Hivi huna habari ya dunia? Hujuwi kwanini Wayemeni wameipiga Tel Aviv?Bishaneniii weee ila hao wa yemen wakianza kupokea kichapo msije mkaanza kulia lia humu kwamba wanaonewa wakati wao wamechokoza nyuki
Gallant ashasema! We will settle the score with anyone who harms the State of Israel or directs terror against it,β Israeli Army Radio quoted Gallant as saying.Mlipuko huo wavaa kobaz wataulipia pale gaza au lebanon
Naona huelewi kinachoendelea duniani sasa hivi.Yemen ya kwao yameshawashinda mda sana, sijui kama wataweza ya gaza na israel
Hehe....Naona huelewi kinachoendelea duniani sasa hivi.
Sikushangai, una gamba gumu la ufahamu.
Yemen huyu huyu aliyeuzuia meli za israel kupita red sea tunaenda mwaka sasa pamoja na mikwara yote ya magharibi na wakaunda hadi kikosi ila wamewashindwa ,au unazungumzia yupi?Failed states ndo inapigana na Israel kama kiongozi wao Iran ameogopa kuwasadia, anapita pembeni sembuse Yemen anayejitafuta kwanza?
Yemen hawa ambao hata hawajui leo ni kesho au kesho ni juzi,Wayemen
Yote sema wewe, walioipiga tel aviv ni Wayemeni. Na wametangaza kinaga ubaga.Yemen hawa ambao hata hawajui leo ni kesho au kesho ni juzi,
Huo udini wenu maandazi vibibi na vibabu mna shida sana
TakbiiiiiirrrrAngelia Mandela aliyehukumiwa kifo na kufungwa miaka 27 kwa kudai nchi yake.
Wapalestina ni watu wa vitendo, siyo wa kulialia. Miaka zaidi ya 75 leo wanadai haki yao kwa mapambano aina yte unayoijuwa wewe na usiyoijuwa.
Rekebisha tena sema wahouthi,,,,maana wayemen wengine ni vibaraka wa israel na marekaniYote sema wewe, walioipiga tel aviv ni Wayemeni. Na wametangaza kinaga ubaga.
99% ya Wayemeni wanaunga mkono Houthi.Rekebisha tena sema wahouthi,,,,maana wayemen wengine ni vibaraka wa israel na marekani
Hata israeli anapewa msaada wa silaha na marekani sasa shida iko wapi? Hayo mabomu yote anayodondosha huko Gaza yanatoka marekani.Nani kakuambia Iran imeogopa kuwasaidia!??
MAKUNDI YOTE UNAOYAONA SYRIA,GAZA,IRAQ,YEMENI yanalelewa na Iran.
Hadi hiyo Hizbollah ya Lebanon inalelewa na Iran.
Hata silaha wanazotumia ni za Iran.
Wewe unajua mpaka sasa israeli ana mateka wangapi wa kipalestina? Mbaya zaidi wengi wao ni wanawake na watoto .Wahimize viongozi wa Hamas iwaachilie mateka na pia wajifunze namna nzuri ya kuishi na majirani zao
Mkuu hujaelewa point yangu ni nini.Hata israeli anapewa msaada wa silaha na marekani sasa shida iko wapi? Hayo mabomu yote anayodondosha huko Gaza yanatoka marekani.
Huyo babu anaekunja uso kama yupo msalani hana jipya tangu Oktoba 7 maneno ni hayo hayo na mashambulizi hayapoi.Gallant ashasema! We will settle the score with anyone who harms the State of Israel or directs terror against it,β Israeli Army Radio quoted Gallant as saying.
Hii point aylu maswali yako ni ya kipuuzi.Wapalestina wanadai haki gani? Embu niambie kuna taifa lililowahi kuitwa palestina na mwanzilishi wa hilo taifa aliitwa nani ? Na lilianzishwa mwaka gani?
πππ hii spana bab kubwa sanaa.Yemen huyu huyu aliyeuzuia meli za israel kupita red sea tunaenda mwaka sasa pamoja na mikwara yote ya magharibi na wakaunda hadi kikosi ila wamewashindwa ,au unazungumzia yupi?
Kwa ujumla wao tunasema wayemen. Maana vibaraka wa marekani na israeli hata hapa Tanzania wamejaa mpaka hapa JF.Rekebisha tena sema wahouthi,,,,maana wayemen wengine ni vibaraka wa israel na marekani