakushangaa??,unazijua sera zao za uchumi kwa wageni??,mifumo ikoje ushindani??

Kwanini usiwekeze hapahapa tanzania,ukifikiri na kutenda ipasavyo basi hajtaanguka.

Unaeza fungua kiwanda hata kidogo Cha sabuni za unga au tomato kisha ukajitangaza coz the market is still there boss.

Fanya hata kilimo coz it's the most promising future of tommorow, ukatafuta soko lako, wateja wako.

huwa sioni umuhimu wa kukimbilia mbele ambako unaenda kuwa Kama mbwa aliyekosa umiliki.
Kwani amesema anataka kufanya biashara au kula raha na kuangalia EPL na kufa huko huko 🤠
 
Mkuu siko kinyume na wewe ila ninaamini kupitia kiinua mgongo utakachopata kinaweza kukufanya uwe miongoni mwa matajiri.

Jiulize huko uingereza unaenda fanya nini??,kwanini??, Nawaza kwa umri ulionao sijui itakuwaje??.

Ukiniambia biashara nitakushangaa??,unazijua sera zao za uchumi kwa wageni??,mifumo ikoje ushindani??

Kwanini usiwekeze hapahapa tanzania,ukifikiri na kutenda ipasavyo basi hajtaanguka.

Unaeza fungua kiwanda hata kidogo Cha sabuni za unga au tomato kisha ukajitangaza coz the market is still there boss.

Fanya hata kilimo coz it's the most promising future of tommorow, ukatafuta soko lako, wateja wako.

huwa sioni umuhimu wa kukimbilia mbele ambako unaenda kuwa Kama mbwa aliyekosa umiliki.
Nakazia
 
Back
Top Bottom