Mliozaliwa kuanzia 1990 hadi 1997 someni hapa, msome Kwa umakini

Mliozaliwa kuanzia 1990 hadi 1997 someni hapa, msome Kwa umakini

Mtoa mada huko sahihi, lakini hakuna kitu sikielewagi kama kusema huu umri inabidi uwe umeshaoa au umepata mtoto/watoto. Sijui ni nani aliyelisha jamii za kiafrika mapatano haya, nafikiri jamii ingejikita zaidi kwenye ustawi binafsi wa mtu mmoja mmoja katika kujikomboa na utumwa wa kifedha, kifikra na hata kiimani ili kupata uhuru binafsi. Baada ya hapo kila mmoja aamue namna ya kuyatumia maisha yake.

# Enewei life begins at 40
 
Mtoa mada huko sahihi, lakini hakuna kitu sikielewagi kama kusema huu umri inabidi uwe umeshaoa au umepata mtoto/watoto. Sijui ni nani aliyelisha jamii za kiafrika mapatano haya, nafikiri jamii ingejikita zaidi kwenye ustawi binafsi wa mtu mmoja mmoja katika kujikomboa na utumwa wa kifedha, kifikra na hata kiimani ili kupata uhuru binafsi. Baada ya hapo kila mmoja aamue namna ya kuyatumia maisha yake.

# Enewei life begins at 40
Mimi hakuna kitu nashangaaga mnakutana vijana kabisa mke na mme mnazaa afu unaamza kutafuta vya bure serikalini
 
Uko sahihi sana lakini huoni kwamba kuwa na mke kunaokoa gharama nyingi?

Naomba nijitolee mfano Mimi,

Kabla sijaanza kuishi na mwanamke(hatujafunga ndoa) kiwango Cha chini Kwa matumizi yangu Kwa siku yalikua sio chini ya elfu 50. Ila baada ya kuishi na huyu bibie Kwa siku nikitumia sana Hela ni elfu 20 kitu ambacho mwanzoni nilikua siwezi kabisa.

Ukiishi peke yako matumizi ni makubwa kuliko ukiwa na mwenza, jaribu kuuliza watu watakupa ukweli
Mtoa mada huko sahihi, lakini hakuna kitu sikielewagi kama kusema huu umri inabidi uwe umeshaoa au umepata mtoto/watoto. Sijui ni nani aliyelisha jamii za kiafrika mapatano haya, nafikiri jamii ingejikita zaidi kwenye ustawi binafsi wa mtu mmoja mmoja katika kujikomboa na utumwa wa kifedha, kifikra na hata kiimani ili kupata uhuru binafsi. Baada ya hapo kila mmoja aamue namna ya kuyatumia maisha yake.

# Enewei life begins at 40
 
Habari zenu vijana (Mimi pia ni kijana)

Kama upo ndani ya huo umri nilioutaja hapo juu nnaomba unisikilize Kwa makini hasa wale ambao wanajiona Bado ni wadogo.

Sasa ivi wewe kijana upo katika umri wa kujijenga kiuchumi wewe pamoja na familia iliyopo kiunoni mwako

Leo hii wewe tunakuita kijana lakini tambua wengi wenu mmebakiza Miaka 16 had 20 Ili mtimize Miaka 50, (nyinyi ndo mtakua wazee na sio nguvu kazi ya taifa).

Kama huna mtoto jitahidi sana usivuke hii Miaka miwili bila kutafuta mtoto au watoto ikiwezekana. Sio vizuri mzazi kuona mtoto wako wa kwanza anamaliza form 4 wakati huo wewe mvi zimetanda kichwani(Kuna baadhi ya vitu utashindwa kuvitekeleza kama mzazi Ili mwanao apate malezi Bora)


Kwa huu umri wa sasa jitahidi sana uwe na kiwanja hata kimoja tu(siku izi wapo watu wengi wanauza viwanja had vya laki sita Tena unalipia Kwa awamu)

Piga ua garagaza ukitimiza Miaka 40 uhamie kwako (hakuna kinachoshindikana wewe jibane na punguza matumizi, nyumba inahitaji tofali 4500 tu Ili isimame na tofali Moja linauzwa kati ya 1000 mpaka 1500.
Haipendezi mtu kuzeekea kwenye nyumba ya kupanga jitahidi ukifikisha Miaka 40 uwe na mji wako.

