Mlipuko mwingine umetokea South Somalia inasemekana Magaidi wa Kizanzibari ni miongoni mwa Waliouwawa

Mlipuko mwingine umetokea South Somalia inasemekana Magaidi wa Kizanzibari ni miongoni mwa Waliouwawa

imhotep

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
55,997
Reaction score
88,219
Ndugu zangu Wanaafrika mashariki mikakati ya Raisi Uhuru Kenyetta inaanza kuzaa matunda.
Jana Usiku magaidi wa Alshababu na wale wa Ansaar suna kutoka Zanzibar wametangulizwa mbele ya haki na Vikosi vya visivyojulikana mashuhuda wanasema ni KDF Comandos
Bwana Yesu asifiwe
Watashindana lakini hawatashinda.
 
Wewe imhotep una maslahi gani na Somalia ? Upo kama kuna uongozi wa koo fulani uangushwe na koo/kabila fulani la Somalia litawale, na kwa kuangalia uelekeo wa comment zako kubadilika badilika kuanzia 2015 kwenye Jukwaa la Siasa, niishie tu kukuuliza wewe ni Bashe au mna mahusiano gani?
 
Andika vizuri basi,pumbafu
Ndugu zangu Wanaafrika mashariki mikakati ya Raisi Uhuru Kenyetta inaanza kuzaa matunda.
Jana Usiku magaidi wa Alshababu na wale wa Ansaar suna kutoka Zanzibar wametangulizwa mwebele ya haki na Vikosi vya vizivyojulikana mashuhuda wanasema ni KDF Comandos
Bwana Yesu asifiwe
Watashindana lakini hawatashinda.
 
Habari zilizotufikia hivi punde zinasema Magaidi waliotangulizwa mbele ya Ya haki ni Alashababu,Marehan militia na Ansaar suna yenye makao yao makuu huko Zanzibar.
 
galgala1.jpg

Mizoga ya Alshabab na Ansaar suna ikiwa imatangulizwa Jahanamu na vijana wa KDF.
 
Bora Mungu azidi kufichua yote yaliyo sirini yenye hila na uovu wa kutaka kuangamazima maisha ya watu wa Mungu Mwenyezi wasio na hatia!
 
Silaha kutoka Turkey zikishushwa kwenue Bandandari ya mogadishu Dola la Kiislamu limajiandaa kutangaza Jihadi dhidi ya nchi zenye kupenda Amani Waarabu na Waajemi wanataka kurudisha utawala wao wa kidhalimu dhidi yetu
Na sasa Wameanzisha New front ya Sofala hadi Azania.

20-10-16-819207431.jpg
 
Ndugu zangu Wanaafrika mashariki mikakati ya Raisi Uhuru Kenyetta inaanza kuzaa matunda.
Jana Usiku magaidi wa Alshababu na wale wa Ansaar suna kutoka Zanzibar wametangulizwa mbele ya haki na Vikosi vya visivyojulikana mashuhuda wanasema ni KDF Comandos
Bwana Yesu asifiwe
Watashindana lakini hawatashinda.

Embu tupe chanzo cha habari na sisi tujithibitishie wenyewe.
 
Kwaiyo hawa ndio magaidi waliouwawa jana ?

Naona umerudia tabia yako ya kuokoteza picha then unazitungia habari

Sasa nakupa dakika 10 tu uwe umethibitisha hii habari nanka muhira wa bisebiyeko wewe
Richard Inshuti yanje hujui mimi niko wapi saa hizi kama hiamini angalia Ip adress yangu
 
Back
Top Bottom