Kabla ya mlipuko wa Kismayo niliwaonya wenzako wengi walinielewa ila wewe ukawa unataka nikutafunie lakini matokeo yake uliyaona mwenyewe na sasa nimekwambia angalia IP adress yangu inasema niko wapi mimi silali mpaka Magaidiimhotep usitutanie sawa lete official media iliyotoa hii habari sawa hizo pic za kuungaunga hazina maana
Alafu uthibitishe pia kuwa ile MELI yenye silaha ni ya uturuki na zilikuwa zinaenda kwa magaidi
Garissa secondary schoolWe jamaa hujitambui..nani kakwambia Al shabab wanapunga Ukristu!? Mtanzania aliye uwawa juzi kwny ile hotel ni mkristu!? Tumia common sense pumba ww..
Hivi Somalia kuna Wakristo wanaopigana na Waislam au Wakristo wameenda huko Somalià kuua Waislam?View attachment 1154119
Imekula kwako Mheshimiwa Gaidi.mpango wenu wa Kuupiga Vita Ukristu kamwe hautofanikiwa ushindwe kwa Jina la Yesu.
Halafu una ubishi wa kikisii.
Au mkisii wewe??
Wale wasomali walioloweya Tz.
Waache wamekufa in their motherland.
We unawatambua walokufa kabila gani?
Waliokufa hawatuhusu vilivyo kwasababu ni wasomali walioloweya Tz.
Ndugu zangu Wanaafrika mashariki mikakati ya Raisi Uhuru Kenyetta inaanza kuzaa matunda.
Jana Usiku magaidi wa Alshababu na wale wa Ansaar suna kutoka Zanzibar wametangulizwa mbele ya haki na Vikosi vya visivyojulikana mashuhuda wanasema ni KDF Comandos
Bwana Yesu asifiwe
Watashindana lakini hawatashinda.
View attachment 1154115
Mizoga ya Alshabab na Ansaar suna ikiwa imatangulizwa Jahanamu na vijana wa KDF.
CHADEMA HOYEEEEEEE.Ndugu zangu Wanaafrika mashariki mikakati ya Raisi Uhuru Kenyetta inaanza kuzaa matunda.
Jana Usiku magaidi wa Alshababu na wale wa Ansaar suna kutoka Zanzibar wametangulizwa mbele ya haki na Vikosi vya visivyojulikana mashuhuda wanasema ni KDF Comandos
Bwana Yesu asifiwe
Watashindana lakini hawatashinda.
UGKwani Al Shabab waliwa target watanzania, ingekuwa shambulio lipo ndani ya ardhi ya Tz sawa, acheni kutafuta choko choko zisizo wahusu, acheni Kenya wapambane vita yao, Tz tuna matatizo ya kiuchumi na kijamii yanayotutosha.
Ugaido hauna chama.NAMNA ULIVYOWAKILISHA TAARIFA ZAKO NDIVYO UNAVYO DHIDI KUONGEZA CHUKI. NADHANI WENYE KUJIEWA LAZIMA WATAKUPUUZA.
[/QUOTE
UGAIDI HAUNA HAUNA CHAMA
CCM HOYEEEEEEUG
Ugaido hauna chama.
Acha propaganda zisizo na msingi.mkuuSilaha kutoka Turkey zikishushwa kwenue Bandandari ya mogadishu Dola la Kiislamu limajiandaa kutangaza Jihadi dhidi ya nchi zenye kupenda Amani Waarabu na Waajemi wanataka kurudisha utawala wao wa kidhalimu dhidi yetu
Na sasa Wameanzisha New front ya Sofala hadi Azania.
View attachment 1154152
Namshangaa sana huyu jamaaModerator naona wanamchekea sana huyu jamaa, kila siku anakuja na mada za kuichonganisha Tz vs Somalia, na anaonekana kuna koo au kabila ndio anataka watawale Somalia, ana maslahi binafsi analeta habari za kutunga tunga na kuleta chuki kati ya utawala wa Somalia na wananchi waTz, ana agenda gani ya siri huyu?
Tafadhali msituingize kwenye maugomvi yenu huko.kila mtu apambane na hali yake.Chuki gani tayri somalia wameshalianzisha...alshabab tayari wameua watanzania...
Bora umeliumbua hili liongoHizo picha ni za 2017. Au bofya hapa.
Nani kasema kuwa wale raia haram?!Kwhyo si watanzania kisa kabila...kwhyo moh dewiji pia si mtanzania kisa si msukuma[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]santa sana...wandki katika ubora wao...professor jay keshasema...mnatangaza amani hku mmeficha mapanga...
Tanzania katika ukanda huu ndio nchi pekee inayoongoza katika ubinafsi na kutopenda raia wa kigeni...hku mtu akimuita raia wa kigeni raia haramu mbele kabisa ya watu..km sifa vile
Halafu daily twamwambia alete ushahidi haleti ati.Acha propaganda zisizo na msingi.mkuu
Yule mo dewji ameshachukua uraia wa moja kwa moja hp Tz.Kwhyo si watanzania kisa kabila...kwhyo moh dewiji pia si mtanzania kisa si msukuma[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]santa sana...wandki katika ubora wao...professor jay keshasema...mnatangaza amani hku mmeficha mapanga...
Tanzania katika ukanda huu ndio nchi pekee inayoongoza katika ubinafsi na kutopenda raia wa kigeni...hku mtu akimuita raia wa kigeni raia haramu mbele kabisa ya watu..km sifa vile
Km waoga huko Comoros na Congo nan anapakomboa?!Nyinyi ni waoga...huo ndo ukwel...thats y mnajificha kw mgongo wa amani...na wakati kauli za wanasiasa wenu ni za kibabe utkelezaji zero...labd za kukamatana ndio wanatekeleza kw haraka