Kwa umri huu wa sasa usitegemee Kuna ndugu Wala rafiki anahitaji kukusaidia sasa ivi ukiona mtu anakusaidia ujue ananufaika Kwa kiwango kikubwa kupitia wewe, tengeneza mrija wako wa kujipatia fedha za kuendesha maisha Yako usitegemee Kuna mtu anapenda ufanikiwe kumzid yeye.

Pombe ni nzuri hasa ikiwa wine na Tena unakunywa Kwa ustaarabu ila bia na mabapa huharibu uchumi na afya
Hili nalo likatizamwe.
Pia huu ni muda muafaka kutengeneza assets ili kujikinga na inflation na kujiandaa pindi utakapokuwa mzee hapo baadae.
 
Sawa ufanye yote hayo then? Kuna watu mkishakuwa na watoto na kufanikiwa kujenga basi mnaona dunia yenu, mipango siyo matumizi na mwisho sa siku yote ni UBATILI!
 
Mtoto sio lazima ,ukiwa na pesa na ukatulia ukaachana na mambo ya hovyo uhakika wa kutoboa miaka 80 upo.

Ukizaa mapema utakuja kubaki pekeako ukiwa early 60's,kaa kijanja ndio maana wasukuma wanazaa wakiww hata wazee na ndio maana miji ya wasukuma inabaki na watu wengi miaka yote .

Baba amezaa mapema ninavyokuambia sasa hata mtoto hata mmoja wote wapo mikoani na maisha yake hata watoto wa ndugu nao washakuwa .
Ukitoboa mpaka 80 alafu?
 
Ukitoboa mpaka 80 alafu?
Baada ya kufa hao watoto hawatokusaidia pia ,kufa ndio basi hata mali unaacha .

Baada ya kufa vitu vyote vya duniani ni batili kama elimu ,mali ,familia ,ndugu vyote unaviacha.
 
IMG_2993.jpeg
 
Ujumbe mzuri sana wa kufungia mwaka kwetu sisi vijana
 
H
Uko sahihi sana lakini huoni kwamba kuwa na mke kunaokoa gharama nyingi?

Naomba nijitolee mfano Mimi,

Kabla sijaanza kuishi na mwanamke(hatujafunga ndoa) kiwango Cha chini Kwa matumizi yangu Kwa siku yalikua sio chini ya elfu 50. Ila baada ya kuishi na huyu bibie Kwa siku nikitumia sana Hela ni elfu 20 kitu ambacho mwanzoni nilikua siwezi kabisa.

Ukiishi peke yako matumizi ni makubwa kuliko ukiwa na mwenza, jaribu kuuliza watu watakupa ukweli
Hela ya nywele,kucha,vocha na matibabu yake mbona ni cost mzee
 
Asante kwa ushauri mkuu, nitafanya hayo yote kasoro KUOA hilo halipo kabisa katika mipango yangu.
 
Kuna harufu ya jinsia moja hapa
Ww kama umezooea kufirwa na ndo tabia yako endelea na tabia yako usingize wengine.

Kila mtu ana mipango ya maisha yake haiwezi sema sijui mtu tisini na ngap lazima awe na mtoto alafu nikuone wa maana! Ni upumbavu sio lazima kuwa na watoto
 
Watanzania wengi kama mtoa mada ni mabingwa wa kutoa ushauri bila kuombwa, kwa watu wasiowajua, kuhusu mambo wasiyoyaelewa.
 
Back
Top Bottom