Mlipuko mwingine umetokea South Somalia inasemekana Magaidi wa Kizanzibari ni miongoni mwa Waliouwawa

imhotep usitutanie sawa lete official media iliyotoa hii habari sawa hizo pic za kuungaunga hazina maana

Alafu uthibitishe pia kuwa ile MELI yenye silaha ni ya uturuki na zilikuwa zinaenda kwa magaidi
Kabla ya mlipuko wa Kismayo niliwaonya wenzako wengi walinielewa ila wewe ukawa unataka nikutafunie lakini matokeo yake uliyaona mwenyewe na sasa nimekwambia angalia IP adress yangu inasema niko wapi mimi silali mpaka Magaidi
We jamaa hujitambui..nani kakwambia Al shabab wanapunga Ukristu!? Mtanzania aliye uwawa juzi kwny ile hotel ni mkristu!? Tumia common sense pumba ww..
Garissa secondary school
 
Nyinyi ni waoga...huo ndo ukwel...thats y mnajificha kw mgongo wa amani...na wakati kauli za wanasiasa wenu ni za kibabe utkelezaji zero...labd za kukamatana ndio wanatekeleza kw haraka
Halafu una ubishi wa kikisii.
Au mkisii wewe??
Wale wasomali walioloweya Tz.
Waache wamekufa in their motherland.
 
Kwhyo si watanzania kisa kabila...kwhyo moh dewiji pia si mtanzania kisa si msukuma[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]santa sana...wandki katika ubora wao...professor jay keshasema...mnatangaza amani hku mmeficha mapanga...

Tanzania katika ukanda huu ndio nchi pekee inayoongoza katika ubinafsi na kutopenda raia wa kigeni...hku mtu akimuita raia wa kigeni raia haramu mbele kabisa ya watu..km sifa vile
We unawatambua walokufa kabila gani?
Waliokufa hawatuhusu vilivyo kwasababu ni wasomali walioloweya Tz.
 
Epuka elements za udini kwenye posts zako
 
CHADEMA HOYEEEEEEE.
 
Kwani Al Shabab waliwa target watanzania, ingekuwa shambulio lipo ndani ya ardhi ya Tz sawa, acheni kutafuta choko choko zisizo wahusu, acheni Kenya wapambane vita yao, Tz tuna matatizo ya kiuchumi na kijamii yanayotutosha.
UG
NAMNA ULIVYOWAKILISHA TAARIFA ZAKO NDIVYO UNAVYO DHIDI KUONGEZA CHUKI. NADHANI WENYE KUJIEWA LAZIMA WATAKUPUUZA.
[/QUOTE
UGAIDI HAUNA HAUNA CHAMA
Ugaido hauna chama.
 
Acha propaganda zisizo na msingi.mkuu
 
Namshangaa sana huyu jamaa
 
Nani kasema kuwa wale raia haram?!
We utajuaje labda walikua wanachukua uraia wa miaka miwili miwili?!
Maana Tz kuna vitambulisho vya uraia ambavyo kwa waloezi hujiandikisha na kupata vya miaka miwili miwili km sikosei mmoja mmoja.
Na kila baada ya hyo miaka una renew kitambulisho.
Asa utajuaje labda wakti uliisha akaamua aache ulowezi na arudi Kwao?!
 
Yule mo dewji ameshachukua uraia wa moja kwa moja hp Tz.
Most of somalians huchukua ule uraia wa muda hapa tofaut na waarabu na wahindi.Soma post yangu ya 57 utaielewa nachomaanisha
 
Nyinyi ni waoga...huo ndo ukwel...thats y mnajificha kw mgongo wa amani...na wakati kauli za wanasiasa wenu ni za kibabe utkelezaji zero...labd za kukamatana ndio wanatekeleza kw haraka
Km waoga huko Comoros na Congo nan anapakomboa?!
Unafikiri TPDF km KDF wanaoongoza kwa dirty sheet ktk mission wanazopewa?!
Nyie mkipewa sehem mulinde aman hamji na ripoti nzuri mpk mnatia huruma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…